×

Video: Front Page | JPM, Watanzania Wamlilia Mkapa

 Karibu utazame kipindi cha Front Page kipindi kinachoangazia taarifa mbalimbali zilizopewa nafasi katika magazeti ya kiswahili ambapo pia wachambuzi...

READ MORE

Video: Binti Mwenye ‘Division One’ Aomba Msaada Wa Kusomeshwa

 Irene John ni binti mwenye uwezo mkubwa wa kimasomo ambapo ameweza kufaulu vizuri masomo yake ya sayansi na kupata...

READ MORE

Video: Buriani Benjamin William Mkapa, Hotuba Alizowahi Kutoa Enzi Za Uhai Wake

 Pumzika mahali pema Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa, ile kauli yako ya kujitegemea imekaa mioyoni mwetu, lile daraja refu...

READ MORE

Mbelgiji Afunga Mjadala Yanga SC

WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa inaenda kumalizika kwa msimu huu, Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael raia wa Ubelgiji fasta...

READ MORE

JPM Atangaza Siku Saba za Maombolezo ya kifo cha Benjamin Mkapa

RAIS MAGUFULI atangaza siku saba za maombolezo ya kifo cha Marehemu Benjamin Mkapa,bendera kupepea nusu mlingoti kuanzia leo Ijumaa Julai...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa, Julai 24, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 24, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

BREAKING: Rais wa awamu ya 3, Benjamin William Mkapa Afariki Dunia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa masikitiko makubwa ametangaza kifo cha Rais Mstaafu...

READ MORE

Takukuru Yawasimamisha Kazi Waliomkera JPM

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewasimamisha kazi watumishi tisa waliohusika katika usimamizi na ujenzi wa majengo saba...

READ MORE

Vijana Kinondoni Wapewa Pikipiki, Bajaji

    Manispaa ya Kinondoni leo imekabidhi vyombo vya moto vya  usafiri Bodaboda na Bajaji vyenye thamani ya shilingi milioni...

READ MORE

Polisi Yaeleza Mwenyekiti wa BAWACHA Aliyeuawa kwa Mshale

  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma (RPC), Gilles Muroto amesema chanzo cha kifo cha Mwenyekiti wa BAWACHA, Kata ya...

READ MORE

Tume ya Uchaguzi Yabadili Majina ya Majimbo Matatu

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebadilisha kwa majina ya majimbo ambapo Jimbo la Chilonwa litaitwa Chamwino, Mtera linaitwa Mvumi...

READ MORE

Jenifer: Nalipa Fadhila kwa Mama Kanumba!

JENIFER Kanumba siyo jina geni kwenye masikio ya mashabiki wa Bongo Movies. Jina lake halisi ni Hanifa Daudi. Ni kipaji...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Siri Misikiti, Shule za Kiislamu Kuungua Moto

MFULULIZO wa matukio ya ajali za moto katika misikiti na shule mbalimbali za Kiislamu jijini Dar es Salaam, yamewatikisa viongozi...

READ MORE

Juliana Lumumba: Ubelgiji Irejeshe Meno, Mifupa ya Baba

JULIANA LUMUMBA, mtoto wa aliyekuwa waziri kuu wa kwanza wa nchi ambayo leo inajulikana kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,...

READ MORE

Kusah: Mimi na Aunt Acha Lizame!

“WE umenikaa, umenikaa kwa roho… Nafsi mpaka akili yangu… We dada umenibamba mmmh mhh… Ooh darling, halafu tumetokaga mbali mmh…...

READ MORE

Madagascar Hatarini Kuelemewa na Wagonjwa wa Corona

MAOFISA kutoka katika baadhi ya hospitali jijini Antananarivo, Madagascar,  wametahadharisha kuwa huenda maeneo ya kutoa huduma yakaelemewa na wagonjwa kutokana...

READ MORE

Tambiko Lamuibulia Zengwe Nasari

SIKIA hii hapa; tambiko limemuibulia zengwe aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joshua Nassari,...

READ MORE

Mbwana Samatta Kutimkia Fenerbahçe

TETESI za soka zinaeleza kuwa Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania na Mshambuliaji wa Kimataifa wa Klabu ya Aston...

READ MORE

Wolper Apania Kumzalia Rich Mitindo

NYOTA wa Filamu Bongo, Jacqueline Wolper ni kama kapagawa na uhusiano wake mpya wa kimapenzi na Rich Mitindo, ambapo anajiweka...

READ MORE