×

Mama Cookie Aapa Kuzaa Mpaka Baasi!

Mwanamama mkali kunano Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson Jujuman ‘Mama Cookie’, ameapa kuzaa mpaka baasi, huku akitanabaisha kuwa, kikubwa anachoangalia...

READ MORE

Lissu Amuweka Njia Panda Bernard Membe

Mbio kuelekea Uchaguzi Mkuu, unaotarajiwa kufanyika oktoba 28, mwaka huu, zinazidi kushika kasi, huku mgombea urais kupitia Chama cha Chadema,...

READ MORE

Jilipe na Meridianbet Liverpool Akikiwasha na Leeds United

Kwa wapenzi wa soka, tulikuwa na hamu sana ya kuona msimu wa soka unarejea. Kuna mechi kibao Ligi Kuu Uingereza,...

READ MORE

Country Boy Atinga Na Ndinga Ya Kifahari Kwenye Shoo Yake -Video

 Msanii mpya wa lebo ya Konde Gang, Country Boy, alivyowasili katika usiku wake uliopewa jina la ‘THE FATHER NIGHT’…....

READ MORE

Benki ya NMB yadhamini CDF Trophy Cup 2020 kwa Sh. Mil. 40

  Benki ya NMB imetangaza kudhamini Michuano ya Gofu – Kombe la Mkuu wa Majeshi ‘CDF Trophy Cup 2020’, inayotarajia...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Septemba 12, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 12, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Dili la Suarez na Juventus Limeisha

MERIPOTIWA kuwa mabingwa wa Serie A, Juventus, watakuwa wakimlipa Luis Suarez kiasi cha euro 3m kwa mwaka na bonasi kiasi...

READ MORE

Kumekuchaaa… Askofu Gwajima Kuzindulia Kampeni Bunju A, Jumapili

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM, Askofu Josepaht Gwajima anatarajia kuzindua kampeni zake keshokutwa Jumapili kwenye viwanja vya...

READ MORE

ZEC Yamteua Maalim Seif Kugombea Urais

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Wasafi FM Yafungiwa siku 7 na TCRA

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kusitisha utoaji huduma za utangazaji kwa Wasafi FM kwa muda wa siku saba baada...

READ MORE

Mserbia Amuongezea Mabao Sarpong

KOCHA Mkuu wa Yanga Mserbia, Zlatko Krmpotic amekiangalia kikosi chake kwa dakika 90 na kugundua upungufu kwenye safu yake ya...

READ MORE

Watia Nia Ubunge CCM Jimbo la Hai Waja Na Jambo Lao

Aliyekuwa mtiania wa kugombea Ubunge Jimbo la Hai kupitia CCM, Shabani Mwanga, leo ametangaza rasmi kuanza kuungana na mgombea aliyepitishwa...

READ MORE

Samia Apokea Wapinzani 150 Tandahimba

MGOMBEA mwenza wa kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia...

READ MORE

Simba Yawapangia Mtibwa Full Mkoko

KIKOSI cha Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kimeondoka jana asubuhi kuelekea mkoani Morogoro kikiwa kamili tayari kuwavaa Mtibwa...

READ MORE

Septemba 11, Ni Mungu Pekee ndiye Anajua Kilichotokea!

HABARI nyingi kupita kiasi, husumbua ubongo wa mwanadamu.Lakini kwa kutazama mambo kwa uangalifu, ni bora zaidi kuwa na habari nyingi...

READ MORE

Harmonize Amtambulisha Country Boy, Ampa ‘Jina la Baba’ – Video

MSANII wa Bongo Fleva, Harmonize, amemtambulisha msanii Country Boy kama msanii mpya wa lebo yake ya Konde Gang ambayo inakuja...

READ MORE

Corona Yachangia Ongezeko La Watu Kujiua

Kujiua (Suicide) ni mojawapo ya vyanzo vya kifo kwa watu wenye matatizo ya kisaikolojia au matatizo ya akili. Jaribio la...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Julio: Wapeni Muda Yanga, Watakaa Sawa

KOCHA wa zamani wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amefichua kuwa kwa jinsi kikosi cha Yanga kilivyo msimu huu itachukua muda...

READ MORE

Mgombea Urais Adaiwa Kuondoka Nchini – Video

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amedai kuwa mmoja wa wagombea urais wa Jamhuri...

READ MORE