×

Kapombe Aibeba Stars Dakika za Mwisho, Tanzania Yaendelea Kuongoza Kundi B

Dar es Salaam, Agosti 6, 2025 — Bao la dakika ya 89 lililofungwa na beki mahiri Shomari Kapombe limeipa Taifa...

READ MORE

Makete Yatangaza Nafasi 12 za Kazi kwa Kada ya Udereva

Halmashauri ya Wilaya ya Makete kupitia Kibali cha Ajira mpya chenye Kibali chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025 chenye kada ya...

READ MORE

Uvumilivu Una Kikomo, Hata Kama Ni Mzuri Vipi Bora Umuache!

KUNA huu msemo usemao, mvumilivu hula mbivu. Hakuna ambaye ni mgeni wa msemo huu, hukuna asiyejua elimu tunayoipata kutokana na...

READ MORE

ACT-Wazalendo Yaidhinisha Mpina na Othman Masoud Kugombea Urais

Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha ACT-Wazalendo umeidhinisha kwa kishindo majina ya Luhaga Mpina na Makamu wa Kwanza wa Rais...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 7, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

CMSA, Hazina Zaipongeza Vertex Ujio Bidhaa Mpya Sokoni

MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na dhamana Tanzania (CMSA) imeipongeza Kampuni ya Vertex International Securities kwa ubunifu wa kuleta bidhaa...

READ MORE

Job Ndugai Afariki Dunia leo

Aliyewahi kuwa Spika na aliyekuwa Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia, leo Agosti 6, 2025, taarifa ya Spika...

READ MORE

Maendeleo  Ya Elimu Ni Mkombozi Wa Taifa Lolote  Duniani, Waziri Mkuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa maendeleo katika sekta ya elimu ndio mkombozi na mafanikio ya Taifa lolote duniani. Amesema...

READ MORE

Tanzania Yatoa Wito Kwa Washirika Kutimiza Ahadi Zao Kwa Maendeleo Ya Nchi Zisizo Na Mlango Wa Bahari

Tanzania imethibitisha uungaji mkono wake kwa dhati katika utekelezaji wa Mpango wa Awaza wa Utekelezaji na kutoa wito kwa washirika...

READ MORE

Airtel Africa Yasaini Ushirikiano Wa Kimkakati Wa Muda Mrefu Na Xtelify, Kitengo Cha Kidijitali Cha Airtel India

Uwezo wa kidijitali wa Xtelify kuharakisha mabadiliko ya kidijitali ya Airtel Africa Afrika, Agosti 04, 2025: Xtelify, kampuni tanzu inayomilikiwa...

READ MORE

Benki Ya Stanbic Yamaliza Kampeni Ya Salary Switch Kwa Droo Ya Mwisho Yawazawadia Washindi 90 

Sarah Odunga (kulia), Meneja wa Huduma kwa Wateja wa Stanbic Bank Tanzania, akiwa pamoja na Judith Wililo (kushoto) kutoka Bodi...

READ MORE

Nafasi ya Kuwa Bingwa Ipo Meridianbet Leo

Kuwa bingwa ni rahisi sana ukiwa na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Arsenal, Villa, Fenerbahce na wengine kibao wapo kibao...

READ MORE

Mshambuliaji Wa Mabao Yanga Auzwa Uarabuni

INAELEZWA kuwa Yanga wamefikia makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wa mabao ndani ya kikosi hicho ambaye ni mzawa namba moja kufunga...

READ MORE

Wapalestina 1,500 Wauawa Huko Ghaza Tangu Mei, Un Yalaani “Mtego Wa Kifo” Wa Misaada

Umoja wa Mataifa (UN) umesema Wapalestina 1,500 wameuawa huko Ghaza tangu Mei hadi sasa wakati wanahangaika kutafuta msaada wa kibinadamu....

READ MORE

Shindano Jipya la Kasino, Ingia Ulimwenguni Wa Zombie Apocalypse

Meridianbet, kwa ushirikiano na Expanse Studios, wamezindua promosheni mpya ya kuvutia iitwayo Zombie Apocalypse, inayowaalika wachezaji kuingia katika ulimwengu wa...

READ MORE

Exim Bank Tanzania, JKCI Zashirikiana Kuimarisha Afya Ya Wafanyakazi

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Tanzania, Stanley Kafu (kushoto), Afisa Masoko Taasisi ya Moyo...

READ MORE

Prof. Kyaharara Amwakilisha Rais Samia Katika Mkutano Wa UN Wa Nchi Zisizo Na Bandari

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inashiriki Mkutano wa Tatu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Nchi Zisizo na Mlango wa Bahari...

READ MORE

Airtel Money Na Benki Ya I&M Wazindua Mpango Wa Elimu Ya Kifedha  Kuwawezesha Wajasiriamali Wanawake

Airtel Money kwa kushirikiana na Benki ya I&M wamezindua rasmi mpango unaolenga wanawake wajasiriamali ukiwa na malengo ya kuwawezesha wanawake...

READ MORE

Aliyekuwa Mbunge wa CCM Mpina Aonekana ACT Wazalendo

Hatimaye aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa mkoani Simiyu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Luhaga Mpina ameonekana kwenye vikao na...

READ MORE

Meridianbet Kuileta iMoon, Fursa Mpya Kwa Kasino Mtandaoni

Kasi ya mabadiliko katika teknolojia ya burudani imeleta matakwa mapya kutoka kwa wachezaji, wanataka zaidi ya burudani ya kawaida. Wanatafuta...

READ MORE