×

Simba Yatuma Salamu za Pole kwa Watani Wao wa Jadi Yanga Kufuatia Kifo cha Shabiki

KLABU ya soka ya Simba imetuma salamu za pole kwa Uongozi wa Klabu ya yanga kufuatia ajali iliyosababisha kifo cha...

READ MORE

10 Waripotiwa Kufariki Kwenye Mlipuko wa Bomu Ndani ya Hoteli, Mogadishu

WATU 10 wameripotiwa kufariki kufuatia mlipuko uliotokea kwenye Hoteli moja mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.   Serikali pamoja na vyombo...

READ MORE

Aubameyang, Fofana Wanukia Darajani, Lampard Atia Ngumu Kumuachia Gordon

KLABU ya Chelsea ya nchini Uingereza ipo mbioni kukamilisha usajili wa wachezaji Pierre Emerick Aubameyang kutoka Barcelona pamoja na mlinzi...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi Aug-13, kwa nusu bei na uingie katika droo kujishindia zawadi ya hadi shilingi...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi, Agosti 20, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 19, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

RC Makalla Atangaza Oparesheni ya Kukamata Matumizi ya Mifuko ya Plastiki

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo August 19 ametangaza Operesheni ya kukamata Mifuko...

READ MORE

Kila Mtu Ana Nafasi Ya Kushinda Jackpot Meridianbet, Unafahamu Jackpot Ni Nini Na Namna Ya Kushinda?

Kwa mpenzi wa kubashiri mtandaoni, bila shaka hili ni jambo unalolitazama kwa jicho la tatu, Jackpoti zimekuwa ni kivutio cha...

READ MORE

Maafisa Watatu wa Serikali Wasimamishwa Kazi kwa Tuhuma za Rushwa

RAIS wa Liberia na mchezaji wa zamani wa soka George Weah amewasimamisha kazi maafisa watatu kwa kosa la ufisadi.  ...

READ MORE

Jinamizi la Urais Lamtesa Raila Odinga kwa Miaka 25, Hatma Yabaki Mahakamani

RAILA Odinga mgombea wa kiti cha uraisi wa Azimio la Umoja amepoteza tena kwa mara ya tano dhidi ya mpinzani...

READ MORE

MTCC Kuja na Mkakati Mpya Kuboresha Maendeleo ya Bandari

KITUO cha Ushirikiano wa Teknolojia ya Bahari, Maritime Technology Cooperation Centre (MTCC) ambacho kina wanachama kumi, Tanzania ikiwepo, wamekuja na...

READ MORE

Yanga Yaweka Rekodi Nyingine, Yaingia Makubaliano na Kampuni Kubwa Nchini

KLABU ya Yanga imeandika historia nyingine mpa leo Ijumaa, Agosti 19, 2022 baada ya kuingia makubaliano na kusaini mkataba wa...

READ MORE

UN na Ukraine Wakubali Kuyamaliza na Urusi, Ni Baada ya Vita Kusogelea Sehemu Hatari

  KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres pamoja na marais wa Uturuki na Ukraine wamejadili namna za kumaliza...

READ MORE

TRC Kuongeza Safari za Treni Mikoa ya Kaskazini, Gharama za Mafuta Yawa Sababu

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limeongeza safari za Treni Kutoka Dar es salaam kwenda mikoa ya kaskazini ambayo ni Arusha,...

READ MORE

Augustine Okrah Ampagawisha Kocha Mserbia Simba Dhidi ya Geita Gold

BAADA ya kuanza vizuri kampeni ya kusaka taji la Ligi Kuu Bara msimu huu kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi...

READ MORE

Polisi Wafichua Miili ya Watu Ishirini Iliyokaushwa,Majirani Watoa Neno

POLISI katika mji wa Benin katika Jimbo la Edo kusini mwa Nigeria wanawashikilia watu watatu kutokana na kugundulika kwa miili...

READ MORE

Mrembo Hana Mohamed Khodor Auawa Kwa Kukataa Kutoa Mimba

Hana Mohamed Khodor; ni mrembo mwenye umri wa miaka 21 ambaye amekutana na umauti kwa kukataa kutoa mimba kwa shinikizo...

READ MORE

TMRC Yasaini Hati ya Makubaliano Kusaidia Kaya Masikini, Ridhiwani Kikwete Atoa Tamko

TAASISI ya mikopo ya nyumba ya Tanzania Mortgage Refinance (TMRC) imesaini hati ya makubaliano kusaidia kaya maskini na Shirika la...

READ MORE

Rais Samia Amteua Prof. Mark Mwandosya Kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi EWURA

  Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mark Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya udhibiti wa...

READ MORE

Morrison, Makambo Wapewa Kazi Maalum Yanga, Kuwazuia Mabeki na Viungo Wakabaji

  KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amesema kuwa wachezaji wake, Mghana Bernard Morrison na Mkongomani, Heritier Makambo, wana...

READ MORE

Hawa ni Viungo Ishirini Watakaolipwa Mkwanja Mrefu kama Casemiro Akitua Man United

KATIKA harakati za Manchester united kukamilisha dili la kiungo mkata umeme wa kibrazili ‘Casemiro’, timu hiyo inajiandaa kumlipa mchezaji huyo...

READ MORE