×

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 4, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Zelensky: Sikufanya lolote baya kwa Trump

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekataa kuomba msamaha baada ya mabishano makali na majibizano ya maneno na mwenzake wa Marekani,...

READ MORE

Tabasamu Kali Unalipata Meridianbet Leo kwenye mechi zako zote!

Meridianbet, kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania leo hii inakupatia machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi zako zote ambazo utataka kubashiri....

READ MORE

Elon Musk Aunga Mkono Marekani Kujiondoa UN, NATO

Bilionea Elon Musk ametangaza hadharani kuunga mkono wazo la Marekani kujiondoa Umoja wa Mataifa (UN) na Shirika la Kijeshi la...

READ MORE

Jeshi La Uganda Laingia Mji Mwingine Wa DRC

Jeshi la Uganda limethibitisha kutuma kikosi chake katika mji wa Mahagi, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ili...

READ MORE

Viongozi Wa Ulaya Waunga Mkono Mpango Wa Amani Ukraine

Viongozi wa Ulaya wametangaza kuunga mkono Ukraine katika mkutano wa kilele uliofanyika London, wakiahidi kuongeza matumizi katika usalama na kuunda...

READ MORE

Alitaka Kunidhulumu Mali Niliyonunuliwa na Baba Yangu, Nikaamua Kumkomesha

Naitwa Amani kutokea Babati, unajua hakuna kitu kibaya maishani kama kudhulumu mali ambayo sio yako, kuna watu mikosi haiondoki katika...

READ MORE

Dkt. Gwajima Apongeza Jeshi La Polisi Kuzuia Vitendo Vya Ukatili

Jeshi la Polisi kupitia Mtandao wa Askari Polisi Wanawake (TPF-NET) na Dawati la Jinsia na Watoto nchini limepongezwa kwa kufanya...

READ MORE

Lipumba: Maridhiano ya vyama vya upinzani yamekuwa yakileta madhara na kuwajeruhi

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kuwa maridhiano ndani ya vyama vya upinzani yamekuwa yakileta madhara...

READ MORE

Azam FC Kama Manchester United Yatolewa kombe la FA na Mbeya City

Azam FC imesukumizwa nje ya michuano ya kombe la Shirikisho la CRDB (Kombe la FA ) kufuatia kipigo cha penalti...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 3, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

PM Majaliwa: Huduma Jumuishi za Kifedha ni Kiungo Muhimu Cha Ukuaji Uchumi

HUDUMA JUMUISHI ZA KIFEDHA NI KIUNGO MUHIMU CHA UKUAJI UCHUMI - MAJALIWA HUDUMA JUMUISHI ZA KIFEDHA NI KIUNGO MUHIMU CHA UKUAJI UCHUMI - MAJALIWA HUDUMA…

READ MORE

Tanzania Kuandaa Mkutano Mkubwa wa Nishati EAPCE’25, Fursa Kubwa kwa Uwekezaji wa Mafuta na Gesi

Zikiwa zimesalia siku mbili kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kumi na Moja wa Mafuta na Gesi wa Afrika Mashariki...

READ MORE

Ratiba ya mwezi mzima wa Ramadhan kuanzia muda wa kufuturu mpaka muda wa ukomo wa kula daku

Ratiba ya mwezi mzima wa Ramadhan kuanzia muda wa kufuturu mpaka muda wa ukomo wa kula daku. NB: Ratiba hii...

READ MORE

Viongozi Wa Chadema Wazungumza Na Jukwaa La Wahariri – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, amezidi kutilia mkazo juu ya mfumo wa ugawaji wa...

READ MORE

Abigail Chams, Harmonize – Me too (Official Music Video)

Msanii wa moto mwenye sauti tamu na uwezo mkubwa wa kucheza na ala za muziki si mwingine bali ni Abigail...

READ MORE

Shinda Mamilioni na Meridianbet Leo, unachotakiwa kufanya Soma Hapa

Jumapili ya kwanza ya mwezi Februari inakuja na maokoto ndani ya Meridianbet, hivyo unachotakiwa kufanya ni kusuka jamvi lako la...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ashiriki Mazishi ya Dkt. Sam Nujoma Namibia

Picha mbalimbali zikimuonesha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akishiriki shughuli ya mazishi ya...

READ MORE

Nandy na Jux Wakabidhiwa Tuzo za Trace Johari Rotana, Dar

Malkia wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga, maarufu kama Nandy, na msanii nguli wa RnB kutoka Tanzania, Juma Jux, wamekabidhiwa...

READ MORE

Vodacom, ZICTIA Zaungana Kukuza Matumizi ya Kidijitali Zanzibar Kupitia Nyaya za Chini ya Bahari

Vodacom Tanzania PLC imetia saini ushirikiano wa kimkakati na Shirika la Miundombinu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA)...

READ MORE