×

Halima Kopwe Ashinda Taji la Miss Tanzania Kutoka Mtwara, Rais Samia Kujenga Ukumbi wa Kimataifa Dar -Video

  WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ya Rais Samia imedhamiria kuinua kuinua kiwango cha mashindano...

READ MORE

Serikali Yatambua Mchango wa NMB Kuendeleza Wabunifu Nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Philip Mpango ameikabidhi Benki ya NMB cheti cha kutambua...

READ MORE

Exclusive… Mama Dangote Amlipukia Zari, Acharuka Baada ya Kuulizwa Juu ya ujio Wake

  Sanura Kassim almaarufu Bi Sandra au Mama Dangote; ni mama mzazi wa staa mkubwa wa muziki barani Afrika, Diamond...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Baada ya Ukame wa Mabao Simba Yatua kwa Straika wa Orlando Pirates

IMEELEZWA kuwa Simba imeanza mazungumzo na mshambuliaji wa Orlando Pirates ya nchini Afrika Kusini, Kwame Peprah raia wa Ghana kwa...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi, Mei 20, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 21, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Kisa Lwanga, Mzambia Alamba Mkataba Simba, Pablo Atoa Maelekezo Mazito

UNAAMBIWA mwenendo wa majeraha kwa kiungo Taddeo Lwanga raia wa Uganda, umemfanya Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco alazimike kumuongeza...

READ MORE

Makonda Afika Ubalozi wa UAE Asaini Kitabu cha Maombolezo Kufuatia Kifo cha Rais Khalifa Bin Zayed

  Mkuu wa Mkoa Mstaafu wa Dar es salaam, Paul Makonda amefika katika Ubalozi wa Umoja wa Falme Za Kiarabu...

READ MORE

TAMWA Yatoa Taarifa ya Ukatili wa Kijinsia kwa Watoto wa Kike Nchini Tanzania

CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kimetoa taarifa kwa Umma juu ya ripoti ya ukatili na unyanyasaji wa...

READ MORE

Kisa Mbeya Kwanza, Kocha Yanga Awaonya Wachezaji Wake Wasiwachukulie Poa

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa amewaambia wachezaji wake wasiwachukulie poa Mbeya Kwanza ili yasije yakajitokeza kama yaliyotokea...

READ MORE

Mobetto Athibitisha Kutolewa Posa ya Shilingi Milioni 10

HAMISA Hassan Mobetto au Misa; ni mwanamitindo, msanii wa muziki na mjasiriamali maarufu Bongo ambaye anafunguka kuwa, aliwahi kutolewa posa...

READ MORE

Watumishi wa Sekta Binafsi Nao Kucheka Kabla ya Julai – Mwenyekiti TUGHE

MWENYEKITI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE) Taifa bwana Joel Kaminyoge amesema watumishi wa sekta binafsi...

READ MORE

Muliro Azungumzia Tukio la Mwanamke Mkazi wa Sinza Aliyejeruhiwa kwa Risasi

  KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amethibitisha tukio la Mwanamke aitwaye Mariam mkazi wa...

READ MORE

Barbara wa Simba na Haji Manara Waitwa Kamati ya Maadili TFF Kujieleza Kesho

  OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez atafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka...

READ MORE

Nape Nnauye Awasilisha Hotuba ya Makadirio na Matumizi ya Wizara Bungeni -Video

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye akiwasilisha Hotuba ya Makadirio na Matumizi ya Wizara hiyo...

READ MORE

Rihanna Ajifungua Mtoto wa Kiume Los Angeles, Chris Brown Ampongeza – Video

Hatimaye Rihanna na mpenzi wake Asap Rocky(33)  Mei 13, 2022 wamefanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume. Rihanna ambaye...

READ MORE

Manara Aanika Ukweli – “Fei Toto Bado Yupo Sana, Morrison Mali ya Simba” – Video

Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara leo Mei 19, 2022 ameendelea na ziara yake maluum Wilayani Njombe, ambapo amealikwa...

READ MORE

Gerald Mdamu Mchezaji wa Polisi Tanzania Afunguka Kurudi Uwanjani Msimu Ujao

  GERALD Mathias Mdamu, ni mchezaji wa Polisi Tanzania ambaye msimu huu hajafanikiwa kucheza kwenye timu hiyo kutokana na ajali...

READ MORE

Simba Yatua Kwa Beki la Kazi Raia wa Cameroon Amecheza LA Galaxy ya Marekani

  KLABU ya Simba ipo katika mazungumzo na beki la kazi raia wa Cameroon, Jean Jospin Engola kwa ajili ya...

READ MORE

TECNO Phantom X na CAMON 19 Pro Kunyakuwa Tuzo ya Kifahari ya iF Design Award 2022

Hongkong, 13 Aprili 2022 – Hivi majuzi, washindi wa Tuzo maarufu duniani ya iF Design wametangazwa. TECNO ilishinda tuzo ya...

READ MORE