Mkuu wa mkoa Mbeya, Albert Chalamila amemuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa huo kuwasafirisha bure wananchi wote wa kijiji cha...
READ MOREShirika la afya ulimwenguni WHO, limesema wafanyakazi wa afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamegundua kisa kipya cha virusi...
READ MOREMAJESHI ya kulinda amani yamethibitika kuwa silaha bora zaidi ya Umoja wa Mataifa katika kuzisaidia nchi kadhaa kutoka katika matatizo...
READ MOREAfrika Kusini imesitisha mipango ya kuanza utoaji chanjo ya Corona (AstraZeneca) na Oxford baada ya utafiti kuonyesha kuwa chanjo hizo...
READ MORETimu ya Taifa ya Morocco usiku wa jana tarehe 7/2/2021 waliibuka mabingwa wa michuano ya CHAN baada ya kuifunga Mali...
READ MORENJEMBA mmoja katika Mtaa wa Kawangware, jijini Nairobi nchini Kenya ametokwa na kijasho chembamba baada ya kunaswa akitafuna asali ya...
READ MOREMADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Uyui Mkoani Tabora wamemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hemed Magalu kumsaka Mtendaji wa...
READ MOREKijiji kimoja cha Indonesia kimekumbwa na mafuriko yenye rangi ya damu baada ya maji kuingia katika kiwanda kimoja cha nguo....
READ MOREPOLISI katika kaunti ya Nyandarua nchini Kenya wanachunguza hali iliyosababisha kifo cha mzee mmoja mwenye miaka 58, ambaye ameaga dunia...
READ MORETAIFA la Afrika Kusini jana Februari 6, limesitisha kuanza utoaji chanjo ya AstraZenecana Oxford baada ya utafiti kuonesha chanjo hizo...
READ MORERAIS wa Marekani, Joe Biden, amesema hataondoa vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Iran hadi itakapotimiza makubaliano yaliyofikiwa chini ya mkataba...
READ MOREASHA RAJABU (28) mkazi wa kijiji cha Samanga Marangu wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amesimulia namna alivyorukishwa kichurachura na mwenyekiti...
READ MOREVIDEO inayosambaa mtandaoni inaonyesha madai ya uongo ya wanafunzi wa shule wakiwa wanakimbia kuchomwa chanjo ya corona kwa lazima. ...
READ MOREJipatie nakala ya Gazeti la Championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la...
READ MOREKARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...
READ MOREWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Dorothy Gwajima, ameagiza kusimamishwa kazi Mganga Mkuu wa Halmashauri...
READ MOREGIZA nene limetanda katika kijiji cha Wari, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, baada ya mme na mke kufariki siku moja...
READ MOREKIONGOZI wa kanisa katoliki duniani, Papa Francis, amemchagua mwanamke wa kwanza kuwa katibu katika baraza la mkutano wa maaskofu. ...
READ MOREHapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 8, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...
READ MORETANZANIA imeendelea kufanya vizuri katika mapambano dhidi ya rushwa ambapo kwa mujibu wa taarifa ya taasisi ya utafiti ya kimataifa,...
READ MORE