×

Rais Samia Ampa Shigongo Bilioni Tatu Za Maendeleo Buchosa -Video

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha zaidi ya shilingi bilioni tatu...

READ MORE

RC Hapi Amshukuru Rais Samia

MKUU wa mkoa wa Mara, Ally Hapi, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea...

READ MORE

Mukoko Afichua Siri Yanga

KIUNGO wa Yanga, Mukoko Tonombe, amemuhakikishia Kocha Msaidizi wa AS Vita ya DR Congo, Raoul Shungu kuwa ataendelea kuitumikia Yanga...

READ MORE

Shuga Sukari sehemu ya 3

“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na...

READ MORE

Mtoto Kumpa Mamilioni Wolper

BAADA ya kupigiwa vigelegele vya uzazi, sasa mtoto kumpa msanii Jacqueline Wolper mamilioni. Wolper mwenyewe anacheeeka alipoulizwa kuhusu kuwepo kwa...

READ MORE

Dorah Asimulia Alivyonyanyaswa Kisa Umbo Lake -Video

MUIGIZAJI Wansekula Zacharia ‘Dorah’, amesimulia jinsi ambavyo jamii ilikuwa ikimyanyapaa kabla hajawa maarufu kutokana na kuwa na umbile dogo.  ...

READ MORE

Mechi Za Euro 2020 Kuendelea Wiki Hii

Timu nyingi zimerusha karata zao kwenye michezo ya kwanza ya michuano ya EURO 2020, wa kufungwa, amefungwa, wakutoka sare vile...

READ MORE

Video: Rais Samia Azungumza na Vijana wa Mwanza

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Leo Juni 15 amezungumza na Vijana wa Mwanza kwa uwakilishi...

READ MORE

Mrembo wa Mondi amtisha Zari

UBUYU wa ndani kabisa unadai kwamba, baby mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari...

READ MORE

Luhende Amtisha Tshabalala Simba

BEKI wa pembeni wa Kagera Sugar, David Luhende, amekubali kukaa meza moja na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba...

READ MORE

Aweso Atengua Kigogo wa Maji Sengerema

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amemtengua Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Sengerema, Mhandisi Robert Lupoja...

READ MORE

Injinia Hersi Yupo Kazini Kutua Misri, Sudan na Ethiopia

BAADA ya kukamilisha usajili wa beki wa kulia raia wa DR Congo, Djuma Shabani, kisha kupaa kwenda Afrika Kusini, sasa...

READ MORE

Esma, Uchebe Mambo Mambo Hadharani

SOSHOLAITI ambaye ni dada wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva ndani na nje ya Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma...

READ MORE

Mbowe: Hatushindi Uchaguzi Sababu Ya Uzembe, Rais Akerwa Na Ufisadi -Video

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania leo Juni 15, 2021

 Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 15, 2021. Usipitwe na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Nunua 👉Gazeti la...

READ MORE

RC Morogoro Afungua Mafunzo ya Tathmini Kwa Madaktari

MKUU wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Martine Shigela amewaasa madaktari wanaohudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kufanya tathmini za ulemavu...

READ MORE

Waajiri Sekta Binafsi Sasa Kulipa Asilimia 0.6 Ya Michango ya Wafanyakazi

WAAJIRI kutoka Sekta Binafsi sasa watalipa asilimia 0.6 ya michango ya wafanyakazi wao kwenda Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi (WCF)...

READ MORE

Nimelea Vipaji Vingi Bongo Movies-Lamata

MTAYARISHAJI maarufu wa Tamthiliya Bongo, Lamata na mmoja wa waigizaji wake kwenye Tamthiliya ya Juakali, Dorah, leo wamezungumza mambo mengi...

READ MORE

Aliyemuua George Floyd Ahofia Visa Jela

OFISA mzungu wa Polisi wa Minneapolis nchini Marekani ambaye alimuua kikatili na kinyama Mmarekani mwenye asili ya Afrika, George Floyd,...

READ MORE