×

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 17, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Waziri Mkuu Ahimiza Usimamizi Wa Maadili Mema Kwa Jamii

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla wahakikishe wanasimamia na kuimarisha maadili mema...

READ MORE

Vuta Mkwanja na Expanse Kasino, Fanya Haya

Promosheni ya Expanse Kasino ya Mtandaoni bado inaendelea na sasa wachezaji wote wanaweza kujishindia zawadi ya Mamilioni na bonasi za...

READ MORE

Rais Samia Awasili Mkoani Kilimanjaro, kufunga Mkutano Mkuu wa Jeshi la Polisi

Rais Dkt. Samia anatazamiwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na...

READ MORE

Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Dkt. Samia Hassan katika Baraza la Maulid

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 16, 2024 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Baraza la Maulid yanayofanyika kitaifa...

READ MORE

Afisa Uwekezaji na Msimamizi wa Dawati TIC Akutana na Wawekezaji

  Afisa Uwekezaji na Msimamizi wa dawati la Mashariki ya kati wa kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) amekutana na ugeni...

READ MORE

NMB Yapiga Jeki Zahanati ya Kijiji Cha Ivilikinge Wilayani Makete

Benki ya NMB imekabidhi vifaa tiba ikiwemo vitanda na mashuka katika Zahanati ya Kijiji cha Ivilikinge wilyani Makete mkoani Njombe...

READ MORE

JWTZ Waibuka Mshindi wa Jumla Mashindano ya Majeshi (BAMMATA)

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali, Salum Haji Othuman amemuwakilisha Mkuu wa Majeshi ya...

READ MORE

Mbinu Rahisi Nilizotumia Kuvuta Wateja na Kuongeza Mtaji Kwenye Biashara

Ukweli ni kwamba kila binadamu anapenda kuona anakua katika biashara ambayo anaifanya, anapenda kuona biashara yake inaongezeka mtaji, biashara yake...

READ MORE

KILA SIKU USIKU UTAFANYA ZOEZI LA KIFO-NI KWELI USIENDE MTU AKISEMA ‘NIKIFA USIJE KUNIZIKA?|HARDTALK

KILA SIKU USIKU UTAFANYA ZOEZI LA KIFO-NI KWELI USIENDE MTU AKISEMA 'NIKIFA USIJE KUNIZIKA?|HARDTALK

READ MORE

Trump Anusurika Kuuawa kwa Mara ya Pili Akicheza Gofu Kwenye Uwanja Wake

MGOMBEA urais wa chama cha Republican, Donald Trump, alikuwa salama baada ya kile FBI ilisema inaonekana ni jaribio la mauaji...

READ MORE

Dkt. Biteko: Tuvumiliane Na Kuheshimiana Kama Watanzania – Video

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewaasa Watanzania kuishi kwa kuvumiliana, kuheshimiana na kupendana kama ilivyoagizwa...

READ MORE

Hakuna mbabe Al Ahli Tripoli dhidi ya Simba katika dimba la Tripoli International

KAMPENI ya Simba kusaka tiketi ya kutinga hatua ya makundi imeanza kwa kukutana na kisiki cha mpingo ugenini mbele ya...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Chuo Cha Bahari Dar (DMI), Mwisho wa kutuma maombi ni Leo Sept 16

Kwa niaba ya Taasisi ya Dar es Salaam Maritime (DMI), Ajira katika Utumishi wa Umma Sekretarieti inawaalika watanzania wenye sifa...

READ MORE

Shabiki Wa Yanga Mwenye Lishape Lake – Aliyemtongoza Harmo Mtandaoni Afunguka…

Msanii wa Sanaa ya Uigizaji nchini Jackrina OG @jackrineorg amefunguka kupitia kipindi cha Funky Friday ya @255globalradio na @globaltvonline na...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 16, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Unavyoweza Kutumia Simu Kuboresha Penzi

TUNAISHI katika dunia ya utandawazi ambapo sasa karibu kila mtu anamiliki simu, hata wale wenye uwezo wa chini kabisa. Ukijaribu...

READ MORE

Mashindano ya Tanzania Ladies Open Golf Tournament 2024 Yahitimishwa Arusha, NBC Yaahidi Maboresho Zaidi

Mashindano ya siku tatu ya Gofu ya Tanzania Ladies Open Golf Tournament yamehitimswa mwishoni mwa wiki jijini Arusha huku wadhamini...

READ MORE

Halotel Yatoa Msaada Katika Kituo cha Watoto Yatima Cha ‘Human Dreams’

Wafanyakazi wa kampuni ya Halotel Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja. Kampuni ya mawasiliano ya Halotel Tanzania ikishirikiana na Ubalozi...

READ MORE

Waendesha Baiskeli wa Ziara ya Twende Butiama 2024 Wachangiwa Mil. 70

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania, Manzi Rwegasira, akizungumza wakati wa uzinduzi wa ziara ya waendesha baiskeli kuelekea...

READ MORE