×

UCL ya Moto Kamata Odds Kubwa Kutoka Meridianbet leo na Kesho ni Shangwe!!

The wait its over! Mbivu na mbichi kujulikana ni timu gani itafuzu hatua ya robo fainali ya UCL, ni mechi...

READ MORE

Mume Wangu Amerejea Nyumbani Baada ya Kunitelekeza na Watoto Miaka Miwili

  Katika miaka 21 niliyoishi kwenye ndoa, nimehitimisha kwa kusema kuwa; ndoa inahitaji uvumilivu mkubwa sana, ndoa inahitaji kuwa na...

READ MORE

Kiongozi wa upinzani wa Belarus apewa kifungo cha miaka 15 jela kwa tuhuma za kupanga mapinduzi

Kiongozi wa upinzani wa Belarus, Sviatlana Tsikhanouskaya, aliyeko uhamishoni, Jumatatu amepewa kifungo cha miaka 15 jela, licha ya kutokuwepo nchini,...

READ MORE

Yanga Yamtaka Feitoto Kuripoti Kambini Haraka Iwezekanavyo

Klabu ya Yanga inautaarifu umma kuwa imepokea maamuzi ya marejeo ya Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kuhusu suala...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Shirika la Posta Tanzania (TPC), Director of E-Business

POST DIRECTOR OF E- BUSINESS, FINANCIAL AND AGENCY – 1 POST EMPLOYER Shirika la Posta Tanzania (TPC) APPLICATION TIMELINE: 2023-02-18...

READ MORE

Halotel Yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Kituo cha Watoto Yatima

Kwa kusaidia jamii ya Tanzania, Halotel Tanzania imekabidhi msaada kwa kituo cha watoto yatima mkoa wa Dar es Salaam kama...

READ MORE

Wapelelezi wapewa mbinu mpya kukabiliana na uhalifu mtandaoni

  Wapelelezi wa Jeshi la Polisi hapa Nchini wapewa mbinu ya namna ya kukabiliana na uhalifu mtaandaoni. Mafunzo hayo yamefunguliwa...

READ MORE

Chongolo Awashukia Vikali Viongozi Wanaochelewesha Maendeleo Manyara

  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameivalia njuga barabara ya kiwango cha lami ya kilomita 25...

READ MORE

Halotel Yaunga Mkono Kampeni Uchangiaji Damu Shuleni Kisutu

  Katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuokoa maisha ya wagonjwa wanahitaji damu, kampuni ya simu ya Halotel leo...

READ MORE

Dj Sinyorita Alamba Shavu Baada ya Kuchaguliwa Kuwa Balozi wa Kampuni ya ORAIMO

    Dj wa kike aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kucheza na mashine, Dj Sinyorita amelamba shavu...

READ MORE

Binti Afia Kwa Mchungaji Akifanyiwa Maombi Baada ya Kuugua Malaria na U.T.I

  Binti mmoja mkazi wa Magamba Kijiji cha Mkuyuni Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Consolata Charles (16) amefariki...

READ MORE

Serikali Yapiga Marufuku Watoto Chini ya Darasa la Tano Kupelekwa Shule za Bweni

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepiga marufuku wanafunzi wa kuanzia madarasa ya awali hadi darasa la tano...

READ MORE

Je, Inawezekana Mtu Akatajirika Kupitia Michezo ya Bahati Nasibu au Kubashiri?

Watu wengi duniani kote wamekuwa wakicheza michezo ya Bahati Nasibu lakini ukweli ni kwamba ni idadi ndogo sana ya watu...

READ MORE

Nafasi ya Kazi 3 The Institute Of Social Work (ISW) , Information Communication Technology

POST ASSISTANT LECTURER (INFORMATION COMMUNICATION TECHNOLOGY)(RE-ADVERTISED) – 3 POST EMPLOYER The Institute Of Social Work (ISW) APPLICATION TIMELINE: 2023-02-21 2023-03-06...

READ MORE

Mama Wa Taifa Rais Samia Abeba Mtoto Zaujia Swalehe Usa River Arusha

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amembeba mtoto Zaujia Swalehe (1) mara baada...

READ MORE

Rais Samia Avuta Umati Wa Watu Arusha

Msafara wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa Jijini Arusha wakisindikiza Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia...

READ MORE

Chongolo Aanza Ziara Mkoani Manyara Kupokea na Kutatua Kero za Wananchi

SEKRETARIETI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo leo imeanza ziara mkoani Manyara ya...

READ MORE

PEP Guardiola Aitaja Arsenal Kuwa Timu Bora Premier League Msimu Huu

PEP Guardiola ameitaja Arsenal kama timu bora msimu huu ndani ya Premier League, ikiwa inaikimbiza Manchester City katika kuwania ubingwa....

READ MORE

Chama cha soka Simiyu wafanya maboresho ya katiba

Chama cha soka mkoa wa Simiyu (SIFA) March 4 mwaka huu  kilifanya mkutano mkuu wa kawaida ambapo pamoja na mambo...

READ MORE

Wapinzani Siyo Maadui-Rais Samia

“Mtanzania yoyote, awe chama chochote cha siasa. Tunachotofautiana ni mawazo tu na fikra. Mimi sichukulii wapinzani kama maadui, nawachukulia kama...

READ MORE