×

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Septemba 27, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 27, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Rais Samia: Tuna ‘Crisis’ Ya Umeme, Tunafanya Ukarabati Wa Mashine – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amempa miezi sita Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO ), Gissima Nyamo-Hanga kushughulikia tatizo...

READ MORE

Wadau na Wataalam wa Kimataifa Kuipa Temeke Mbinu za Kukabiliana na Athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi

Manispaa ya Temeke inaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi ambapo Mstahiki meya Abdallah Mtinika amekutana...

READ MORE

Tunzaa Yatangaza Ushirikiano Mkubwa Na Vodacom Kupitia M-Pesa

Wateja wa Vodacom kuanza kutumia huduma za Tunzaa ndani ya aplikesheni ya M-Pesa Super App Dar es salaam, 27 Septemba...

READ MORE

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

     Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita...

READ MORE

Kampeni Ya Cha Wote Yafikia Tamati Ikiwatunukia Mamilioni Zaidi Ya Wateja 28,600

Kampeni ya ‘Cha Wote’ iliyokuwa ikiendeshwa na kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo kwa kuwazawadia zawadi mbalimbali...

READ MORE

Tigo Yamtangaza Mshindi Wa Funga Dimba La Kampeni Ya ‘Cha Wote’, Aondoka Na Milioni 5

KAMPUNI ya Tigo kupitia shindano lao la Cha Wote leo imemtamngaza Kassim Mkono kuwa mshindi wa shilingi milioni 5 katika...

READ MORE

Simba Yatamba Kuwashangaza Power Dynamos Kutinga Hatua ya Makundi

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wala hauna haja ya kupiga makelele mengi juu ya timu yao na wanachokifanya ni...

READ MORE

Marekani imemkatalia waziri wa mambo ya nje wa Iran, kutembelea Washington

Marekani, Jumatatu imesema ilikataa maombi ya waziri wa mambo ya nje wa Iran, ya kutembelea Washington, wiki iliyopita sababu ikiwa...

READ MORE

Man United: Sancho Apigwa Marufuku Kutumia Mgahawa Wa Kikosi Cha Kwanza

Marufuku hiyo inahusu pindi anapokuwa kwenye Viwanja vya Mazoezi vya Carrington, ikiwa ni mwendelezo wa adhabu kutokana na mgogoro wake...

READ MORE

Mjukuu wa Nelson Mandela, Zoleka Afariki Familia yake Yatangaza

MJUKUU wa rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Afrika Kusini Nelson Mandela, Zoleka Mandela, amefariki dunia kwa saratani akiwa na...

READ MORE

Winga ashusha presha Simba Kurejea Uwanjani Baada ya Wiki Moja

TAARIFA njema kwa mashabiki wa Simba kuwa winga wao Muivory Coast, Aubin Kramo amepata nafuu ya majeraha yake na atarejea...

READ MORE

Mamia Wafariki Kwa Denge na Kipindupindu Sudan, Hospitali Zafungwa!

Mlipuko wa homa ya Denge, na Kipindupindu kutokana na ukosefu wa maji umeua mamia ya watu katika taifa lenye vita...

READ MORE

Kocha Merrikh: Yanga Inaogopwa Afrika Atoa Tamko kufuzu Hatua ya Makundi

KOCHA wa Al Merrikh, Osamah Nabieh amekiri kwa kusema kuwa Yanga ni moja kati ya timu ambayo inahofiwa kwa sasa...

READ MORE

Exclusive: Kusah Hajaacha Kitu – “Aunty Anajua Kuhusu Mimi Na Wolper, Namuheshimu Sana” – Video

MSANII wa Bongo Fleva, Salmin Hoza almaarufu Kusah amefunguka kuwa hakulifuatilia ishu ambayo iliyoibuka kwenye mitandao ya kijamii, kuwa ana...

READ MORE

Mkuu Wa Wilaya Ya Kinondoni, Saadi Mtambule Azindua Kituo Cha Mfumo Wa M-Mama Jijini Dar

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mh. Saadi Mtambule (kulia) akikata utepe kuzindua rasmi kituo cha mfumo wa m-mama Dar es...

READ MORE

Mhandisi Peter Ulanga Arejeshwa Ttcl Kuendelea Na Majukumu – Video

Mhandisi Peter Ulanga aliyeondolewa kwenye nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) siku 2 zilizopitwa, arejeshwa katika...

READ MORE

Rais Samia Ateua Tena! Aliyemtoa Tanesco Maharage Chande Akaenda TTCL Ampeleka Posta Ateua Wengine 2 – Video

Aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Maharage Chande ameteuliwa kuwa Postamasta Mkuu katika Shirika la Posta...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Septemba 26, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 26, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

John Ulanga Ateuliwa Kuwa Balozi na Rais Samia – Video

Rais Samia amemteua Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), John Ulanga kuwa Balozi John Ulanga alichaguliwa na...

READ MORE