×

Meli ya Tanzania Yapinduka katika Bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran

Meli ya mizigo ya Tanzania iitwayo Anil imepinduka katika bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran Siku ya Jumanne, Januari 24...

READ MORE

Ishu ya Kocha wa Simba Roberto Oliveira, Maswali Ni Mengi Kuliko Majibu

“KOCHA Mkuu, Roberto Oliveira ameondoka usiku huu kwenda kwao Brazil kwa shughuli binafsi za kifamilia na anatarajiwa kurejea nchini mwishoni...

READ MORE

Marekani Kutuma vifaru 31 aina ya M1 Abrahams nchini Ukraine

Marekani imetangaza kuwa itatuma vifaru 31 aina ya M1 Abrahams nchini Ukraine, vinavyoelezewa na maafisa wa Marekani kuwa “bora zaidi...

READ MORE

Diamond Platnumz – Yatapita (Official Music Video)

Diamond Platnumz; ni supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ameachia video ya Yatapita.  

READ MORE

Staa wa PSG Kylian Mbappe Aweka Rekodi Ya Kipee Atupia Mabao Matano

STAA wa PSG, Kylian Mbappe juzi aliteuliwa kwa nahodha wa Paris Saint-Germain kwa mara ya kwanza kwenye mchezo Coupe de...

READ MORE

Mama wa Mwanafunzi Aliyechapwa Kinyama na Mwalimu Mkuu Afunguka – Video

 Tukio ni la kweli limetokea,tarehe 10.01.2023, ambapo Mwalimu huyo alipiga viboko wanafunzi zaidi ya mmoja, upigaji wake ndio ulioleta...

READ MORE

Parimatch Tech Yawa GR8 Tech

  Kampuni mpya ya teknolojia imeingia katika soko la kimataifa la iGaming B2B wiki hii: GR8 Tech. Kama mrithi wa...

READ MORE

Kila Mwanaume Aliyekuwa Akinichumbia, Alikuwa Ananiacha Kwenye Mataa

    Jina langu ni Melinda, naishi jijini Mwanza, ni mama wa mtoto mmoja ambaye niliolewa Machi mwaka jana nikiwa...

READ MORE

Uhakiki Laini za Simu Mwisho Februari 13, 2023 Waziri Nape Afunguka – Video

SERIKALI imeongeza siku 14 kwa Watanzania waliosajili laini zao za simu kuhakiki laini hizo kabla ya kufikia tarehe 13 Februari,...

READ MORE

Ripoti ya Mo Ibrahim Yasema Sehemu kubwa ya Afrika sio Salama

Ripoti ya taasisi yake iliyataja mapinduzi nane yaliyofanikiwa tangu mwaka 2019. Mali na nchi jirani ya Burkina Faso zimeshuhudia mawili...

READ MORE

Mshindi wa “Ndinga la Kishua” Kutoka Kahama, Akabidhiwa Gari Lake

Dar es Salaam, 26 Januari 2023:  Kampeni ya Ndinga la Kishua iliyoendeshwa na kuratibiwa na kampuni ya mawasiliano Tigo, leo imekabidhi...

READ MORE

Kocha wa Simba Atenga Programu ya Siku Mbili kwa Mastaa Akiwemo Baleke, Chama

KIKOSI cha Simba jana Jumanne kilirejea kambini baada ya mapumziko ya siku moja, huku Kocha Mkuu Mbrazili, Robert Olvieira ‘Robertinho’...

READ MORE

Kiungo Mrundi Gael Bigirimana Akubali Yaishe Yanga Avunja Mkataba, Atimka Kwao

MARA baada ya kufikia makubaliano mazuri ya kuvunja mkataba na timu yake ya Yanga, kiungo Mrundi Gael Bigirimana amekubali yaishe...

READ MORE

Mamia Wampokea Tundu Lissu Uwanja wa Ndege Dar, Polisi Waweka Ulinzi Mkali – Video

MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amewasili leo Januari 25, 2023 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...

READ MORE

Ushindi Mkubwa Na Gurudumu La Bahati Meridianbet Kasino! Shinda hadi mara 25000 ya dau lako na Crazy Time

Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kwa kushirikiana na watengenezaji mahiri wa michezo ya kasino za mitandaoni...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya 37 Wapya, Wengine Awahamisha

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 48...

READ MORE

Mwanamuziki Phina Asaini Rasmi Ziiki Media

  Mwimbaji na miongoni mwa vipaji vikubwa vinavyokua kwa kasi na kufanya vizuri kutoka Tanzania ‘Phina’ amejiunga rasmi na kampuni...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Awakabidhi Tuzo Washindi Wa Kiswahili Safal-Cornell Ya Fasihi Ya Afrika

Washindi wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal-Cornell ya Fasihi ya Afrika kwa mwaka 2022 walituzwa na Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa,...

READ MORE

Waziri Dkt. Dorothy Gwajima Atembelea Benki ya Nmb, Ateta na Uongozi

  Benki ya NMB imepata nafasi ya kutembelewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum...

READ MORE

Rais Samia Atengua Uteuzi wa Viongozi Watano kwa Mpigo

Taarifa iliyotolewa leo Januari 24, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imewataja waliotenguliwa kuwa ni Reuben...

READ MORE