×

Kiongozi wa upinzani Zimbabwe ahukumiwa jela kwa kumtukana raia wa Russia

Mahakama nchini Zimbabwe imemhukumu kiongzi wa upinzani kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya dola 300 kwa tuhuma...

READ MORE

Tanzania Na Urusi Kuimarisha Diplomasia Ya Uchumi

Tanzania na Urusi zimesisitiza kuendelea kuimarisha diplomasia ya uchumi kwa maslahi ya pande zote kupitia ushirikiano wa kidiplomasia ulioanzishwa tangu...

READ MORE

Gofu Kumuenzi Lina Yaanza Kurindima Moshi

Michuano ya Gofu inayoitwa Lina PG Tour  imeanza kurindima katika Viwanja vya TPC Moshi ambapo zaidi ya wachezaji 80 wakiwemo...

READ MORE

Majaliwa: Rais Dkt. Samia Amedhamiria Kuendelea Kuboresha Sekta Ya Afya

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na mkakati wa kuboresha sekta ya afya nchini ili kusogeza huduma bora za...

READ MORE

Saleh Jembe: Ni Kosa Kumlinganisha Chama Na Pacome – Kweli Mo Dewji Ashukuriwe Yanga Kufuzu

Mchambuzi na mwandishi nguli wa michezo, Saleh Ally amefanya mahojiano na baadhi ya waandishi wa habari na kuwaeleza kuwa kiwango...

READ MORE

Eto’o Atangaza Rigobert Song, Mkataba Wake Umetamatika Rasmi

Rais wa Shirikisho la soka la Cameroon (Fecafoot), Samuel Eto’o ametangaza kuwa Rigobert Song, mkataba wake umetamatika rasmi. Uvumi wa...

READ MORE

Rais wa Zanzibar amefanya uteuzi wa Makatibu wakuu, Naibu Makatibu na Mhasibu Mkuu wa Serikali

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa Makatibu wakuu, Naibu Makatibu na...

READ MORE

Nafasi Za Kazi: Marketing & Sales Officer Kwa Mikoa 10

MARKETING/SALES OFFICERS POSITION: MARKETING/SALES LOCATION: Arusha, Mtwara, Kigoma, Singida, Morogoro, Dodoma, Shinyanga, Tunduma, Katoro, Kabanga NAME OF COMPANY:MEWE ELECTRONICS LIMITED...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Februari 29, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Samsung Electronics Tanzania Yakua Kwa Asilimia 30.1 Kwa Uuzwaji Wa Runinga Soko La Kimataifa 2023

Kwa mujibu wa utafiti wa masoko uliofanywa na -OMDIA imeitaja Kampuni ya Samsung Electronics Tanzania kukua kwa asilimia 30.1 kwa...

READ MORE

Rais Samia Amwaga Mabilioni ya Pesa Miradi ya Maji Mara

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso ametoa taarifa ya utekelezaji wa miradi mikubwa ya Maji inayotokana na chanzo cha Ziwa...

READ MORE

Kaka Yangu Alitaka Kunitoa Kafara Nikaponea Kwenye Tundu la Sindano

Jina langu ni Hussein kutoka Kahama nchini Tanzania, ni kijana wa miaka 28 kwa sasa, mwaka 2018 nilitengwa na familia...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Akagua Mradi wa Maji Komuge

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia amedhamiria kuendelea kutekeleza kampeni yake...

READ MORE

CMSA Yatoa Elimu ya Masoko ya Mitaji Kwa Nchi 16 za SADC

CoSSE imeanzishwa chini ya Kifungu cha 14 cha Itifaki ya Fedha na Uwekezaji ya SADC, ambapo pamoja na masuala mengine,...

READ MORE

Wadau wa Kilimo Ludewa Wakutana na DC Mwanziva

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva, ameongoza Mkutano wa Wadau wa Kilimo Wilayani Ludewa- ambao umetoa mafunzo maalumu kwa...

READ MORE

Shabiki Simba: Kwa Yanga hii, TFF watapata tabu sana msimu huu

  Shabiki maarufu wa Klabu ya Simba, anayefahamika kwa jina la Mchome amesema kuwa msimu huu Shirikisho la Soka Tanzania...

READ MORE

Mkuu wa Kitengo cha Fedha Serengeti akamatwa madai ya wizi wa milioni 213

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemwagiza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, ACP Salum Morcase amkamate Mkuu wa Kitengo cha Fedha...

READ MORE

Mayele aache mdomo, bila yanga hatoboi – Shabiki Simba

Shabiki maarufu wa Klabu ya Simba, anayefahamika kwa jina la Mchome amesema kuwa aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele aache...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Ethiopia Kufanya ziara ya Kikazi kwa siku 3 nchini Tanzania

Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed, anatarajia kufanya ziara ya kikazi kwa siku 3 nchini Tanzania, kuanzia Februari 29 hadi...

READ MORE

Museveni, Ruto wamuunga mkono Odinga

  Rais wa Uganda, Yoweri Museveni na Rais wa Kenya, William Ruto wameafikiana kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani wa...

READ MORE