×

Majina ya watakaounda baraza la mpito kwa Haiti yawasilishwa

Viongozi wa nchi za Karibiani wanasema makundi yote na vyama vya kisiasa, isipokuwa kimoja, vimewasilisha majina ya watu walioteuliwa kwa...

READ MORE

Dorothy Mrithi Wa Zitto Ajibu Kwa Nini Makamu Wa Kwanza Zanzibar Hana Nguvu Kama Makamu Wa Pili – Video

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo aliyechukua nafasi ya Zitto Kabwe ndani ya chama hicho, mwanamama Dorothy Semu amefunguka...

READ MORE

Mwanamke kutoka Rwanda Afikisha Miaka 26 Akiwa na Maambukizi ya Ukimwi

Mwanamke kutoka Rwanda, Muneza Sylivie mwanzilishi wa shirika la RRP+ la wenye virusi vya ugonjwa wa Ukimwi, amefahamisha kuwa amemaliza...

READ MORE

Ahmed Ally: Kuwatoa Al Ahly Sio Jambo Kubwa kwa Simba

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema kuwa kuitoa Klabu ya Al Ahly kwenye michuano...

READ MORE

Jinsi ya Kumtambua Mwanaume wa Kukuoa!

WANAWAKE wengi wanateseka penzini kwa kutowatambua vizuri wanaume wenye mapenzi ya dhati. Wengi hujikuta kwenye maumivu makali kwa sababu ya...

READ MORE

Waziri Jafo Akutana Na Naibu Katibu Mkuu Mndeme, Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo akiwa katika picha ya pamoja na...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 20, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

VodaBima Kupanua Wigo Wa Bima Kidijitali

Kupatikana kwakutumia ya simu ya mkononi Kuongeza uharaka wa upatikanaji wa bima nchini Dar es Salaam – Machi20, 2024.Katika jitahada...

READ MORE

Hifadhi ya Taifa Saadani Yatakiwa Kuwa na Mpango Mahususi wa Maeneo ya Uwekezaji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeielekeza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Saadani kuandaa mpango mahususi...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Ateta na Mwenyekiti Mpya wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa FLMS

Mkutano wa 11 wa Vyama Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika (FLMS), unaowakutanisha wajumbe wake, ambao ni pamoja na Katibu...

READ MORE

Dkt. Biteko Ashiriki Sherehe Ya Kuwekwa Wakfu Na Kusimikwa Askofu Mpya Jimbo La Mafinga

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo anashiriki Sherehe ya kuwekwa Wakfu na Kusimikwa kwa Askofu...

READ MORE

TFF Yafunguka Gharama za Mechi za Al Hilal

Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania [TFF] Cliford Ndimbo ameeleza kuwa watalitolea ufafanuzi suala la nani atagharamikia kuisafirisha...

READ MORE

Pacome aitwa Timu ya Taifa ya Ivory Coast

Kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameitwa kwenye timu ya Taifa ya Ivory Coast ambao ni mabingwa wa Kombe la Mataifa...

READ MORE

Mayele Ampongeza Fei Toto kwa Kuifunga Yanga

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, Fiston Mayele amempongeza kiungo wa Azam FC ambaye naye amewahi kukipiga Yanga, Feisal Salum...

READ MORE

Uwanja Mpya Wa Afcon Waanza Kujengwa jijini Arusha

Serikali kupitia Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo, leo Machi 19, 2024 imesaini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa michezo...

READ MORE

Sisimka na Ushindi Rahisi wa Kasino| Super Heli Unyama ni Mwingi

Msisimko wa hali halisi ya ushindi wa kasino unaupata kwa kucheza mchezo mpya wa kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet Super...

READ MORE

Watuhumiwa Wa Uhalifu Pamoja Na Dawa Za Kulevya Wakamatwa Arusha

Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema hali ya ulinzi na usalama mkoani humo kwa mwezi Februari hadi sasa ni shwari...

READ MORE

Dk. Nchimbi Awasili Zimbabwe Mkutano Wa Vyama Vya Ukombozi Kusini Mwa Afrika

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, akiambatana na baadhi ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu...

READ MORE

#Exclusive: Mkubwa Fella Afunguka Zuchu Kufungiwa Zanzibar -Video

MENEJA wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz, Said Fella maarufu kama Mkubwa Fella amefunguka sakata...

READ MORE

Rais Putin Ashinda uchaguzi nchini Mwake kwa Asilimia 87 ya kura

Putin aliwaambia wafuasi wake anauchukulia uchaguzi huo ni wa kidemokrasia na kuwafuta kazi walioupinga Rais wa Russia Vladimir Putin alisherehekea...

READ MORE