×

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumapili, Septemba 10, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 10, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Akutana na Profesa J nyumbani kwake Kawe

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Septemba 09, 2023 ametembelewa na aliyekuwa Mbunge wa Mikumi ambaye pia ni msanii mkongwe...

READ MORE

Waziri Ummy Mwalimu Akabidhi Mitungi Ya Gesi Ya Oryx 150 Na Majiko Yake Bure Kwa Wanawake Wajasiriamali

WAZIRI wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini Ummy Mwalimu amekabidhi mitungi mikubwa ya gesi ya...

READ MORE

Wamiliki Wa Malori Walia Na Bei Ya Mafuta Kupanda, Waomba Serikali Iwasaidie

Dar es Salaam, 8 Septemba 2023: Chama cha Wamiliki wa Malori nchini (TAMSTOA) kimelia na kupanda kwa gharama za mafuta...

READ MORE

Kilichonikuta Baada ya Kumega Tunda la Mke wa Jirani Yangu Sitasahau

  Hapo Januari mwaka huu, kuna familia ilihamia karibu na mahali nilipokuwa naishi, ghafla nikagundua mke wa jirani yangu yule...

READ MORE

#Exclusive: Lulu Avunja Ukimya – “Nimetua Mzigo Wa Mama Kanumba, Nitaubeba Msalaba Hadi Kufa” – Video

Mwigizaji Elizabeth Michael almaarufu Lulu amefunguka baada ya kukutana uso kwa uso na Mama Kanumba, Flora Mtegoa na kusalimiana ikiwa...

READ MORE

Bingwa wa Shigongo Cup, Kupatikana leo Septemba 9 Uwanja wa Nyanzenda, Buchosa

  BINGWA wa mashindano ya Shigongo Cup, anatarajiwa kupatikana  leo Septemba 9, 2023 ,katika mchezo wa fainali itakayopigwa kwenye Uwanja...

READ MORE

Muigizaji na Muongozaji wa Filamu G Marimuthu Afariki

Tasnia ya Filamu nchini India inaomboleza kifo cha Muigizaji na Muongozaji maarufu wa Filamu G Marimuthu, aliyefariki dunia Septemba 8,...

READ MORE

Antony Afunguka Tuhuma za Kushambulia Mpenzi Wake wa Zamani

Winga wa Manchester United, Antony Santos amefunguka juu ya tuhuma za kushambulia mpenzi wake wa zamani. “Nilitaka kwenda kwake na...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumamosi, Septemba 9, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 9, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

NMB yawa benki ya tatu kwa faida Afrika Mashariki

Benki ya NMB imeshika nafasi ya tatu kwa ukubwa wa faida katika ukanda wa Afrika Mashariki, hii ni kutokana na...

READ MORE

Shigongo: Tunaweza Kutengeneza Mabilionea Wazawa, Mwigulu Amjibu – Video

  Mbunge wa Buchosa, @ericshigongo amesema kama serikali ikiamua kurekebisha sheria ya manunuzi, inaweza kuzalisha mabilioni wapya kumi wazawa kila...

READ MORE

Exclusive: Kijana Aliyetoboa Kwa Kilimo Cha Vitunguu Maji Mpaka Kuwa Milionea Wa Magari Afunguka – Video

Wakati wengine wakilalamikia kwamba maisha ni magumu na hakuna ajira, kijana Richard yeye aliamua kujiongeza baada ya kuhitimu katika Chuo...

READ MORE

Serikali Yaondoa Zuio la Uchimbaji wa Mawe Unguja, Mkuu wa Mkoa Afunguka

Mkuu wa Mkoa wa Unguja Kaskazini, Ayoub Mahmoud amesema serikali kupitia sekta ya nishati na madini imefanya uamuzi wa kuruhusu...

READ MORE

Lulu Akutana Uso kwa Uso na Mama Kanumba, Flora Mtegoa jijini Arusha

Mwigizaji Elizabeth Michael almaarufu Lulu amekutana uso kwa uso na Mama Kanumba, Flora Mtegoa na kusalimiana ikiwa ni takribani miaka...

READ MORE

Tanzania Yafuzu Kucheza Afcon Nchini Ivory Coast, Yailazimisha Algeria 0-0

Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” chini ya kocha Adel Amrouche inafanikiwa kufuzu AFCON 2023, mara ya tatu kwenye...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Ijumaa, Septemba 8, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 8, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Rais Ruto Amvunja Mbavu Rais Samia, Mwinyi, Waziri Makamba Na Marais Wengine Akihutubia Tanzania – Video

Rais wa Kenya, William Ruto amesema Tanzania inapaswa kuzalisha chakula kingi zaidi kwa ajili ya Afrika Mashariki kwa kuwa inapata...

READ MORE

TMSA Kutoa Tuzo Bora Za Masoko Tanzania Za Mwaka 2023

Dar es Salaam, 7 Septemba. Katika nia ya kuhamasisha weledi zaidi katika sekta ya masoko nchini Tanzania, Chama cha wataalamu...

READ MORE

Serikali Yakanusha Madai GGML Ku-blacklist Vijana Nchini

SERIKALI imekanusha uvumi kwamba Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewa-blacklist vijana ambao wamesitishiwa ajira zao na mgodi huo...

READ MORE