×

Bei Za Mafuta Zapanda, Kuanza Kutumika Leo Aprili 3, 2024

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika leo Jumatano Aprili...

READ MORE

Jamaa Ataka Kumuua Mama’ke Na Kumtupa Buza, Mama Aokotwa Akiwa Hoi – Video

Mapya yanazidi kuibuka kufuatia tukio la kijana aliyefahamika kwa jina la Clemence Mahela mkazi wa Yombo Matangini kwa Mbembe jijini...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 3, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

EWURA Yaandaa mfumo uitwao EWURA e-LUC kufuatilia utendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeandaa mfumo uitwao EWURA e-LUC, ili kufuatilia utendaji wa Mamlaka...

READ MORE

Adel Zrane Afariki Duniani Ghafla mchana wa leo Rwanda

Kocha wa viungo aliyewahi kuitumikia Klabu ya Simba kuanzia 2018 mpaka mwaka 2021 alipoondoka, Adel Zrane amefariki duniani ghafla mchana...

READ MORE

Jumanne ya Leo Shangwe Lipo Meridianbet, una nafasi ya kupiga mkwanja

Ndugu Mteja Jumanne ndio hii imewadia kabisa na wewe una nafasi ya kupiga mkwanja endapo utaweka pesa yako meridianbet na...

READ MORE

Rais Mwenye umri Mdogo Zaidi wa Senegal Aapishwa

Bassirou Diomaye Faye, rais wa tano wa Senegal, ameapishwa kuwa rais katika hafla iliyofanyika katika mji mkuu, Dakar. Mapema mwezi...

READ MORE

Kisa cha Ali Baba na Wezi 40 Sloti Ndani ya Kasino

Ali Baba na kaka yake mkubwa, Cassim ni watoto wa mfanyabiashara. Baada ya kifo cha baba yao, Cassim mwenye tamaa...

READ MORE

Benki ya CRDB Yaingia mkataba na TFF kudhamini Kombe la Shirikisho

Benki ya CRDB imeingia mkataba rasmi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambapo itatoa zaidi ya shilingi Billioni tatu kudhamini...

READ MORE

Meli Unayoweza Kununua Chumba kwa Mabilioni Yatua Kwa “Royal Tour” Dar

The World-Residences at Sea, moja ya meli kubwa za kifahari duniani na ambayo imekuwa ikizunguka dunia kwa miaka 20 sasa...

READ MORE

Watanzania Waaswa Kudumisha Amani na Upendo Mfungo wa Ramadhan

Watanzania waumini wa dini ya Kiislamu nchini kote wamehimizwa kudumisha amani na upendo miongoni mwao wakiwa wanaendelea na mfungo wa...

READ MORE

Aziz Ki Ashinda tuzo ya Mchezaji bora wa mwezi Machi 2024

Kiungo wa Yanga SC Stephen Aziz Ki ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa mwezi Machi kwa kuwashinda Clotous Chama wa...

READ MORE

TRA Yatoa Taarifa ya Makusanyo ya Kodi Katika Robo ya Tatu ya Mwaka

KATIKA kipindi cha robo ya tatu ya Mwaka wa fedha 2023/24, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya kiasi cha...

READ MORE

Dk Nchimbi Amtembelea Mzee Yusuf Makamba jijini Dar

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amemtembelea kumjulia hali mmoja wa Makatibu Wakuu...

READ MORE

Rais wa Congo (DRC) Amteua Judith Tuluka Suminwa kuwa Waziri mkuu

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi Aprili Mosi amemteua Waziri wake wa Mipango, Judith Tuluka Suminwa...

READ MORE

Video: Silaha Za Kivita Zilitumika Kumshambulia Mbunge Ole Sendeka /Mrithi Wa Makonda Ccm Huyu Hapa

Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka kwa mara ya kwanza amezungumza na wananchi wa jimbo lake baada ya kushambuliwa kwa...

READ MORE

Naibu Waziri Mkuu Akagua Matengenezo Ya Mashine Za Kufua Umeme Kidatu

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amefanya ziara ya dharura katika mitambo ya kufua umeme ya...

READ MORE

Kikosi cha Yanga Kinachoelekea Afrika Kusini Hiki Hapa

Kikosi cha timu ya Yanga SC wapo safarini kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wao wa Eobo fainali...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 2, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Mashindano Ya Gofu Kumuenzi Lina Kuanza Kurindima Tena Aprili 11 Morogoro

Baada ya Awamu ya kwanza ya Mashindano ya Gofu  yaliyofanyika Moshi kumuenzi  mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya...

READ MORE