×

Samia: Bunge la Kenya Linasimisimua, Mna Demokrasia – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atahutubia Bunge la Kenya lililo na mjumuiko wa wabunge wa...

READ MORE

Samia: Huku Mna Kenyatta, Kule Kuna Suluhu, Kazi Kwenu! -Video

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyabiashara wa Tanzania na Kenya kushirikiana na si kushindana ili kuhakikisha uchumi wa...

READ MORE

Manara: Ingekuwa ‘Fair’ Yanga Ingeshuka Daraja

AFISA Habari wa klabu ya soka ya Simba SC Haji Manara amesema kwasasa ubora wa wachezaji wa Simba SC ni...

READ MORE

Rais Kenyatta Atoa Wiki Mbili Tatizo la Mahindi Mpakani Litatuliwe – Video

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyata ametoa wiki mbili kwa watendaji serikalini kuhakikisha sakata la mahindi ya Tanzania yaliyozuiwa kuingia Kenya...

READ MORE

Aliyetelekeza Makontena 500 ya Shisha Bandarini Asakwa

Takribani makontena 500 yenye urefu wa futi 40 yametelekezwa katika bandari ya Dar es Salaam yakidaiwa kuwa na shehena ya...

READ MORE

Mgunda Afungukia Kutimuliwa Coastal Union

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union ya Tanga amesema kuwa kuhusu kufukuzwa ndani ya timu hiyo anasikia tu kama...

READ MORE

H-Baba; Diamond Aache Kudanganya, Hana Uwezo Wa Kununua Ndege -Video

MSANII wa kitambo wa Bongo Fleva, H-Baba amemshukia Diamond Platnumz kwa kumtaka aache kuwadanganya mashabiki wake kwamba amenunua ndege binafsi...

READ MORE

Rekodi Zinambeba Shikalo Dhidi ya Simba

KUeleKeA mchezo mkali wa Dabi ya Kariakoo utakaopigwa siku ya Jumamosi, licha ya ubora wa golikipa wa Yanga, Metacha Mnata,...

READ MORE

ATCL Yasitisha Safari Zake Kwenda India

KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL) imesitisha safari zake za ndege kati ya Dar as Salaam na Mumbai (India ) kuanzia...

READ MORE

Mjomba Aliyetuhumiwa Kubaka Mtoto wa Miaka 3 Ashinda Kesi

WANANCHI wa mtaa wa Mpeto kata ya Ramadhani mjini Njombe,wameiomba Serikali kuingilia kati kesi ya mtoto wa mtaa huo aliyebakwa...

READ MORE

Mjamzito Ajifungua Watoto Tisa

MAAJABU ya Mungu hayana kipimo, hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mwanamke mmoja nchini Mali amejifungua watoto tisa katika hali...

READ MORE

Ninja Atamba Nileteeni Huyo Morrison

BEKI wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amesema amekuwa akizisikia kelele za mashabiki wa Simba wakitamba kwamba hatoweza kumdhibiti...

READ MORE

Video: Mzee wa Utopolo Ndani Ya 255 Global Radio | Krosi Dongo

SHABIKI kindakindaki wa Yanga, Mzee wa Utopolo leo Mei 5, 2021 amefunguka mazito katika kipindi cha Krosi Dongo kinachoruka kupitia...

READ MORE

Mexico: 23 Wafariki Baada ya Fly-over Kuporomoka

Takriban watu 24 wamefariki dunia na wengine 79 kujeruhiwa baada ya sehemu ya barabara ya juu (flyover) kuporomoka na kusababisha...

READ MORE

Video: Rais Samia na Kenyatta Wafungua Kongamano la Wafanyabiashara

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru...

READ MORE

Simbachawene: Kitambulisho cha Nida Hakihalalishi Kuwa Raia wa Tanzania

Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema kuwa na kitambulisho cha Utaifa (NIDA) hakuhalalishi Mtu kuwa Raia wa #Tanzania....

READ MORE

Nafsi za kazi Vodacom, Cyber Security Demand & Delivery Manager

Cyber Security Demand & Delivery Manager Posting Country:  Tanzania, United Republic of Date Posted:  03-May-2021 Full Time / Part Time: ...

READ MORE

Mourinho Atangazwa Kuwa Kocha Mpya wa AS Roma

Klabu ya AS Roma ya Italia imemtangaza Mourinho kuwa Kocha wake ikiwa ni wiki mbili tangu kibarua chake kiote nyasi...

READ MORE

Caf Yambana Matola, Atakiwa Kusoma

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa mwongozo kwa klabu zitakazoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho msimu ujao...

READ MORE