×

Aliyetoroka jela kwa helikopta afunguliwa mashitaka Ufaransa

Mfungwa aliyeishangaza Ufaransa, ambaye alitoroka gerezani mwaka 2018 akiwa kwenye helikopta iliyotekwa nyara amefunguliwa mashitaka Jumanne mjini Paris, huenda akakabiliwa...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatano, Septemba 6, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 6, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Prof.Nombo: Serikali Inafanya Uwekezaji Mkubwa Kwenye Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam DIT

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema Serikali inafanya uwekezaji mkubwa kwenye Taasisi ya Teknolojia...

READ MORE

Waziri Silaa Ataka Siku Mia Moja Kutumika Kutatua Migogoro ya Ardhi

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa ameelekeza  watendaji wa sekta ya ardhi nchini kuhakikisha ndani...

READ MORE

Mr Eazi Aachia Advice Ikiwa ni Ujio wa Albamu Mpya

  STAA wa muziki, Mr.Eazi ni gwiji linapokuja suala la kuachia rekodi tamu yenye burudani ya kipekee kwa jamii na sasa...

READ MORE

Kitengo Cha Usalama Barabarani, BETPAWA Watoa Mafunzo Kwa Bodaboda 250 Dar

Dar es Salaam, 5 Septemba 2023: Madereva 250 wa pikipiki maarufu kama bodaboda wamepata mafunzo maalumu ya kuwakumbusha sheria na...

READ MORE

Mbinu Inayoweza Kukusaidia Kupanda Cheo Kazini Haraka

  Hakuna mfanyakazi asiyependa kupanda cheo kazini kwake, hiyo ni kwa sababu mara unapopanda cheo na mshahara moja kwa moja...

READ MORE

Wananchi wa Igalula Sengerema waanza kulipwa fidia kupisha shughuli za Mgodi

Zaidi ya Shilingi Bilioni 60 zinatarajiwa kulipwa kwa wanufaika 853 kwenye Vijiji vya Sotta na Nyabila kata ya Igalula- Sengerema...

READ MORE

Kocha wa Yanga Awapiga Stop Maxi Nzengeli, Aziz KI, Jonas Mkude

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema wachezaji wake wote ikiwa ni pamoja na Maxi Nzengeli, Aziz KI, Jonas Mkude,...

READ MORE

Mchezaji Wa Timu Ya Taifa Ya Panama Auawa Kwa Kupigwa Risasi

Mchezaji wa timu ya Taifa ya Panama Gilberto Hernandez, ameuawa kwa kupigwa risasi jana katika Mji wa Colon. Watu walio...

READ MORE

Simba Watamba Kuifunga Al Ahly, Kocha Awawekea Mtego Uwanja wa Mkapa

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema hana hofu ya kukutana na Al Ahly ya Misri, kwani anazijua...

READ MORE

Wegovy: Kampuni Ya Dawa Za Kupunguza Uzito Ndio Yenye Thamani Kubwa Zaidi Barani Ulaya

Kampuni ya kuunda dawa za kupunguza uzito, Wegovy, imekuwa kampuni yenye thamani zaidi barani Ulayana kuondoa ufalme wa kampuni ya...

READ MORE

Winga wa Man United Atemwa Timu Ya Taifa Kisa Sakata la Mpenzi Wake

Winga wa Manchester United, Antony ameondolewa kwenye kikosi cha timu ya Taifa hilo kufuatia madai ya kumshambulia kimwili mpenzi wake...

READ MORE

Mafundi Wakuta Mwili Wa Mwanamke Wakichimba Msingi, Mume Atuhumiwa Kuhusika – Video

Tukio la kustaajabisha limetokea katika Mtaa wa Nyamihimbi Kata ya Somanda Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu, baada ya...

READ MORE

#Exclusive: Niffer Ataka Kujiua Kisa Mapenzi – “Nilisimama Katikati Ya Barabara Sinza Nigongwe Nife” -Video

Mfanyabiashara ambaye pia ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii Jenifer Jovin ‘Niffer’ amefunguka kupitia mahojiano aliyoyafanya na @globaltvonline alipokuwa akihojiwa...

READ MORE

Mayele: Maxi Nzengeli Ataibeba Yanga Kubeba Ubingwa Msimu Huu

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele, amesema kwa namna anavyomfahamu Maxi Nzengeli, anaamini nyota huyo ataisaidia sana timu hiyo...

READ MORE

Waziri wa TAMISEMI Awataka Wakuu Wa Mikoa Na Wilaya Kusimamia Fedha Za Miradi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amewataka wakuu wa mikoa na wilaya kote nchini kushuka chini kwa...

READ MORE

Watu 40,000 Wahudhuria Kuapishwa kwa Mnangagwa Zimbabwe

Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ameapishwa Jumatatu kuhudumu kwa muhula wa pili baada ya uchaguzi uliozua utata, ambapo aliibuka mshindi...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Septemba 5, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 5, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Video: Shangwe Bungeni Naibu Waziri Mkuu Biteko Akikaribishwa Na Spika Tulia -Video

CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia...

READ MORE