×

Vita: Simba Walistahili

BAADA ya AS Vita kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Simba, wachezaji wa timu hiyo wamesema kuwa Simba walistahili...

READ MORE

Hatimaye Anjella wa Harmonize Apelekwa Mjini

MSANII wa Bongo Fleva, Harmonize, amesherehekea siku ya Valentines kwa kuachia ngoma yake mpya #AllNight aliyomshirikisha msanii chipukizi, Anjella.  ...

READ MORE

Pigo: Wanne Familia Moja Wafariki Katika Mazingira Tofauti

FAMILIA ya Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Profesa Delphina Mamiro, imepata pigo ndani siku 28 kwa kupoteza...

READ MORE

Namungo Yarejea, Yasubiri maamuzi ya Caf

  BAADA ya kuahirishwa kwa mchezo wao wa hatua ya mtoano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi Clube Desportivo 1º...

READ MORE

KCMC Yafungukia Mgomo wa Madaktari

HOSPITALI  ya KCMC ya mkoani Kilimanjaro, kupitia kwa msemaji wake, Gabriel Chiseo, imeweka wazi kuwa hakuna mpango wa kugoma kwa...

READ MORE

Huawei Yasisitiza Kuendelea Kuimarisha Utandawazi

  Kampuni ya Huawei imeahidi kuzingatia mkakati wake wa utandawazi licha ya shinikizo la nje. Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...

READ MORE

Namungo Yashindwa Kurejea Tanzania

KIKOSI cha soka cha Namungo FC kimerejea hotelini usiku wa kuamkia leo Februari 14 baada ya kushindwa kuondoka  jijini Luanda,...

READ MORE

Mapinduzi ya Myanmar: Jeshi Latanda Mitaani, Intaneti Yazimwa

  Magari ya kivita yametanda katika mitaa ya miji kadhaa nchini Myanmar huku kukiwa na ishara kwamba wanajeshi wanaandaa msako...

READ MORE

Seif Khatib Afariki Dunia

MWENYEKITI wa Baraza la Kiswahili Zanzibar (BAKIZA) Dkt. Mohammed Seif Khatib, amefariki dunia leo asubuhi Jumatatu Februari 15, 2021.  ...

READ MORE

Mbwa Arithi Tsh Bilioni 1.1

  MBWA mmoja amerithi fedha dola milioni 5 (sawa na Tsh bilioni 1.1) kutoka na mmiliki wake aliyefariki katika jimbo...

READ MORE

Wastara Amtolea Uvivu Rayvanny “Umenichafua”

IKIWA ni saa chache baada ya msanii Kajala Masanja kumvaa msanii mwenzake, Hamisa Mobetto akimshutumu kwa madai kuwa alimchukua mwanaye...

READ MORE

Ajali Basi la Coast Line, Watano Walazwa, 16 Waruhusiwa

WATU watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Nyerere, jana kutokana na ajali ya basi la kampuni ya Coast Line lililokuwa...

READ MORE

Poulsen Apewa Mikoba ya Ndayiragije Stars

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo Februari 15, limemteua Kim Poulsen, raia wa Denmark, kuwa kocha mkuu wa...

READ MORE

Wawili Wafariki kwa Kufukiwa Kifusi Kahama

WATU  wawili wamefariki dunia baada ya kuangukiwa kifusi  kwenye machimbo ya kijiji cha Mwime duara namba 11C kata ya Zongomela...

READ MORE

Yajue Majeshi Yenye Nguvu Zaidi Duniani

JARIDA la kimataifa la ‘Firepower’ ambalo huwa linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka , limetoa orodha ya...

READ MORE

Liberia Yatangaza Tahadhari Mlipuko wa Ebola

RAIS wa Liberia, George Weah,  ametangaza kuziweka mamlaka za afya za nchi hiyo katika kiwango cha juu cha tahadhari baada...

READ MORE

China Yagoma Kutoa Data za Covid-19 kwa WHO

  CHINA imekataa kutoa data muhimu kwa timu ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) inayochunguza asili ya Covid-19, ambapo mmoja...

READ MORE

Watumishi Waliohodhi Vizimba Soko Kuu Moro Yawakuta

WAFANYABIASHARA katika Soko la Chifu Kingalu wamelalamika kwa Rais John Magufuli kuwa wanauziwa vizimba kwa bei isiyo ya manispaa na...

READ MORE

Kajala Acha Uongo, Hili Litakuwa Fundisho – Mobeto

  MSANII wa Bongo Fleva na mwanamitindo, Hamisa Mobeto, amesema amechoshwa na baadhi ya watu kumlaumu na kumsingizia mambo ambayo...

READ MORE

Coca-Cola Kwanza Yazindua Tuzo za ‘Mwanamke Shujaa Excellence In Leadership 2021

Coca-Cola Kwanza Ltd, ambayo ni kampuni tanzu ya Coca-Cola Beverages Africa leo imetangaza kuzindua msimu mpya wa kampeni ya Mwanamke...

READ MORE