×

Bosi Simba Akutana na Rais wa CAF Cairo, Misri

OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez,  leo Septemba 24, 2020 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la...

READ MORE

Marioo Aaanika Ukweli Kutaka Kujinyonga Kisa Mimi Mars

Msanii wa Bongo Fleva, Marioo amenyoosha maelezo kuhusu kutaka kujinyonga kisa kutendwa kwenye suala zima la mapenzi kama ambavyo alivyoashiria...

READ MORE

Simba Yaipiga Bao Al Ahly Kwenye Mtandao

KLABU ya Simba, imezifunika timu nyingi Afrika ikiwemo Al Ahly na Zamalek, kutokana na kushika namba moja kwa umaarufu zaidi...

READ MORE

Nafasi za Kazi NEEC, Director of Empowerment facilitation and local Content

POST DIRECTOR OF EMPOWERMENT FACILITATION AND LOCAL CONTENT – 1 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL...

READ MORE

Hatimaye Suarez Ajiunga na Atletico Madrid

BARCELONA wamekubali kumwachilia mshambuliaji wake, Luis Suarez, ambaye ni raia wa Uruguay ajiunge na washindani wakuu katika Ligi Kuu ya...

READ MORE

Mshindi wa Jackpot ya SportPesa Kuanzisha Biashara Kubwa

Turiani, Septemba 23, 2020. Kampuni ya Michezo na Burudani ya SportPesa Tanzania imemkabidhi mshindi wa Jackpot SportPesa , Lilian Ngitoria...

READ MORE

Kijiji kwa Kijiji! Shigongo Atua Kome Kuomba Kura – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, amewaomba wanachama wa chama hicho...

READ MORE

Shoo ya Nandy Yaiteka Arusha NCBA ikizindua Matawi Mapya

Msanii wa kizazi kipya Faustina Charles Mfinanga maarufu Nandy mwishoni mwa wiki iliyopita alipiga bonge la shoo kwenye hafla ya...

READ MORE

Haijawahi Kutokea! Zuchu Aweka Rekodi ya Ajabu WCB

ANAWAKERA eeeh? Mchawi wa Zuhura Othman Soud almaarufu ‘Zuchu’ si mwingine, bali ni namba ambazo zinamfanya aweke rekodi ya ajabu...

READ MORE

Mbrazil wa Simba Nje Wiki Tatu

KIUNGO mkabaji ndani ya klabu ya Simba, Gerson Fraga, ambaye ni raia wa Brazil, atakuwa nje ya Uwanja kwa muda...

READ MORE

Benki ya NCBA yazindua tawi jipya Zanzibar

Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mh. Balozi, Mohamed Ramia Abdiwawa (katikati) akikata utepe kuzindua tawi...

READ MORE

40 Mbaroni kwa Tuhuma za Kuwakata Mapanga Viongozi wa CCM

POLISI inawashikilia watu 40 kwa tuhuma za kuwashambulia viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwakata na mapanga Visiwani Pemba....

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Septemba 24, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 24, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Wanafunzi Wafariki Katika Mlipuko wa Lori la Mafuta

WATU wapatao 25 wamefariki nchini Nigeria baada ya lori kumshinda dereva  na kukosa uelekeo kisha kugonga magari mengine na tenki...

READ MORE

 Mzee Yusuf Ana Jambo Lake Dar Live

MWENYE Taarab yake Bongo; Mzee Yusuf, anatarajia kufanya bonge moja la shoo kwenye Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Mtoto Mbongo, Adaiwa Mil. 80 za Matibabu Kenya

HURUMA kwa mtoto huyu! Ndivyo unavyotakiwa kusema kutokana na bibi mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Sada William, kujikuta katika wakati...

READ MORE

TGNP Yatoa Semina ya Kujadili Bajeti ya Mrengo wa Kijinsia

Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umefanya semina kujadili ufahamu wa wadau kutoka kata mbalimbali jijini Dar, kuhusu bajeti yenye mrengo...

READ MORE