×

Bilionea Ginimbi Kuzikwa na Gunia la Fedha

  BILIONEA wa Zimbabwe, Genius Kadungure maarufu Ginimbi, atazikwa na gunia lililojaa fedha, kama alivyoagiza kwa wanachama wa ‘all-white funeral’....

READ MORE

Rayvanny Avunja Uchumba wa Nanah!

MUUZA sura (video queen) kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Nabila Aslam ‘Nanah’ aliyeonekana kwenye video ya Wimbo wa...

READ MORE

Spika Asitisha Bunge Ili Kupokea ‘Bahasha’ ya Rais – Video

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amesitisha shughuli za Bunge kwa muda wa nusu saa...

READ MORE

Nafasi za Kazi SHUWASA , Mkuu wa Usimamizi wa Utunzaji

POST HEAD OF PROCUREMENT MANAGEMENT UNIT – 1 POST POST CATEGORY(S) PROCUREMENT & LOGISTIC MANAGEMENT EMPLOYER Shinyanga Urban Water Supply...

READ MORE

Wafanyabiashara Wawili Wanaswa na Bangi, Sare za JWTZ – Pichaz

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia wafanyabiashara wawili wanaofahamika kwa majina ya Husein Sadick Juma (29) mkazi wa Kimara Temboni jijini Dar...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Novemba 12, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 12, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Simba SC yaondoka na mastaa Yanga SC

UPO uwezekano mkubwa wa Kocha Mkuu mpya wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze kupitisha panga zito katika kuelekea usajili wa dirisha...

READ MORE

 Bao la Onyango Lawanyima Mastaa Yanga Sh mil 500

BAO la kusawazisha la beki wa kati, raia wa Kenya, Joash Onyango, limezuia Sh milioni 500 walizoahidiwa wachezaji wa Yanga...

READ MORE

Mrembo Afanyiwa Kitu Mbaya Kisa Mapenzi – Video

Binti Angel Peter ameendelea kuuguza makovu aliyoyapata baada ya kuchanwa na viwembe na wasichana ambao walikuwa wamelenga kumfanyia tukio hilo...

READ MORE

Kaze: Chama, Luis ndiyo hatari Simba

KOCHA Mkuu mpya wa Yanga, Mrundi Cedric Kaze, ametamba kuwa tayari ameshawajua wachezaji hatari wa Simba wa kuwazuia mara watakapokutana...

READ MORE

 Kisa penalti, shabiki Simba afariki dunia

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, shabiki wa Simba ambaye pia ni mwanachama wa timu hiyo kutoka wilayani Misungwi jijini Mwanza,...

READ MORE

Wabunge Wote wa Upinzani Wajiuzulu Hong Kong

BAADA ya Wabunge wenzao 4 kufukuzwa  kazi, Wapinzani wote 15 ambao ni watetezi wa demokrasia  wamejiuzulu ikiwa ni ishara ya...

READ MORE

Rais Mwinyi Amuita Maalim Seif Kuridhiana – Video

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema yuko tayari kushirikiana na vyama vingine vya siasa, kuendesha serikali kama ambavyo...

READ MORE

Kamera Iliyopiga Picha ya Kwanza Duniani Iko Mnadani

KAMERA ya zamani  iliyotengenezwa mwaka 1840 itauzwa kwa pauni 70,000 katika mnada huko  Berksshire, nchini Uingereza.   Kwa ujumla zipo...

READ MORE

Mzee Miaka 60 Kortini Akituhumiwa Kubaka

MZEE mwenye umri wa miaka 60 mkazi wa shehia ya Finya Wilaya ya Wete amefikishwa katika mahakama ya Mkoa wa...

READ MORE

TANZIA: Mwakilishi Mteule ACT-Wazalendo Afariki Dunia

MWAKILISHI Mteule wa Pandani kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Abubakar Khamis Bakar (69) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatano tarehe...

READ MORE

Biden Kumpendekeza Obama Balozi Uingereza

VYOMBO vya habari vya Uingereza vimesema, kama Joe Biden akiapishwa kuwa rais, huenda atampendekeza rais wa zamani wa Marekani, Barack...

READ MORE

Magufuli Kuhutubia Bunge Ijumaa

  RAISDk John Magufuli anatarajiwa kulihutubia Bunge la 12 Ijumaa Novemba 13, 2020,  saa 3:00 asubuhi, Dodoma,  kuashiria kuanza rasmi...

READ MORE

Msuva Ajiunga na Wydad Casablanca ya Morocco

WINGA wa Tanzania, Simon Msuva, ameripotiwa kujiunga na klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa miaka minne akitokea...

READ MORE