×

Zelenskyy Asema Urusi Iadhibiwe kwa Uhalifu Wake wa Uvamizi wa Kivita Ukraine

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameutaka Umoja wa Mataifa kuiadhibu Moscow kwa uvamizi wake, akitaka mahakama maalum na Urusi iondolewe...

READ MORE

Harmonize – Nitaubeba (Official Video), Atamba na Mpenzi Wake Kajala Masanja

 HARMONIZE au Teacher Konde; ni staa mkubwa wa muziki nchini Tanzania usiku wa kuamkia leo Septemba 22, 2022 ameachiavideo...

READ MORE

NMB Yadhamini Mil 25 Kwa Ajili Ya Michuano Ya Golf Lugalo

Benki ya NMB imetoa udhamini wa Sh. Mil. 25 kwa Mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi Tanzania (NMB CDF...

READ MORE

Biden Aangazia Ukraine, Usalama wa Chakula na Afya ya Dunia Akihutubia Baraza Kuu la UN – Video

Kwa kutofuata utamaduni wa marais wa Marekani, Joe Biden hakuongea siku ya kwanza kwa kuwa alikuwa safarini nchini Uingereza kuhudhuria...

READ MORE

Tanzania na Msumbiji Zatia Saini Mikataba ya Ulinzi na Usalama

Msumbiji na Tanzania Septemba 21, 2022 zimesaini mikataba miwili ya ushirikiano mjini Maputo inayolenga kupambana na ugaidi na uhalifu. Msumbiji...

READ MORE

Nafasi Za kazi 13 Jordan University College (JUCO), Law , Socialogy , ICT & Accounting and Finance

Jordan University College Office of the Deputy Principal Finance and Administration Constituent College of St. Augustine University of Tanzania P.O....

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya *Gazeti la SpotiXtra* leo Sep-22 Kwa nusu bei tu   Gazeti la Spoti Xtra*https://bit.ly/3d8qcYV AU *SpotiXtra*https://bit.ly/3d8qcYV...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Alhamisi, Septemba 22, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 22 , 2022 Usipitwe na...

READ MORE

Vodacom Yategemea Uwekezaji wa Mtandao na Ubunifu ili Kuendelea Kuongoza

  Septemba 22, 2022:Vodacom Tanzania PLC, Kampuni pekee ya simu iliyosajiliwa kwenye Soko la Hisa nchini, imefanya Mkutano Mkuu wa...

READ MORE

Amuua Kaka Yake Kisa Nyama ya Utumbo ya Buku, Polisi Wamsaka Kila Kona

POLISI huko Murang’a nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa miaka 30 anayeshukiwa kumuua kakake mkubwa kufuatia mzozo wa nyama ya utumbo...

READ MORE

The Pirates, Ndani ya Meridianbet: Furahia Sloti Hii ya Pirates Power!

Bwana sloti, leo nimekuja na habari njema kabisa kwa wapenzi wa gemu za simu na gemu za mtandaoni! Bila shaka...

READ MORE

Akamatwa Akisafirisha Madawa ya Kulevya, Atumia Dawa za Kienyeji Kuwakwepa Askari

JESHI la Polisi mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja anayesafirisha madawa ya kulevya aina mirungi katika jiji la Arusha....

READ MORE

Waziri Mkenda: Serikali Imetenga Bil 100 Ujenzi wa VETA Nchini

Serikali inayo azma ya kujenga Chuo cha Ufundi Stadi katika kila Mkoa na Wilaya nchini. Katika mwaka huu wa fedha...

READ MORE

Rais Samia Aanza Ziara Rasmi ya Kiserikali Nchini Msumbiji leo – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Septemba 21, 2022 ameanza ziara Rasmi ya Kiserikali nchini...

READ MORE

Wafanyakazi Watatu wa Tanesco Wafariki Dunia Katika Ajali ya Gari Mkoani Manyara

GARI la dharula la TANESCO mkoani Manyara limegongana uso kwa uso na lori la mizigo katika Mlima wa Logia wilayani...

READ MORE

Ukweli Ulio Jificha Kuhusu Antonio Griezmann Kucheza Kwa Dakika 30 kwa Kila Mechi

  KATIKA mechi zote ambazo amecheza kwa mkopo kwenye klabu ya Atletico Madrid akitokea Barcelona Antonio Griezmann amekua akitumika kama...

READ MORE

Dawati la Jinsia Nchini Lajipanga Kutoa Elimu ya Afya ya Akili

MKUU wa Dawati la Jinsia na Watoto wa Jeshi la Polisi Tanzania, Naibu Kamishna, Mary Nzuki amewataka Askari Polisi wanaofanya...

READ MORE

Watu watano Wakamatwa Nigeria Wakiwa na Tani 1.8 za Madawa ya Kulevya

WATU watano, meneja wa ghala na wafanyabiashara wa dawa za kulevya wanne akiwemo mmoja aliyetajwa kuwa raia wa Jamaica walikamatwa...

READ MORE

Viongozi Katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa Wanalaani Vita vya Urusi Nchini Ukraine

UVAMIZI wa Russia dhidi ya Ukraine umechukua nafasi kubwa katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, huku Ujerumani na Ufaransa...

READ MORE

Mabondia Twaha Kiduku na Karim Mandonga Watua kwa Shangwe Mtwara Leo

MABONDIA Twaha Kiduku na Karim Mandonga leo Septemba 21, 2022 wamepokewa kwa shangwe kubwa la wakazi wa Mtwara tayari kwa...

READ MORE