×

Michuano ya CAF AfricanSchool Football Yaanza leo Azama Complex – Tazama Live Hapa

MASHINDANO ya vijana wa shule za Afrika Mashariki (CECAFA) yameanza kutimua vumbi rasmi leo Ijumaa katika Uwanja wa Azama Complex...

READ MORE

Licha Ya Kipigo… Arsenal Bado Ina Nafasi Ya Kubeba Ubingwa Premier

MANCHESTER City walirejea kileleni mwa Ligi Kuu England (EPL) kwa mara ya kwanza tangu Novemba walipowachapa viongozi wa ligi hiyo...

READ MORE

Mabosi Simba Wawaweka Kitimoto Baleke, Chama Kuwapa Ushindi dhidi ya Raja Casablanca

UONGOZI wa Simba umefanya kikao na wachezaji wao juzi mara baada ya kurejea nchini Guinea ambao wameahidi kuwapa ushindi dhidi...

READ MORE

Serikali ya Somalia Yaua Wapiganaji 350 wa Al Shabab Katika Operesheni Tofauti

Serekali ya Somalia Alhamisi imesema wanajeshi wake wanaoungwa mkono na washirika wake wa kimataifa, na wanamgambo wa kikoo wamewaua takriban...

READ MORE

Mwigizaji Bruce Willis Ana Tatizo la Akili, Familia yake Yatangaza

Mwigizaji Bruce Willis ana shida ya kiakili inayofahamika kama frontotemporal, familia yake imetangaza. Katika taarifa kwenye mitandao ya kijamii, walisema...

READ MORE

Rais Cyril Ramaphosa Akataa Ombi la Mazishi ya Kitaifa kwa Rapa AKA

Ombi la utawala wa mkoa kwa ajili ya mazishi ya kiserikali kwa mwanamuziki maarufu wa Afrika Kusini aliyeuawa wiki iliyopita...

READ MORE

Vijana Wanufaika Na Mafunzo Ya EACOP Ya Mradi Ujenzi Wa Bomba La Mafuta

Serikali imepongeza  mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kuwapatia mafunzo yenye hadhi ya kimataifa Watanzania...

READ MORE

Kocha Mazembe Aingia Mchecheto Awataja Aziz Ki na Fiston Mayele

KOCHA Mkuu wa TP Mazembe mwenye uraia wa Ufaransa, Franck Dumas amesema kuwa ubora wa wachezji wa Yanga kama Aziz...

READ MORE

Rais wa Kenya William Ruto Atangaza Nafasi za Kazi Sita, IEBC Utata Waibuka

Rais wa Kenya William Ruto ametangaza wazi nafasi sita katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, wakati bado jopo...

READ MORE

Idadi ya Vifo vya Tetemeko la Ardhi Syria na Uturuki Yafikia Zaidi ya 41,000

  Idadi ya jumla ya vifo katika tetemeko kubwa la ardhi nchini Uturuki na Syria wiki iliyopita imeongezeka na kufikia...

READ MORE

Kocha wa Simba Atamba Saido Karudi, Raja Hawatoki Uwanja wa Mkapa

KOCHA wa Simba, Mbrazil Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amefunguka kuwa, watakuja kuzifunga timu zote kwenye Uwanja wa Mkapa wakianza na Raja...

READ MORE

Kocha wa Yanga Ategua Mitego Ya TP Mazembe Hataki Kurudia Makosa Waliyoyafanya Tunisia

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi amesema kuwa hataki kurudia makosa makosa matatu waliyoyafanya dhidi ya US Monastir ya...

READ MORE

Rais Buhari wa Nigeria Aongeza Muda wa Kubadilisha noti ya 200 ya Naira kwa siku 60

Rais wa Nigeria Buhari ameiagiza Benki Kuu kuachilia noti za kale za 200 za naira tena katika ili kutumiwa sambamba...

READ MORE

Wanawake Watatu Wapatikana Hai siku Tisa Baada ya Tetemeko la Ardhi Uturuki

Siku tisa baada ya maafa ya tetemeko la ardhi Uturuki, wanawake watatu na watoto wawili wamepatikana wakiwa hai. Melike Imamoglu...

READ MORE

Leo Kitawaka FC Barcelona vs Manchester Utd Pata Odds Kubwa na Bomba kutoka Meridianbet

Pata Odds kubwa na bomba kutoka Meridianbet mabingwa wa ubashiri na kasino ya mtandaoni, Leo Ligi ya Uropa na Europa...

READ MORE

Fei Toto Apata Ajali, Avaana Uso Kwa Uso Na Bodaboda, Gari Lake Laharibika – Video

Mchezaji wa Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Feisal Salum Abdallah (Fei Toto) amepata ajali mchana wa leo Februari...

READ MORE

Video: Rais Samia Awaapisha Waziri Mpya Wa Michezo, Pindi Chana Na Wenzake, Ikulu Dsm

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi wateule leo tarehe 15 Februari, 2023 Ikulu jijini...

READ MORE

Wanafunzi 32 Wanusurika Kifo Baada ya Kula Matunda Yanayodaiwa Kuwa na Sumu

  WANAFUNZI 32 wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Mkomo, Kata ya Chawi Halmashauri ya Mji wa Nanyamba...

READ MORE

Chuo Cha Teknolojia Cha India Kuanzishwa Nchini Tanzania

Serikali ya India inatarajia kuazisha Chuo cha Teknolojia (Indian Institute of Technology) nchini Tanzania ambacho kitakuwa kinatoa kozi ya masuala...

READ MORE

Msanii AKA Kuzikwa Jumamosi, Baba Yake Afunguka, Kuagwa Ijumaa Ukumbi wa Sandton Convention Centre

Familia ya rapa mkubwa nchini Afrika Kusini aliyeuawa kwa kupigwa risasi, Kiernan Forbes almaarufu AKA imetoa taratibu za mazishi za...

READ MORE