×

Upandikizaji wa Kwanza wa Uso na Mikono

MMAREKANI Joe DiMeo (22), alifanyiwa upasuaji wa kwanza wa uso na mikono wa saa 23 huko New York, NYU Langone,...

READ MORE

Familia Inayoamini Kusomesha Watoto, Kumiliki Simu, TV ni Dhambi

FAMILIA ya Merchades Buberwa, mkazi wa Kasarani, Bukoba mkoani Kagera, imeeleza haina mpango wa kuwapeleka watoto wao shule, lakini pia...

READ MORE

Dereva Aliyekimbia Ajali Iliyomuua RAS Kwitega Asakwa na Polisi

  DEREVA wa basi la kampuni ya Makara lililogongana uso kwa uso na gari la aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa...

READ MORE

Tanzia: Aliyepiga Picha ya Muungano wa Tanganyika na Zaznibar Afariki

  MWANDISHI wa habari mkongwe, William Mbunga, aliyepiga picha tukio maarufu la Baba Wa Taifa, Hayati Mwl. JK Nyerere akichanganya...

READ MORE

Nafasi za Kazi TPC, Trainee Instrument Technician

Trainee Instrument Technician (2 Posts) TPC Ltd is one of the fast-growing sugar producing companies in Tanzania. The company is...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Rosa Ree Atoa Somo Kwa Wanaokata Tamaa

ROSA Msanii wa muziki wa Hip Hop nchini, Rasary Robert ‘Rosa Ree’, amewapa somo badhi ya watu wanaokatishwa tamaa ya...

READ MORE

Ndoa ya Kajala, Harmonize Yanukia

Siku zote wanasema kuwa lisemwalo lipo kama halipo basi litakuja! hivi ndivyo ilivyo kwenye uhusiano tata kati ya msanii wa...

READ MORE

Bilioni 1.2 Zamng’oa Michael Sarpong Yanga

DILI limefichuka rasmi kuwa Klabu ya Yanga ipo tayari kumuachia mshambuliaji wao, Michael Sarpong endapo tu kama kuna timu itakuwa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Februari 5, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 5, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Fiston Aanza Mikwara Yanga SC – Video

FISTON Abdulazack, mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Yanga amesema kuwa sababu kubwa ya kusaini mkataba ndani ya timu hiyo...

READ MORE

Simba Yasepa Na Pointi Tatu Mbele Ya Dodoma Jiji

MECHI kati ya Dodoma Jiji FC dhidi ya Simba imemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 leo Feburuari...

READ MORE

Simba Yaitungua Dodoma Jiji VPL

MABINGWA watetezi wa ligi  kuu Tanzania Bara Simba, leo Februari 4,wamefanikiwa kushinda mchezo wao ambao ulikuwa ni  kiporo, dhidi ya...

READ MORE

Jaji Yamkuta, DNA Yabaini Watoto 3 wa Ndoa si Wake

JAJI mmoja kutoka jimbo la Delta, Nigeria, kwa jina Anthony Okorodas, amefichua kuwa si baba halisi wa watoto watatu kutoka...

READ MORE

Simba Wajifungia Kumjadili Fiston wa Yanga

BENCHI la ufundi la Simba limeonekana kupata hofu kubwa juu ya uwezo wa mshambuliaji mpya wa Yanga, Fiston Abdoul Razak...

READ MORE

Cheza Mchezo wa Aviator, Kupitia Meridianbet Pekee

Aviator – Faida Kubwa Iliyohalisi Michezo ya kasino inaboreshwa kila siku. Hatuzungumzii sloti ambayo inaubunifu mkubwa kila muda. Michezo inabadilika...

READ MORE

Tanzia: Profesa Mpangala Afariki Dunia

PROFESA wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala, amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi, Februari 4,...

READ MORE

Pazia; Ndoa ya Edu na Regina Mambo ni Moto!

    PAZIA ni moja kati ya Tamthilia pendwa kabisa kwa sasa inayoruka kupitia Maisha Magic Bongo ndani ya Dstv....

READ MORE

Sakata la Baba Diamond Laibuka Upya, Familia ya Nyange Yafunguka – Video

  MDOGO wake marehemu Salum Idd Nyange, Abdul Kambaya, ameibuka na kuanika mapya kuhusu familia hiyo ya marehemu ambayo imekuwa...

READ MORE

Majaliwa: Halmashauri Zikamilishe Madarasa kwa Mapato Yao

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameagiza halmashauri zote nchini kutenga bajeti kwa kutumia mapato yao ya ndani kwa ajili ya...

READ MORE