×

Waziri wa Elimu Awatakia Kheri ya Mitihani Watahiniwa Kidato Cha Sita

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe.Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa watahiniwa wanaonza mitihani leo Mei 02, 2023 kuzingatia...

READ MORE

Jeshi la Polisi Latembelea Ofisi za Vodacom Kukagua Usalama Sehemu za Kazi

  Jeshi la Polisi Tanzania, limefanya ziara kwenye ofisi za Kampuni ya Simu za Mikononi ya Vodacom kukagua usalama wa...

READ MORE

Rais Samia Amerejesha Matumaini ya Watanzania- NGOs

MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali nchini (NGOs) yamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wa kimageuzi tangu aliposhika madaraka miaka miwili...

READ MORE

Mwanasheria Ashauri Mgogoro Tanga Cement Ushughulikiwe Kwa Kuzingatia Sheria

Mgogoro wa utwaaji kiwanda Cha saruji ya Tanga uliendelea mwishoni mwa wiki wakati wakili wa kesi hiyo akiwataka wahusika kuheshimu...

READ MORE

Maandamano Mapya Yaanza Kenya: Polisi Wamwagwa Kila Kona, Waandamanaji Wafunga Barabara Kwa Mawe

Baada ya upinzani kutangaza maandamano mapya nchini Kenya, idadi kubwa ya Polisi imemwagwa katika maeneo mbalimbali jijini Nairobi. Polisi wamewekwa...

READ MORE

Breaking: Waziri Wa Kazi Auawa Kwa Kupigwa Risasi Na Mlinzi Wake Nyumbani Kwake

Charles Okello Engola ni Waziri wa Kazi, Ajira na Uhusiano wa Viwanda wa Nchini Uganda ambaye anadaiwa kuuawa asubuhi ya...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Onfon Media (T) Limited – Business Developer

Onfon Media (T) Limited POSITION: BUSINESS DEVELOPER DUTIES AND RESPONSIBILITIES: • Identify and pursue new business opportunities, including sales leads...

READ MORE

Mke wa Bichuka Amwaga Machozi, Mumewe Hali Mbaya -”Kuna Hatari Kupoteza Jicho La Pili, Hali Ngumu” -Video

Muimbaji nguli wa muziki wa dansi nchini, aliyekuwa akiimbia bendi ya Mlimani Park Hassan Rehani Bichuka, ameleta kilio chake kwa...

READ MORE

Simba Yaipiga Mkwara Azam Hatua ya Nusu Fainali Kombe la Azam Sports Federation

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unahitaji ushindi kwenye mchezo wao wa Hatua ya Nusu Fainali Kombe la Azam Sports...

READ MORE

Wanigeria Waipa Yanga Ubingwa Wa Afrika Baada Ya Kutinga Nusu Fainali

YANGA imepewa nafasi ya kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na hata kutwaa ubingwa na Rivers United. Hii ni...

READ MORE

Wale Wapenzi Wa Simu Bei Kitonga, Itel Wana Jambo Lenu…

Ni vigumu kuamini kuwa 160,000 inaweza kukupatia simu yenye uwezo wa 4G, betri kubwa 5000mAh linalodumu mda mrefu, kioo kubwa...

READ MORE

NMB ‘Yawapiga Msasa’ Wanawake wa TUICO – Morogoro

Wanawake wa Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri Tanzania (TUICO), wametakiwa kuvutiwa na mafanikio...

READ MORE

Benki ya Absa Yatoa sh Milioni 45 Kudhamini Absa Dar City Marathon

WATANZANIA wameshauriwa kulinda afya zao Kwa kushiriki mbio na mazoezi ya viungo kwani afya ni mtaji muhimu katika shughuli za...

READ MORE

Ng’aa zaidi na Simu mpya ya Tecno Spark 10

Tecno Mobile imetoa simu mpya ya Tecno Spark 10 yenye kamera ya selfie inayong’aa ya 32 MP ambayo inakuwezesha kuongeza...

READ MORE

Huduma Ya NBC Connect Yazinduliwa Mbeya, Kuboresha Huduma Za Kibenki

MBEYA Mei 1, 2023: Benki ya Taifa ya Biashara ya (NBC) imezindua huduma ya NBC Connect, ikiwa ni ingizo jipya...

READ MORE

#Exclusive Video: Lissa Mpenzi Wa Dulla Makabila Ataka Kulia Akikumbuka Alivyofiwa Na Mtoto

KWENYE EXCLUSIVE za IMELDA MTEMA ndani ya GLOBAL TV tumepiga stori na Zaiy Lissa mpenzi wa staa wa singeli Bongo...

READ MORE

Sheikh Issa Othman Aomba Kujiuzulu Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya Bakwata

Sheikh Issa Othman Issa, ameandika barua kwa Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir ya kujiuzulu katika wadhifa...

READ MORE

WFP Yahofia Vita vya Sudan Kusambaa Afrika Mashariki, Yatoa Tahadhari

Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetahadharisha juu ya mapigano yanayoendelea nchini Sudan. Limesema vurugu hizo zinaweza kuzitumbukiza nchi...

READ MORE

Bocco: Tumeumizwa Lakini Tumejifunza Baada ya Kupoteza nchini Morocco

BAADA ya kutua nchini jana Jumapili wakitokea Morocco walipoondoshwa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, mshambuliaji na nahodha wa...

READ MORE

TANESCO Watoa Tamko Kukatika kwa umeme Uwanja wa Benjamin Mkapa

Kufuatia kukatika kwa umeme Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati mechi kati ya Yanga na Rivers United ya Nigeria ikiendelea, Shirika...

READ MORE