×

Ufadhili wa Nmb Wafikia Trilioni 1.56 Katika Sekta ya Kilimo

  Serikali imezichangisha benki nchini kwa lengo la kuongeza wigo kwa wakulima, wafugaji na wavuvi kukopa ili kuongeza uwekezaji kwenye...

READ MORE

GGML Yatoa Milioni 100 Kudhibiti Fisi Wanaovamia Wagonjwa Kasamwa

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetumia jumla ya Sh milioni 100 kujenga uzio katika kituo cha afya cha...

READ MORE

Bima ya Kilimo ya NBC Yawavutia Wadau wa Kilimo Maonesho ya Nanenane Mbeya

Mbeya: Agosti 2, 2022: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendelea kung’ara kwenye Maonesho ya Kilimo Nanenane yanayofanyika katika Uwanja...

READ MORE

Mbosso Afunguka Kuzaa na Mke wa Abdukiba, “Sikujua’

STAA wa Bongo Bleva, Mbosso amethibitisha kuzaa mtoto wa kike na aliyekuwa mke wa msanii Abdukiba huku akidai kwamba hakuwa...

READ MORE

Amuua Mama Yake Mzazi kwa Kumchoma Kisu Zaidi ya Mara 80, Ahukumiwa Kifungo cha Maisha Jela

KIJANA mwenye umri wa miaka 19 Aaron Matthew raia wa nchini Uingereza amehukumiwa kifungo cha maisha Jela baada ya kukubali...

READ MORE

Nabi Alalama Kuhusu Ratiba, Awalilia Nyota Waliokuwa Taifa Stars

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasredine Mohammed Nabi amelilalamikia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi kutokana na ratiba...

READ MORE

Wafungwa Kuanza Kupewa Likizo, Wakimbizi nao Watajwa Kuhusika

WADAU wa Mahakama mkoani Kigoma wameazimia kwa pamoja kuanza kutekeleza adhabu mbadala kwa wafungwa ikiwemo kutoa likizo kwa lengo la...

READ MORE

Sistiinho: Simba Day, Wiki ya Wananchi na Azam Festival ni Faida Kwa Timu na Jamii

MCHAMBUZI wa soka kupitia vipindi vya michezo vya Global tv online na +255 Global Radio, Sistiinho amebainisha kuwa Simba Day,...

READ MORE

China Ipo Tayari Kutumia Nguvu za Kivita Endapo Mjumbe wa Marekani Ataingia Taiwan

IKULU ya White House imeonya kuwa China inaweza kutumia matumizi ya zana za kivita ikiwemo kurusha makombora, ndege pamoja na...

READ MORE

Majaliwa: Fuateni na Simamieni Falsafa ya Rais Wetu Samia Suluhu Hassan

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka washiriki wa kozi fupi ya 13 ya viongozi watambue, wafuate na waisimamie falsafa ya Serikali...

READ MORE

Chelsea Yajiandaa Kuachana na Nyota Wake Wawili, Kocha Abariki Waondoke

KLABU ya Chelsea inajiandaa kuachana na nyota wake wawili ambao wanatarajia kuondoka klabuni hapo kwa mkopo wa msimu mzima.  ...

READ MORE

Rais Samia Ampokea Rais wa Zambia Hakainde Hichilema Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Zambia Hakainde Hichilema leo katika uwanja wa...

READ MORE

Biden: Hatimaye Haki Imepatikana Baada ya Kumuua Gaidi wa Al Qaeda

RAIS wa Marekani Joe Biden amelihutubia Taifa hilo na kutoa kauli nzito juu ya kifo cha kiongozi wa kundi la...

READ MORE

Nafasi ya Kazi RTI International, Monitoring, Evaluation, Research, Learning and Adapting Officer

Monitoring, Evaluation, Research, Learning and Adapting Officer   Act to End Neglected Tropical Diseases (NTDs) | East is a five-year...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne, Agosti 2, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 2, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la SpotiXtra Aug-02, kwa nusu bei na uingie katika droo kujishindia zawadi ya hadi shilingi...

READ MORE

Nmb Yakabidhi Millioni 60 Maonesha ya Nanenane Mbeya

    Benki ya NMB imeendelea kuiunga mkono serikali katika kufanikisha maonyesho ya Sikukuu ya Wakulima Kitaifa (Nanenane) kwa kukabidhi...

READ MORE

Muuaji Nchini Marekani Auawa Licha ya Ombi Kutoka kwa Muathiriwa Kutaka Kumuokoa

MFUNGWA Nchini Marekani aliyejulikana kwa majina Joe Nathan James, ambaye alimuua mpenzi wake wa zamani Miongo kadhaa iliyopita amenyongwa.  ...

READ MORE

Rais Samia: Chalamila we ni Mtundu sana, Natumaini Umekua Sasa

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemuasa Mkuu mpya wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila kuwa...

READ MORE

Bilionea wa Ukraine Auawa Katika Shambulio Lililotekelezwa na Urusi

BILIONEA maarufu nchini Ukraine Oleksiy Vadatursky ameuawa yeye pamoja na mke wake Raisa kufuatia shambulio lililotekelezwa na majeshi ya Urusi...

READ MORE