×

Diamond Platnumz feat Chley – Shu! (Official Music Video)

Diamond Platnumz; ni supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ameachia video ya  Shu!

READ MORE

Canada Yazindua mpango wa uhamiaji kuvutia Wataalamu Wenye Ujuzi

H-1B visa ni kwa ajili ya wafanyakazi wa kigeni wasio wahamiaji na wenye ujuzi maalum. Kuanzia Julai 16 watu hadi...

READ MORE

Jonas Mkude Atambulishwa Rasmi Yanga, Apewa Jezi Namba 20 – Video

Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Jonas Mkude ‘Nungunungu’ kwa uhamisho huru baada ya mkataba wake na...

READ MORE

Epson Yafungua Kituo Cha Kwanza Cha Mauzo Na Huduma Za Ziada Afrika Mashariki, Dar

Dar Es Salaam, 13 Julai, 2023 – Epson, Kampuni inayoongoza uliwenguni kwa vifaa vya printing na projectors, imezindua kituo cha kwanza...

READ MORE

Micho, Aucho Wahusika Usajili Beki Mpya Yanga

IMEFAHAMIKA kuwa, kiungo mkabaji wa Yanga, Mganda, Khalid Aucho na Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’,...

READ MORE

Tamisemi Yatangaza Nafasi 77 za Ajira kwa Kada za Afya, Maombi kabla ya Julai 22

SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI) imetangaza tena nafasi za ajira...

READ MORE

Wanne Wafunga Usajili Yanga, Winga wa Meniema Maxi Nzengeli Mpia Atajwa

IMEKWISHA hiyo! Ndivyo utakavyoweza kusema baada ya mabosi wa Yanga, kukamilisha usajili wa nyota wanne wapya akiwepo mzawa mmoja pekee...

READ MORE

Vyuma Vitatu Vimebaki Simba Kufunga Usajili Msimu wa 2023/24

UONGOZI wa Simba, umeibuka na kutamka kuwa, umebakisha wachezaji watatu pekee kwa ajili ya kufunga usajili wao wa msimu wa...

READ MORE

Dk. Kikwete kuwaaga wapanda mlima 61 Kampeni ya GGML KiliChallenge-2023

RAIS mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kesho Ijumaa tarehe 14 Julai 2023 anatarajiwa kuwaaga jumla ya washiriki 61 watakaopanda mlima Kilimanjaro...

READ MORE

Wamiliki wa Magari Kenya Waingia Tanzania Kununua Mafuta ya Bei Rahisi

Maelfu ya wamiliki wa magari pamoja na waendesha boda boda katika mji wa mpakani wa Namanga wanaendelea kuingia nchini Tanzania...

READ MORE

Kitasa Kipya Yanga Chachota Sh 200Mil, Aucho Ahusika Usajili Wake

IMEELEZWA kuwa Yanga imetumia dau la Sh 200Mil kufanikisha usajili wa beki wa kati ya Timu ya Taifa ya Uganda...

READ MORE

Yanga Yamtangaza Kocha Msaidizi Moussa Ndao raia wa Senegal

Ni Rasmi sasa, Uongozi wa Yanga umemtangaza Kocha msaidizi ambaye ni Moussa Ndao raia wa Senegal kuchukua nafasi ya Cedrick...

READ MORE

Mkuu wa Polisi nchini Kenya Apiga Marufuku Maandamano ya Upinzani

Mkuu wa polisi nchini Kenya amepiga marufuku wafuasi wa upinzani kuitisha maandamano haramu leo Jumatano kufuatia wimbi la hasira juu...

READ MORE

Mdada Apagawishwa Baada Kukabidhiwa Milioni 5 Ya Chawote

Dar es Salaam 12 Julai 2023: Kampuni ya Tigo Tanzania imetoa kiasi cha shilingi milioni 5 kwa mshindi wa mwezi...

READ MORE

Vodacom Yatoa Tuzo Ikitimiza Miaka 11 Bila Vifo Kazini Ikitumia Ubunifu

Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano, Vodacom Tanzania PLC imewapongeza kwa kuwapatia tuzo mbalimbali washirika na watoa huduma wake kwa kuzingatia...

READ MORE

Utambulisho Wa Ngoma Simba Sapraiz Kubwa

IMEBAINIKA kuwa uongozi wa Klabu ya Simba umepanga kumtambulisha kiungo wao mpya, Fabrice Ngoma kama mchezaji wa mwisho kutokana na...

READ MORE

SGA Yaendelea Kulinda Hadhi Yake Ya Ubora Unaotambulika Kimataifa

KAMPUNI ya ulinzi ya SGA Security imeendelea kulinda hadi yake ya inayotambulika kimataifa katika kutoa huduma za ulinzi hapa nchini....

READ MORE

Bilionea Ned Nwoko Amwalika Mkewe Ofisini Kwake

Mwigizaji wa Nollywood, Nchini Nigeria, Regina Daniels, ameelezea furaha yake baada ya kualikwa kwenye mwaliko maalum kwenye nyumba ya Seneti...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Nilivyokimbiwa na Wake Zangu Mara Mbili Kisa Sina Nguvu za Kiume

  Mimi ni mwanaume ambaye namheshimu na kumjali mwanamke yoyote katika dunia hii, naheshimu sana jinsia ya kike kwa sababu...

READ MORE