×

Chameleone Afuata Nyayo za Mondi

LICHA ya kwamba alitangulia kwenye gemu lakini anachokifanya kwa sasa ni kama staa wa muziki kutoka Uganda, Joseph Mayanja ‘Chameleone’...

READ MORE

Riyama Aanika Kinachomkosha kwa Mumewe

MUIGIZAJI Riyama Ally kwa mara ya kwanza ametaja siri ya kitu asichokipenda mume wake, Haji Mwalimu Mzee ‘Leo Mysterio’ kuwa...

READ MORE

Utajiri wa Bilionea wa Ngurudoto Gumzo

MADAI ya hoteli ya kitalii na kifahari ya nyota tano ya Ngurdoto Mountain Lodge ya jijini Arusha ya kugeuzwa hosteli...

READ MORE

Harmo Aundiwa Hujuma Nzito

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rajab Abdul ‘Harmonize’ hivi karibuni ameundiwa hujuma nzito baada ya kudaiwa kuacha kufanya...

READ MORE

Mahakama Yatengua Hukumu ya Kina Mwana FA, AY

MAHAKAMA Kuu, Dar es Salaam, imetengua hukumu iliyoiamuru kampuni ya simu za mkononi MIC (T) Limited, maarufu Tigo, kuwalipa wanamuziki...

READ MORE

Gonjwa la Ajabu Lajitokeza India, Watu 140 Walazwa

MAOFISA nchini India wanachunguza ugonjwa ambao haujafahamika uliosababisha zaidi ya watu 140 kulazwa mwishoni mwa wiki hii. Wagonjwa hao kutoka...

READ MORE

Mwanajeshi Aliyempiga Refa Ashughulikiwa na Polisi – Video

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayedaiwa kumpiga mwaamuzi Fadhil Maka aliyekuwa akichezesha mchezo kati ya Pamba FC na...

READ MORE

Mwili wa Marehemu Wapotea Kwenye Jeneza, Wakutwa Nyumbani

WANANCHI wa Kijiji cha Kona Nne Wilaya ya Kaliua mkoani wa Tabora wameshangazwa na kurejea kwa mwili wa marehemu aliyefariki...

READ MORE

Kaze Ampeleka Saido First Eleven Yanga

AKIFANYA mazoezi kwa siku tatu tangu atue hapa nchini kuitumikia Yanga, kiungo mshambuliaji mpya wa kikosi hicho, Said Ntibazonkiza ‘Saido’,...

READ MORE

Wafanyakazi 4 Chuo Kikuu Wasimamishwa Kazi Kisa Suarez

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uruguay, Luis Suarez, amewaponza wafanyakazi wanne wa chuo kikuu cha Perugia nchini Italia, ambao wanashukiwa kuhusika...

READ MORE

Sitasahau nilivyomfuma Mume wangu na Mchepuko chumbani kwetu

Hakuna kitu kinaumiza kwenye uhusiano kama usaliti lakini unakuta mwanaume anakusaliti na bado anakuletea dharau mpaka kufikia kiasi cha kumleta...

READ MORE

Kuku Aliyezaliwa na Mwanamke Kigoma Kuchunguzwa

POLISI Mkoa wa Kigoma limesema kuku aliyezaliwa na  mwanamke mkoani humo, atapelekwa kwenye Maabara ya Mkemia wa Serikali kwa ajili...

READ MORE

Mama Mzazi wa Petit Man Afariki Dunia – Video

  MAMA Mzazi wa Petit Man Wakuache, amefariki dunia jana Desemba 6, ambapo alikuwa amelazwa hospitali ya Muhimbili. Petit Man...

READ MORE

LIVE: Benki ya CRDB Inafanya Uzinduzi wa ‘Kava Assurance’

Benki ya CRDB leo Desemba 7  inafanya uzinduzi wa ‘kava assurance’ hafla hiyo inafanyika kwenye Hotel ya Serena Jijini Dar...

READ MORE

NMB Yapongezwa Kuchangia Maendeleo Zanzibar

  Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na chama tawala wamevutiwa na jinsi Benki ya NMB ilivyojipanga kushiriki katika shughuli...

READ MORE

Kigogo TANESCO Kizimbani kwa Kuhujumu Mradi SGR

MFANYAKAZI wa TANESCO mkazi wa Kibaha kwa Mathias Mkoani Pwani amefikishwa katika mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es...

READ MORE

Gari la Rais Linalomilikiwa na Mondi Lazua Jambo

GARI la mwanamuziki maarufu nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘DiamondPlatnumz’, limemzulia jambo zito na kumuweka katika ‘vita ya maneno’ Rais wa...

READ MORE

Sakata la Membe Kudaiwa Kuondoka ACT-Wazalendo

BAADA ya kusambaa kwa taarifa mitandaoni zinazodai kwamba aliyekuwa mgombea urais wa chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe, kuwa atajitoa katika...

READ MORE

Wateja Benki ya NCBA Wafurahia Punguzo La Bei Maduka Ya GSM

Benki ya NCBA inawazawadia wateja wake wa NCBA Visa Debit na Visa Credit card kwa punguzo kubwa la gharama kila...

READ MORE

 Zuchu, Nandy Wakabana Tena

HII ni jino kwa jino! Wakati wenyewe wakijinasibu kuwa hawana kinyongo kati yao, upande wa pili, hesabu zinaonesha kuwa Faustina...

READ MORE