×

Sakata La Muuguzi Kibondo Mganga Mkuu Wa Serikali Atoa Tamko

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewatoa hofu wananchi juu ya picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Muuguzi na...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ahamasisha Maelfu Kumsapoti Dkt. Samia Itilima

Itilima, Simiyu – Balozi Emmanuel Nchimbi, Mgombea Mwenza wa CCM, amekutana na maelfu ya wakazi wa Itilima katika mkutano wa...

READ MORE

Mtanzania Adaiwa Kuuawa na Polisi Afrika Kusini, Familia Yalia Uchungu – Video

Wiki iliyopita mitandao ya kijamii ilivuma kwa picha zilizomuonesha Mtanzania, Issa Kwisa, ambaye alikuwa akiishi nchini Afrika Kusini, akidaiwa kuuawa...

READ MORE

Serikali: Simba na Yanga Zitafute Viwanja Mbadala vya Michezo

Serikali imetoa wito kwa klabu kongwe za Simba SC na Yanga SC, ambazo kwa sasa hutumia Uwanja wa Benjamin Mkapa...

READ MORE

Hawa Ndio Wanaotajwa Kushuka Daraja EPL 2025/26, Odds Zao Zimechacha

Pesa nje nje ndani ya Meridianbet siku ya leo. Leo hii unaweza ukabashiri timu ambazo zinaweza kushuka daraja msimu ujao pale Uingereza. Odds za timu…

READ MORE

Majaliwa Kufungua Kongamano La Chama Cha Madereva

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Septemba 02, 2025 anafungua Kongamano la nne la Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania, linalofanyika...

READ MORE

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Kusikilizwa Mahakama Kuu Septemba 12

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imepangwa kusikilizwa katika Mahakama...

READ MORE

Uzinduzi Mabasi ya Mwendokasi Mbagala Wasogezwa Mbele

DAR-Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka (Mwendokasi) katika barabara ya Mbagala, ambayo awali ilitarajiwa kuanza Septemba 1, 2025 imesogezwa mbele kutokana...

READ MORE

Meridian Bonanza, Mchezo Mpya wa Kusisimua Unaotikisa Meridianbet

Meridianbet imezindua rasmi mchezo mpya kabisa, Meridian Bonanza, ukiwa wa kisasa na wenye ubunifu wa hali ya juu. Meridian Bonanza...

READ MORE

Kauli Wanazopenda Wanaume Kuzisikia Kwa Wenza Wao, Zipo Hapa

HAKUNA kitu kizuri kwenye uhusiano kama kujua mwenzako anapenda nini. Unapomjua mwenzako anachokipenda, itakusaidia katika suala zima la kudumisha uhusiano....

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 2,2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Pigabet Yawatangaza Washindi wa Promosheni za Shinda Ndinga na Jismatishe

Kampuni ya michezo ya kubashiri PigaBet leo imetangaza kwa shangwe majina ya washindi wa promosheni zake kubwa mbili – SHINDA...

READ MORE

Chama Ajiunga na Singida Black Stars kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja

Kiungo mshambuliaji kutoka Zambia, Clatous Chama, amemalizana na klabu ya Singida Black Stars baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja...

READ MORE

Times FM Kutangaza Mubashara Kagame Cup, Kuanza Kesho

MSIMU mpya wa Kombe la Kagame (Kagame Cup) unaanza kesho Septemba 2, 2025 kwa mechi mbili kuchezwa kwenye uwanja wa...

READ MORE

Zombie Apocalypse Yaja Na Ushindi Juu Ya Ushindi.

Kila mchezaji wa kasino mtandaoni anajua kuwa mzunguko mmoja ndani ya mchezo unaweza kubadilisha historia ya kila kitu. Lakini Meridianbet...

READ MORE

Bayer Leverkusen Yamfuta kazi Erik ten Hag Baada ya Mechi Mbili

Kocha wa zamani wa Manchester United, Erik ten Hag, ameondolewa rasmi katika benchi la ufundi la klabu ya Ujerumani Bayer...

READ MORE

Fursa za Ajira SUA 2025 – Walimu, Wasaidizi na Nafasi Nyingine

Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) kilianzishwa tarehe 1 Julai 1984 kwa Sheria ya Bunge Na. 6 ya mwaka huo, ambayo...

READ MORE

Siri ya Mafanikio ya Mfungaji Tajiri Aliyekuwa na Maisha Duni

Samweli alizaliwa na kukulia katika kijiji kidogo kilichopo mkoani Mbeya, familia yake ikiwa ni ya hali ya chini kabisa. Wazazi...

READ MORE

Chelsea Yavunja Ukuta Old Trafford, Yamchukua Garnacho kwa Euro Milioni 46

Klabu ya Chelsea imethibitisha kukamilisha usajili wa winga chipukizi wa Kimataifa wa Argentina, Alejandro Garnacho, akitokea Manchester United kwa ada...

READ MORE

Historia yaandikwa Kibaigwa: Dkt. Samia apokelewa na umati wa zaidi ya watu 200,000

Historia nyingine imeandikwa jana jioni katika mji wa Kibaigwa, Dodoma, baada ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na...

READ MORE