×

Pombe Kali za Nje, Sigara, Saruji, ‘Energy Drinks’ na Maguta Kodi Juu

  Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amependekeza kuanzia mwaka wa Fedha 2023/24 kupunguza Ushuru wa Bidhaa kutoka Tsh. 4,386 kwa...

READ MORE

Serikali Kulipa Madaeni ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) – Video

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchema amesema Serikali itaendelea kununua na Kusambaza Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi kwa vituo vyote...

READ MORE

GGML yatoa elimu ya haki, wajibu maadhimisho Siku ya Mtoto wa Afrika

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeshirikiana na wadau...

READ MORE

Chongolo Aanza Ziara Dodoma Kukagua Utekelezaji wa Ilani, Kutatua Kero za Wananchi

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo ameanza ziara yake mkoani Dodoma kwa lengo la kuangalia utekelezaji wa...

READ MORE

Mabosi Simba Washtuka, Wamaliza Shoo Kimyakimya

HUKU ikiwa inasubiriwa tarehe rasmi ya kufunguliwa kwa dirisha la kubwa usajili hapa nchini kwa ajili ya msimu ujao wa...

READ MORE

Mzee Wa Upako – ”Ni Ngumu Kukuta Mwanaume Hana Mchepuko – Video

Mchungaji Anthony Lusekelo almaarufu Mzee wa Upako anasema kuwa mwanamke anapaswa kukaa nyumbani kwa ajili ya kulea watoto kwani anapotoka...

READ MORE

Waziri Mwigulu Awasilisha Mpango Wa Serikali 2023/2024, Deni Limeongezeka – Video

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba leo Bungeni Dodoma amewasilisha Bungeni taarifa ya Hali ya Uchumi wa Kitaifa...

READ MORE

Museveni Apimwa na Kukutwa Tena na Virusi vya Corona

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza Jumatano kuwa amepima na kupatikana tena na virusi vya Covid-19. Rais wa Uganda Yoweri...

READ MORE

Garnet Star, Daikin Zakubaliana Kuuza Mashine Rafiki Kwa Mazingira

Watanzania wamehimizwa kujikita katika matumizi ya bidhaa za viyoyozi ambavyo ni rafiki wa mazingira kwa lengo la kuhifadhi mazingira na...

READ MORE

Rais Samia Akagua Ujenzi Hoteli ya Nyota 5 Mwanza, Mkurugenzi Mkuu NSSF Abainisha Sababu Kuchelewa Kukamilika

Masha Mshomba Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), amebainisha mbele ya Rais Mhe. Dkt. Samia...

READ MORE

Benki Ya NBC Azindua Akaunti Maalum Kwaajili Ya Waalimu

Dar es Salaam, Juni 14, 2023 –Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo imezindua akaunti mpya inayojulikana kama “Akaunti ya...

READ MORE

Caren Simba: Nawachukia Wanaume Ambao Hawawapi Fedha Wapenzi Wao

Msanii wa filamu ambaye kwa hivi sasa anafanya vizuri sana kupitia filamu za Kibongo na video vixen, Careen Simba amesema anawachukia...

READ MORE

Klabu ya Yanga Yatangaza Kuachana Rasmi na Kocha Nasredinne Nabi

  Klabu ya Yanga, imetangaza kuachana na kocha wake, Nasreddin Nabi baada ya kumalizika kwa mkataba wake. Taarifa iliyotolewa na...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Na Kukagua Daraja La JP Magufuli Kigongo-Busisi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametembelea na kukagua Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi km...

READ MORE

Wizara ya Elimu Kuendelea Kuweka Kipaumbele Kwenye Michezo, Sanaa na Ubunifu

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itahakikisha Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 Toleo la 2023 pamoja...

READ MORE

Mwanamke Aliyetangazwa Kufariki Dunia Akutwa Akipumua Ndani ya Jeneza

Tukio lisilo la kawaida limetokea na kuwaacha wengi midomo wazi baada ya mwanamke mwenye umri wa miaka 76 ambaye madaktari...

READ MORE

Rais wa Yanga, Injinia Hersi Atangaza Vita Mpya Ya Usajili

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said, amepiga mkwara mzito kuhusu masuala ya usajili akiweka wazi kuwa jina lolote atakalopewa atafanyia...

READ MORE

Rais wa Nigeria Asaini Mswaada wa Aina Yake wa Mkopo kwa Wanafunzi

Rais mpya wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu ametia saini kuwa sheria muswada wa mkopo wa wanafunzi, ambao ni wa kwanza...

READ MORE

Airtel Wachangia Damu Kuunga Mkono Juhudi za Serikali Kuboresha Huduma za Afya.

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Uchangiaji Damu nchini (NBTS) Leo...

READ MORE

Simba Yamficha Mshambuliaji wa Rayon Sports Essomba Willy Onana, Dar

IMEELEZWA kuwa, kiungo mshambuliaji wa Rayon Sports, Leandre Essomba Willy Onana ambaye raia wa Cameroon, amekuja ar es Salaam kwa...

READ MORE