×

Breaking News: Waziri Mkuu DRC Ajiuzulu

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Sylvestre Ilunga Ilunkamba,  amejiuzulu rasmi wadhifa huo na kuwasilisha barua yake...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi Kirahisi Zaidi Hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Januari 30, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 30, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nandy Apewa Vyombo Baada ya Vichambo – Video

MSANII wa Bongo Fleva, Fausta Charles ‘Nandy’ amepewa zawadi ya vyombo na mtangazaji Dina Marius baada ya kupokea vichambo kutoka...

READ MORE

Tambo Zatawala Global FC VS DSTV

JOTO limezidi kutanda kuelekea mechi ya kirafiki kati ya Global FC dhidi ya timu ya DSTV mchezo unaotarajiwa kupigwa kesho...

READ MORE

Mtambo Wa Mabao Watua Yanga, Fiston Abdulazack

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Yanga, Fiston Abdulazack ambaye ni mtambo wa mabao leo Januari 29 amewasili rasmi ndani ya ardhi...

READ MORE

Manchester United v Arsenal Kukiwasha Kesho – Premier

Mambo yanazidi kunoga kwenye Ligi Soka Mbalimbali barani Ulaya. Mbio za Ubingwa na mchakamchaka wa kutoshuka daraja msimu ujao, ni...

READ MORE

Bingwa wa Simba Super Cup Kulamba Mil. 15

KLABU ya Simba imeweka wazi zawadi atakazopata bingwa wa michuano ya Simba Super Cup iliyoanza Januari 27, 2021 ambazo ni...

READ MORE

T.I, Mkewe Watuhumiwa Kuwafanyia Ukatili Wanawake 25

WANAWAKE zaidi ya 25 wamejitokeza na kudai kuwahi kufanyiwa vitendo vya kikatili na rapa Mmarekani, T.I. pamoja na mkewe Tiny...

READ MORE

Waziri Ashindwa Kueleza Walipopelekwa Waliokamatwa na Wanajeshi

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Uganda, Jenerali Jeje Odongo amesema, anashindwa kueleza mahali walipopelekwa watu waliochukuliwa na wanajeshi...

READ MORE

Tanzia: Mwigizaji Mkongwe Cicely Tyson Afariki Dunia

  MWIGIZAJI mkongwe wa Marekani, Cicely Tyson, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96. Dunia itamkumbuka kama mwanzilishi kwenye...

READ MORE

Kifurushi cha Sumu Chakutwa Ikulu, Wasaidizi wa Rais Waugua Ghafla

  WASAIDIZI wawili wa Rais wa Tunisia wameugua baada ya kufungua kifurushi kilichofikishwa katika ofisi yao kilichoshukiwa kuwa na sumu,...

READ MORE

Lokosa Fiti Kuibeba Simba Dhidi ya Mazembe

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes amesema kuwa straika mpya wa timu hiyo Junior Lokosa atakiwasha kwenye mchezo ujiao dhidi...

READ MORE

WHO Kuanzisha Uchunguzi Chimbuko la Corona Wuhan

WATAALAMU kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) wameanza kuchunguza chimbuko la virusi vya corona kwa kutembelea hospitali moja mjini Wuhan...

READ MORE

Kisiwa cha Harishi- Part 9

“Kisiwa cha Mauti, Kisiwa cha Harishi, mahali yalipo makazi ya jini hatari anayeishi kwa kufyonza damu na ubongo wa binadamu....

READ MORE

Serikali Kufutia Leseni Wanaopandisha Bei ya Mafuta ya Kupikia

Waziri wa Viwanda na Biashara, Geofrey Mwambe amewaonya wafanyabiashara wa mafuta ya kula watakaopandisha bei ya bidhaa hiyo kinyume na...

READ MORE

JPM Azindua Maji ya Ziwa Victoria Kahama, Amsifu Waziri wa Maji – Video

RAIS  John Magufuli leo amezindua mradi wa maji wa Ziwa Victoria kwa ajili ya miji ya Kagongwa na Isaka mkoani...

READ MORE

Instant Keno kutoka Studio za Expanse, Kupitia Kasino ya Meridianbet Pekee

Weka utabiri wako kwenye namba 10 za bahati ukiwa unategemea faida kubwa kwenye mchezo wa Instant Keno kutoka Studio za...

READ MORE

Aweso Awaonya Watakaochezea Miradi ya Maji

WAZIRI wa Maji, Juma Aweso, amewatahadharisha wataalum wa Wizara ya Maji na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya maji kutokuchezea miradi hiyo...

READ MORE