×

AUBAMEYANG Augua Malaria

Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang ametibiwa hospitalini baada ya kuugua malaria wakati akiwa katika majukumu ya kimataifa na Gabon.  ...

READ MORE

Sakata la Mwakalebela, TFF Giza Nene

LICHA ya kukutana na kufanya kikao kizito kati ya viongozi wa Klabu ya Yanga na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),...

READ MORE

Hawa Ndio Watu 30 tu Watakaomzika Prince Philip

  WATU 30 pekee ndiyo watakaoshiriki mazishi ya aliyekuwa mume wa malkia Elizabeth II wa Uingereza, Mwanamfalme Philip.    ...

READ MORE

Serie A, Epl, Ligue 1 Na Bundesliga Kuchangamsha Wikiendi Hi

Ulimwengu wa soka unaendelea kunoga kwa michezo kadha wa kadha kuchezwa wikiendi hii. Ligi soka barani Ulaya katika ubora wake....

READ MORE

Wawa: Hakuna wa Kuzuia Ubingwa Simba

BEKI wa kati wa Simba, Muivory Coast, Pascal Wawa ameibuka na kuweka wazi kuwa kutokana na ubora wao kwa sasa...

READ MORE

Safari ya Lupita Nyong’o Serengeti Yazua Gumzo Kenya

MUIGIZAJI maarafu kutoka Hollywood, Marekani Lupita Nyong’o (38), amezua gumzo nchini Kenya baada ya kuitembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti...

READ MORE

Lugangila Alia na Ofisi ya Waziri Mkuu “Tuambieni Mtafanya Nini?”

MBUNGE wa Viti Maalumu (CCM) kupitia Kundi la Asasi za Kiraia nchini (NGOs) Mhe. Neema Lugangira ameiomba Serikali iikaribishe Sekta...

READ MORE

Amuua Mumewe Siku 14 Baada ya Ndoa

  Mwanamke aitwaye Happy Nyasumo (18) mkazi wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai...

READ MORE

Marekani Yaiahidi Neema Tanzania

MAREKANI imeahidi kushirikiana na Tanzania kukuza mitaji na kuvutia uwekezaji kutoka nchini humo ili kuchochea zaidi uchumi na huduma za...

READ MORE

Mahakama Yaipa Simba Siku 14, Kulipa Mil 77

  BARAZA la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kinondoni, limetoa siku 14 kwa Klabu ya Simba kulipa kodi ya...

READ MORE

VIDEO​​: MVUTANO ALAMA za JPM WATIKISA | FRONT PAGE…

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

Yanga: Manji Arudi Tu, Tunamkaribisha

UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa umezisikia taarifa za kurejea kwa aliyekuwa mwenyekiti klabu hiyo, Yusuf Manji na kuzipokea kwa mikono...

READ MORE

Upanuzi Anglo Gold Ashanti Kuimarisha Mahusiano Uchimbaji Nchini

Kwa kuzingatia mpango wa kuongeza mchango endelevu katika uchumi wa jamii inayozunguka mgodi, Kampuni ya Anglogold Ashanti imeingia ubia na...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 16, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 16, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Mwanafunzi Form IV Afariki kwa Kupigwa na Radi

Mwanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Kabugalo iliyopo Bukoba mkoani Kagera Gisera Oswardi (18) amefariki dunia kwa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Fahamau Alichokifanya Mkaguzi Mkuu wa Migodi GGML

  Geita Gold Mining Limited (GGML) imepokea ruhusa ya mpango wa uchimbaji madini wa mwaka 2021 unaohusisha uchimbaji wa wazi...

READ MORE

Rayvanny, Baba Levo Watoka Sentro – Video

WASANII wa Bongo Fleva, Baba Levo na mwenzake, Rayvanny tayari wametoka katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam (Sentro)...

READ MORE

Rose Ndauka: Kiki Zinazoendelea Zinatushushia Heshima -Video

Staa wa Bongo Movies, Rose Ndauka ambaye kwa sasa pia anafanya muziki wa Bongo Fleva, leo Aprili 15, 2021 ametinga...

READ MORE