×

Tag: afghan

Wanawake Wapigwa Marufuku Kuigiza Filamu

WANAWAKE wamepigwa marufuku kushiriki katika vipindi vya runinga nchini Afghanistan katika sheria mpya iliowekwa na Serikali ya Taliban.   Waandishi...

READ MORE

Rais Awaomba Radhi Wananchi kwa Kukimbia Nchi

ALIYEKUWA Rais wa Afghanistan kabla ya Taliban kuichukua, Ashraf Ghani, amewaomba msamaha watu wa nchi hiyo baada ya kukimbilia nchi...

READ MORE

Mwanasoka Afariki kwa Kudandia Ndege ya Afghan

Mamlaka ya Afghanistan imethibitisha kuwa mwanasoka kijana Zaki Anwari (19) alifariki dunia baada ya kujaribu kuondoka nchini humo kwa kudandia...

READ MORE

Wanaume Uganda Wawatamani Warembo wa Afghanistan

Waziri wa Masuala ya Jinsia, nchini Uganda Betty Amongi, amesema wanaume nchini humo wamekuwa wakiombea wakimbizi kutoka nchini Afghanistan wawasili...

READ MORE

Taliban: Hatutalipiza Kisasi

MSEMAJI wa Kundi la Wanamgambo la Taliban, Zabiullah Mujahid amesema vyombo vyote vya habari nchini humo viendelee kurusha matangazo kama...

READ MORE

Waliogombania Ndege Afghan Kutua Uganda

  SERIKALI ya Uganda imesema kuwa itawachukua wakimbizi 2000 wa Afghanistan wanaokimbia mzozo nchini mwao – kufuatia ombi la Marekani....

READ MORE

Rais Biden Agoma Kubeba Msalaba wa Afghan

Rais wa Marekani, Joe Biden ametetea uamuzi wake wa kuondoa majeshi yake nchini Afghanistan licha ya nchi hiyo kutekwa na...

READ MORE