×

Hizi Ndizo Mbinu Nilizotumia Kupanda Cheo

Hakuna ubishi kuwa ni ndoto ya kila mfanyakazi kupanda daraja, cheo na mshahara katika kazi yake, kufanyika hilo hupelekea mfanyakazi...

READ MORE

SBL, Club 1245 Waigeuza Jumapili kuwa Ijumaa Mpya

Ile Jumapili uliyoizoea ya kukaa kinyonge hatimaye imeondolewa kwenye kalenda, HAIPO TENA! Wakali wa muda wote wa kutengeneza na kusambaza...

READ MORE

Kurasa za Magazeti ya leo Agosti 29, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Bilionea wa Afrika Kusini Ampita Mfanyabiashara Aliko Dangote na kuwa Tajiri

Kwa mujibu wa ripoti za Bloomberg, Bilionea wa Afrika Kusini Johann Rupert amempita Mfanyabiashara wa Nigeria Aliko Dangote na kuwa...

READ MORE

Nmb Yakabidhi Madawati na Vifaa tiba Kilosa, Morogoro

Mkuu wa wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka (katikati), Meneja wa Kanda ya Kati Benki ya NMB, Janeth Shango (wa...

READ MORE

NBC Yasisitiza Dhamira Yake Kuchochea Ukuaji Biashara, Uchumi wa Buluu Zanzibar

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeelezea dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wafanyabishara wadogo, wa kati na wakubwa kupitia...

READ MORE

Mamia Wampokea Hapi Wilayani Makete Mkoani Njombe

Wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM katika kata ya Iwawa Wilayani Makete Mkoani Njombe wamejitokeza kumpokea Katibu Mkuu...

READ MORE

Siku Nyingine Ya Kushinda Mamlioni Na Meridianbet

Leo ni siku nyingine ya kushinda mamilioni kupitia kamnpuni bingwa ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet, Hii ni kutokana na...

READ MORE

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar Yapongeza NSSF Kwa Mafanikio ya Utendaji

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Mwanaasha Khamis Juma wameupongeza Mfuko wa Taifa...

READ MORE

Watu 70 Wajeruhiwa Katika Ajali ya Treni ya Abiria Kigoma

Shirika la reli Tanzania Treni ya abiria namba Y14 ikiwa na kichwa cha treni namba 9002, mabehewa 12 ya abiria,...

READ MORE

Sloti yenye kuwaka Moto, Ushindi mara 10,000

Kipindi hiki cha kukaribia Msimu wa sikukuu unaweza kujikusanyia mavuno mengi kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, hili ni shamba...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Ufunguzi Wa Kikao Kazi Cha Wenyeviti Wa Bodi AICC Arusha – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Agosti 28, 2024 ameshiriki Ufunguzi wa kikao kazi...

READ MORE

RC Makonda: Busara Na Hekima Za Rais Samia Zimezidi Kiwango Cha Kawaida

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amemtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mastaa Simba Kuingia Kambini Leo, Jumamosi Kukipiga dhidi ya Al Hilal

MASTAA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids leo Agosti 28 2024 wanawasili kambini kwa maandalizi ya...

READ MORE

Singida Black Stars Yamtangaza Mshambuliaji Victorien Adebayor

MSHAMBULIAJi mpya wa Singida Black Stars, Victorien Adebayo amepewa tuzo ya ufungaji bora na mchezaji bora, (MVP) kutokana na uwezo...

READ MORE

Ndugulile Ashinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Kanda ya Afrika

Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu...

READ MORE

Ni Balaa… Kila Mtu ni Mshindi!

          Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc imeendesha droo ya nne ya Kampeni ya Ni Balaa, Kila...

READ MORE

CCM Yampongeza Ndugulile Kwa Kuchaguliwa Kuwa Mkurugenzi Wa (WHO) Kanda Ya Afrika

Dkt. Faustine Ndugulile (Mbunge wa Jimbo la Kigamboni), amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) , Kanda ya...

READ MORE

INEC Yafunga Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji Daftari la Wapiga Kura

Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wametakiwa kuwepo katika vituo vya kuandikisha wapiga kura muda wote...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Arusha Kufungua Mkutano Wa CEO’s Forum 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Arusha  Agosti 27, 2024 kupitia uwanja wa...

READ MORE