×

Mjadala wa Wasanii na BASATA Kuamuliwa Jumamosi

BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) Mei 1, 2021 wameanza kutumia sheria ya kuzikagua nyimbo zote mpya za wasanii kabla ya...

READ MORE

Staa Yanga: Nabi Anza na Carlinhos Weka Nje Fei Toto

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Makumbi Juma, amesema anatamani kumuona Kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi akimpanga kiungo Carlos Carlinhos dhidi...

READ MORE

Simba v Yanga, Jiandaeni Kisaikolojia

WATANI wa jadi wanapaswa wajiandae kisaikolojia kutokana na orodha ya waamuzi ambao wataamua mchezo wa Simba v Yanga, Mei 8,...

READ MORE

Esma Amkataa Mazima Uchebe

Miongoni mwa habari zilizotikisa wiki hii ni pamoja na dada wa staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’ Esma Khan...

READ MORE

Live: Mjadala Elimu Bungeni Balaa | Rostam Ajilipua | Front Page

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Mondi, Zari Wamerudiana

Mjini kuna mambo! Hivi karibuni msanii mkubwa wa muziki wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’ aliposti picha akiwa akiwa kwenye...

READ MORE

Ulinzi Waimarishwa Simba Vs Yanga

UONGOZI wa Uwanja wa Benjamin Mkapa umefunguka kuwa maandalizi yote kuelekea mchezo wa Dabi ya Kariakoo utakaozikutanisha Simba na Yanga...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Mei 6, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 6, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Amanikirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh...

READ MORE

Video: Global Habari Mei 05 – Tanzania Na Kenya Kuimarisha Ushirikiano

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza mikakati itakayotekelezwa ili kuboresha mahusiano mazuri baina ya Tanzania...

READ MORE

Shigongo Atembelea Wagonjwa Nyehunge, Awapa Neno Wahudumu wa Afya

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo akiambatana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buchosa, Crispin Luanda wametembelea wakina mama ambao...

READ MORE

Mbunge Alia na Wingi wa Wanafunzi

Mbunge wa Temeke (CCM), Dorothy Kilave ameihoji Serikali ina mpango gani wa kujenga shule katika jimbo la Temeke kwa sababu...

READ MORE

Rais Samia Akutana Na Mjumbe Maalum Wa UN Jijini Nairobi

  Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na mjumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika...

READ MORE

Mwamuzi Simba vs Yanga Mali ya Yanga

MWAMUZI wa mchezo kati ya Simba na Yanga, Emmanuel Mwandembwa, ni mali ya Yanga kutokana na michezo yote ya Yanga...

READ MORE

Vijana Wavamia Msiba, Wamwaga Chakula na Pombe

WAENDESHA bodaboda wa kituo cha Kisangiro kata ya Kilema Kaskazini wilayani Moshi Mkoa wa Kilimanjaro wamevamia msiba wa Lenard Abel...

READ MORE

Halima Mdee Na Wenzake Wafutiwa Mashtaka Kisutu

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Mei 5, 2021 imefuta kesi ya kufanya mkusanyiko na kutotii amri halali katika...

READ MORE

Watakaoingia Nchini Kuwekwa Karantini Siku 14

SERIKALI imetoa mwongozo namba sita kwa wasafi ri unaotaka abiria wageni au wakazi wanaoingia nchini kutoka nchi zenye aina mpya...

READ MORE

Rostam Alipua Bomu: Nimewekewa Vikwazo Kenya Tangu 2017

Mfanyabiashara Rostam Aziz amesema uwekezaji nchini Tanzania na Kenya haufanani akibainisha kuwa ni rahisi kuwekeza katika nchi moja na ngumu...

READ MORE

Kenyatta: Ushirikiano wa Kenya na TZ Sasa Utakuwa wa Kiwango Kingine

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema ushirikiano baina ya Tanzania na Kenya utayafanya mataifa hayo kupiga hatua katika maendeleo.  ...

READ MORE

Shilole: BASATA ‘Wajiangalie’

Kufuatia Baraza la Sanaa la Taifa BASATA kuweka utaratibu na sheria mpya kuhusu utoaji wa nyimbo za wasanii lazima zipitie...

READ MORE