×

Simanzi! Mazishi ya Thedy Mapunda – Video

Waombolezaji mbalimbali wamejitokeza katika ibada ya mazishi na kutoa heshima za mwisho kwenye msiba wa Bi. Magdalena Theresia “Teddy” Hollo...

READ MORE

Watafiti ARU Wabaini Fursa Kwenye Majitaka na Kinyesi

WATAFITI wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), wamebaini fursa mbalimbali zilizoko kwenye majitaka ya vyooni na kinyesi cha bindamu. Fursa hizo...

READ MORE

Wakili Yanga Awapa Neno Bodi ya Ligi

SAKATA la kuahirishwa kwa mechi ya Watani wa Jadi, Simba na Yanga, limezidi kushika kasi baada ya Bodi ya Ligi...

READ MORE

Waziri wa Uingereza Kutua Nchini

Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika Mhe. James Duddrige anatarajiwa kuwasili nchini Mei 11, 2021 kwa ziara ya siku...

READ MORE

Simba Yakwea Pipa Kuwafuata Kaizer Chiefs Afrika Kusini -Video

KIKOSI cha Simba SC kimeondoka nchini leo Mei 11, 2021 kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wao wa kwanza...

READ MORE

Video: Meneja Wa Simba – “Tunaiheshimu Yanga”

KIKOSI cha Simba SC kimeondoka nchini leo kuelekea Afrika Kusini ambapo itavaana na Kaizer Chief kati ya Mei 14 na...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Mei 11, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 11, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Uwazi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Semina Kubwa ya Ujasiriamali Yazinduliwa Buchosa – Video

Kampeni ya elimu kwa mjasiriamali Jimbo la Buchosa imezimduliwa rasmi leo Mei 10, 2021, katika Kata ya Nyehunge ikiwa ni...

READ MORE

Breaking: Wawili Wafariki kwa Kugongwa na Treni Morogoro

Watu wawili wamepoteza maisha kufuatia ajali iliyohusisha pikipiki ya magurudumu matatu (Bajaj) waliyokuwa wakisafiria na treni katika eneo la Modeko,...

READ MORE

Mechi Nyingine ya Simba Yaahirishwa

BODI ya Ligi Tanzania (TPLB) imetangaza kuahirishwa kwa mchezo wa Simba SC dhidi ya Coastal Union uliyopangwa kuchezwa Mei 11,2021...

READ MORE

Waliopata Msamaha wa Rais Wauawa

WATU wawili waliotoka gerezani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais wameuawa baada ya kukamatwa wakidaiwa kuiba vitu mbalimbali huko Kwa...

READ MORE

Taliban Yasitisha Vita Kupisha Sikukuuu ya Eid-al-Fitr

KUNDI la Taliban nchini Afghanistan limetangaza siku tatu za kusitisha vita kote nchini humo kwa ajili ya kutoa nafasi ya...

READ MORE

Simba Queens Yakabidhiwa Basi

KLABU ya Simba Queens leo Jumatatu Mei 10, imekabidhiwa basi jipya aina ya Costa kwa ajili ya safari za timu...

READ MORE

Bulaya Amcharukia Waziri Aweso

MBUNGE wa Viti Maalum  Ester Amos Bulaya ameitaka Wizara ya Maji kuziba mianya ya upotevu wa maji ili kuokoa pesa...

READ MORE

Nisha Atamani Kuolewa na Dimpoz

Unaambia picha ya Ommy Dimpoz imemfanya msanii wa filamu Nisha Bebe kutamani kuolewa na msanii huyo wa muziki wa BongoFleva...

READ MORE

Mechi ya Simba & Yanga, Serikali Yatoa Maagizo kwa Bashungwa

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutoa taarifa juu ya sakata...

READ MORE

Sakata la Simba vs Yanga, Mapya Yaibuka, Wakili Afunguka – Video

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.

READ MORE

Usiyoyajua Kuhusu Ndoa ya Mtanzania na Mtoto wa Nabii Joshua

JIJI la Arusha juzi lilikuwa na hekaheka kubwa ya kushuhudia ndoa ya mtoto wa Nabii wa Nigeria, Temitope Balogun Joshua...

READ MORE

Hofu Yatanda Shambulio Bomba la Mafuta

SERIKALI ya Marekani imepitisha sheria ya dharura siku ya Jumapili baada ya bomba kubwa la mafuta la nchini humo kushambuliwa...

READ MORE