Watu 19 Wafariki Baada ya Kutokea Shambulio la Kujitoa Muhanga
TAKRIBANI watu 19 wamefariki baada ya kutokea shambulio la kujitoa muhanga kwenye Chuo Kikuu kilichopo katika Mji wa Kabul nchini Afghanistan.
Taarifa hiyo imetolewa na Polisi wa Mji wa Kabul na kueleza kuwa licha ya…
