×

Tanzia: Rais Rawlings wa Ghana Afariki Dunia kwa Covid-19

  RAIS Mstaafu wa Ghana, Jerry Rawlings (73), amefariki dunia nchini humo kutokana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi...

READ MORE

Senzo Atoa Kauli Nzito Bifu Lake na Simba

BAADA ya jana Novemba 11, 2020, mshauri wa klabu ya Yanga SC, Senzo Mazingisa, kuhojiwa na maofisa wa polisi katika...

READ MORE

Uwanja wa Ndege Bujumbura Wafunguliwa

KUANZIA siku ya Jumapili, Uwanja wa ndege wa Bujumbura, Burundi, umefunguliwa kwa ajili ya ndege zinazofanya safari kimataifa baada ya...

READ MORE

Kingdom Leadership Network Tanzania na Chuo cha Regent cha Marekani Kutoa Kozi

TAASISI ya Kingdom Leadership Network Tanzania na Chuo Kikuu Regent cha nchini Marekani wameungana na katika kutoa kozi mbalimbali hapa...

READ MORE

Mfahamu Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

MAJALIWA Kassim Majaliwa, ambaye amethibitishwa leo Alhamisi, Novemba 12, 2020 na Bunge la 12 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea...

READ MORE

Dkt. Tulia Ashinda Unaibu Spika – Video

MBUNGE wa Mbeya Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Tulia Ackson, amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge...

READ MORE

Tumbili wa Ajabu Agunduliwa na Wanasayansi

TUMBILI  wanaojulikana kwa jina la Popa langur, ambalo ni jina la mlima Popa, barani Asia, wanakabiliwa hatari ya kuangamia kwa...

READ MORE

Kijiji India Chasherehekea Ushindi wa Kamala Marekani

WAKAZI wa kijiji cha   Thulasendrapuram kusini mwa  India, wamesherekea ushindi wa Makamu wa Rais Mteule wa Marekani, Kamala  Harris, ambaye...

READ MORE

Majaliwa Athibitishwa na Bunge Zima Kuwa Waziri Mkuu – Video

MBUNGE wa Ruangwa, Kassim Majaliwa Majaliwa, amethibitishwa kwa kupigiwa kura za NDIYO  na wabunge wote 350 waliokuwemo Bungeni leo Alhamisi,...

READ MORE

Nyumba ya Kobe Bryant Yapigwa Mnada

Nyumba aliyokalia aliyekuwa gwiji wa mpira wa Kikapu, marehemu Kobe Bryant imepigwa mnada na kuuzwa kwa kiasi cha ($810,000) sawa...

READ MORE

Liverpool Yapata Pigo Tena

BEKI wa kati wa klabu ya Liverpool, Joe Gomez, ameripotiwa kupata majeraha makubwa na anatazamiwa kukaa nje kwa muda mrefu....

READ MORE

Hanscana Aapa: Nimekoma Kusimamia Wasanii

MWONGOZAJI maarufu wa video Bongo, Director Hanscana,  hupenda kuongea na mashabiki zake kupitia instagram na kuruhusu mashabiki kumuuliza maswali.  ...

READ MORE

SBL Yadhamini Mashindano ya Waitara Golf Kupitia Kinywaji cha Johnnie Walker

TAKRIBANI wachezaji 150 wa golf kutoka sehemu mbali mbali hapa nchini wanatarajia kuchuana vikali kwenye mashindano ya kila mwaka maarufu kama  Waitara...

READ MORE

Breaking: JPM Apendekeza Majaliwa Kuwa Waziri Mkuu – Video

RAIS John  Magufuli amempendekeza na kumteua tena Mbunge wa Ruangwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu...

READ MORE

Unakosaje Hii Kwa Mfano? Furahia Sauti za Wanyama Kutoka Msituni

Furahia sauti za wanyama wa msituni kwenye sloti ya Forest Rock kutoka Expanse Studios. Cheza kwa kutumia pesa halisi kwenye...

READ MORE

Vodacom Yazindua Huduma ya Duka Linalotembea

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom PLC imezindua huduma ya Duka linalotembea ili kuwafikia wateja popote. Uzinduzi umefanyika jana...

READ MORE

Mhariri: King Kikii Anateseka, Tumsaidieni

MHARIRI wa gazeti hili la IJUMAA WIKIENDA, Sifael Paul anawaomba wapenzi na wadau wa burudani ya muziki nchini kumsaidia mwanamuziki...

READ MORE

Zuchu Azidi Kumfokea Nandy

SECOND lady wa lebo kubwa ya muziki barani Afrika ya Wasafi Classic Baby (WCB), Zuhura Othman ‘Zuchu’, anazidi kumfokea mwanadada...

READ MORE

Bilionea Ginimbi Kuzikwa na Gunia la Fedha

  BILIONEA wa Zimbabwe, Genius Kadungure maarufu Ginimbi, atazikwa na gunia lililojaa fedha, kama alivyoagiza kwa wanachama wa ‘all-white funeral’....

READ MORE

Rayvanny Avunja Uchumba wa Nanah!

MUUZA sura (video queen) kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Nabila Aslam ‘Nanah’ aliyeonekana kwenye video ya Wimbo wa...

READ MORE