×

Baraza la Haki za Binadamu UN kuijadili DRC kesho

Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UN) linajiandaa kufanya kikao cha dharura kesho Ijumaa, kuujadili mgogoro wa...

READ MORE

Italian Trade Agency (ITA) Yazindua Mafunzo ya Lab Innova kwa Tanzania

Italian Trade Agency(ITA), ni taasisi ya serikali inayotangaza fursa za uwekezaji kimataifa hususani Italia na kuvutia uwekezaji wa kigeni nchini...

READ MORE

Malawi yaamuru wanajeshi wake kujiandaa kuondoka mashariki mwa Kongo

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ameviagiza vikosi vya ulinzi kuanza kujiandaa kuwaondoa wanajeshi wake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

READ MORE

Benki Kuu ya Uganda Yaibiwa kiasi cha shilingi bilioni 42, Maafisa Tisa Wakamatwa

POLISI nchini Uganda imethibitisha kuwashikilia maafisa tisa wa Wizara ya Fedha kwa uchunguzi wa tuhuma za kudukua mifumo ya benki...

READ MORE

Tukio la kusikitisha: Amuua Mpenzi Wake Naye Ajiua, Kisa Wivu Wa Kimapenzi – Video

Tukio la kusikitisha limetokea katika Mtaa wa Mkudi, Manispaa ya Ilemela, ambapo kijana aitwaye Adam Kailanga (30) amemuua mpenzi wake,...

READ MORE

Tangazo la Nafasi 8,000 za Mafunzo ya Ufundi Stadi katika Fani Mbalimbali

Fomu za maombi zinapatikana katika vyuo vyote vilivyopitishwa na Serikali kutoa ya Ufundi Stadi katika Fani Mbalimbali

READ MORE

Utendaji Kazi Kituo Cha Huduma Kwa Wateja Tanesco Wamkwaza Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameeleza kutoridhishwa kwake na Kituo cha Huduma kwa wateja cha...

READ MORE

Shigongo Amshauri Trump kusitisha uamuzi wake wa kuzuia misaada Afrika – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amemshauri Rais wa Marekani, Donald Trump kusitisha uamuzi wake wa kuzuia misaada kwa nchi za...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Februari 6, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Chuo Cha CBE Chaja na mtaala wa kufundisha PhD ya infomatiki za biashara

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinatarajia kuanzisha program ya Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Infomatiki ya Biashara ili kuleta...

READ MORE

Cecot: Gereza La Kutisha La Wafungwa Wa Magenge Hatari, Hawaoni Jua, Kutoroka Haiwezekaniki Kabisa – Video

Nchi ya El Salvador, iliyoko katika bara la Amerika ya Kati, imechukua moja ya hatua kali zaidi katika vita vyake...

READ MORE

Yanga Yaipiga Bao 6-1 Ken Gold Wakwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu

 Yanga wamekwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu bara kufuatia ushindi mnono wa 6-1 dhidi ya Ken Gold Fc katika...

READ MORE

Marekani Kumkaribisha Netanyahu Ni Kudharau Haki

Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limelaani kitendo cha Marekani cha kumpokea waziri mkuu wa...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli na Dizeli

EWURA inatangaza Bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli zitakazotumika hapa nchini kuanzia Jumatano ya tarehe 5 Februari, 2025,...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki maadhimisho ya miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi Dodoma (Picha +Video)

Rais Samia Suluhu Hassan amempongeza Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, na kueleza kuwa amethibitisha kwamba mkutano...

READ MORE

Mchezo Mpya Meridianbet Kasino Coin Strike Hold & Win | Ushindi Kugusa Tu

“Coin Strike Hold and Win ni sloti bomba kutoka kasino ya mtandaoni inayotolewa na mtoa huduma maarufu, Playson. Katika mchezo huu, utaweza kufurahia jakpoti kupitia…

READ MORE

Mwanahabari Mkongwe Afariki Dunia Uingereza

Taarifa zilizotolewa na Shirika la Habari la Uingereza (BBC) zinasema mwandishi wa mkongwe nchini ambaye aliwahi kuwa mtangazaji wa BBC,...

READ MORE

Trump Ataka Kuuchukua Ukanda Wa Gaza

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameshitua watu duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza...

READ MORE

Idadi Waliyofariki Kwa Kupigwa Risasi Wafikia 10

Polisi nchini Uswidi wamethibitisha kuwa takriban watu 10 wamepoteza maisha katika shambulio la risasi lililotokea kwenye eneo la chuo katika...

READ MORE

Tanzia: Aga Khan Afariki Dunia

Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na Mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan, Mtukufu Aga...

READ MORE