×

Tag: AS Vita

Yanga Wavujishiwa Siri za Ibenge Al Hilal, Wapewa Mbinu ya Kuwamaliza Mapema

KUELEKEA katika mchezo wa raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Msaidizi wa AS Vita, Roul Shungu, amewapa...

READ MORE

Rasmi: Ibenge Asepa As Vita

Taarifa za kuthibitika zinaeleza kuwa kocha Frolentine Ibenge ameachana na klabu ya AS Vita huku Rais wa klabu Bestine Kazadi...

READ MORE

Injinia Hersi Afuata Beki Mali

YANGAimeamua na safari hii haina utani kabisa katika usajili wa wachezaji hasa wa kimataifa kwa ajili ya maandalizi ya msimu...

READ MORE

Injinia Atua Sauz Kunasa Straika Matata

BAADA ya kwenda DR Congo na kumsainisha beki wa kulia wa AS Vita, Shabani Djuma, Injinia Hersi Said, amepaa na...

READ MORE

Tshishimbi Aomba Kurejea Yanga

TAARIFA za ndani ya Klabu ya Yanga, zimeweka wazi kuwa, nahodha wa zamani wa timu hiyo, Papy Kabamba Tshishimbi, ameomba...

READ MORE

Injinia: Yanga Tunafanya Usajili Mkubwa

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetamba kuwa, upo kwenye mipango mizito ya kukisuka upya kikosi chao kitakachofanya vizuri na kuandika...

READ MORE

Rasmi Djuma Mali ya Yanga

SASA ni rasmi Yanga imemsainisha beki wa kulia wa AS Vita na timu ya taifa ya DR Congo, Shaaban Djuma...

READ MORE

Beki AS Vita Akubali Kutua Yanga

HATIMAYE beki wa kulia wa AS Vita na timu ya Taifa ya DR Congo, Djuma Shabani, amefunguka kuwa yupo tayari...

READ MORE

Yanga Waunasa Mkataba wa Beki wa AS Vita

DJUMA SHABANI ndilo jina ambalo linafanyiwa kazi kwa sasa na uongozi wa Yanga ili kuhakikisha wanafanikiwa kumnasa na kumsajili mchezaji...

READ MORE

AS Vita Walikataa Gari la Simba Uwanja wa Ndege

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, viongozi wa Klabu ya AS Vita juzi Alhamisi walikataa basi ambalo waliandaliwa na wenyeji wao...

READ MORE

Mil 600 Zatengwa Simba Kuimaliza AS Vita

UNAAMBIWA Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, ambaye pia ni mwekezaji wa klabu hiyo, Mohamed Dewji ‘Mo’, ameamua kuichukulia...

READ MORE

Kikosi Cha AS Vita Kilivyotua Dar Kuivaa Simba J’mosi -Video

KIKOSI cha timu ya AS Vita Aprili 1, 2021kimetua nchini na msafara wa watu 39 unaojumuisha wachezaji, benchi la ufundi...

READ MORE

Tulieni, AS Vita Wanakufa Nyingi

KATIKA kuhakikisha hataki utani huku akitaka kuona timu yake inaibuka na ushindi wa mabao mengi katika mchezo wa Ligi ya...

READ MORE

Kisa Simba, AS Vita Waingia Mchecheto

ZIKIWA zimesalia siku chache kufikia siku ya mtanange kati ya Simba na AS Vita, Kocha Mkuu wa AS Vita kutoka...

READ MORE

AS Vita Waja na Mkwara Mzito

MSHAMBULIAJI wa AS Vita, Ducapel Moloko, amewapiga mkwara mzito Simba kwa kusema kuwa watachukua alama tatu watakapokutana uwanjani Jumamosi hii....

READ MORE

Kisa AS Vita… Kocha Simba Ashtuka, Asitisha Mazoezi Simba

KATIKA kuhakikisha anapata ushindi wa nyumbani dhidi ya AS Vita, Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes, amewataka wachezaji wake...

READ MORE

Chama Akabidhiwa AS Vita

CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji wa kikosi cha Simba, amekabidhiwa mchezo dhidi ya AS Vita kuipa ushindi timu hiyo na kutinga...

READ MORE

Ibenge: Tunahitaji Pointi 3 Kwa Simba

KOCHA Mkuu wa AS Vita, Florent Ibenge amesema kuwa ili waweze kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya Ligi...

READ MORE

Kocha AS Vita Aiita Yanga Mezani

KOCHA Msaidizi wa AS Vita Club ya DR Congo, Raoul Shungu, amesema kuwa yupo tayari kuisikiliza ofa ya Yanga kama...

READ MORE

Simba Kumchomoa Beki Kisiki AS Vita

BAADA ya beki wa kulia wa timu ya AS Vita Club ya DR Congo, Shabani Djuma kuwasumbua Simba katika mchezo...

READ MORE

Simba Sc Yaanika Mbinu Walioitumia Kuiua AS Vita

  OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez, amesema ushindi ambao timu yao iliupata katika mechi ya kwanza ya Kundi...

READ MORE

Vita: Simba Walistahili

BAADA ya AS Vita kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Simba, wachezaji wa timu hiyo wamesema kuwa Simba walistahili...

READ MORE

Lokosa Ashtukiwa, Simba Wamtwisha Zigo Zito

UNAAMBIWA baada ya jana Kocha Mkuu wa Simba, raia wa Ufaransa, Didier Gomes Da Rosa, kumaliza mchezo wake wa kwanza...

READ MORE

Simba Yawatungua AS Vita Kinshasa, Yaongoza Kundi

WAWAKILISHI wa kimataifa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba wakiwa hatua ya makundi jana walianza kwa kasi kwa ushindi wa...

READ MORE

Kisa AS Vita, Gomes Ampa Kagere Kazi Maalum

KUELEKEA mchezo wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita utakaopigwa leo Ijumaa, Kocha Mkuu wa...

READ MORE

Morrison, Mugalu Wapewa Jukumu Zito DR Congo

KUTOKANA na uzoefu wake alionao wa kuwahi kucheza soka Kinshasa, DR Congo, benchi la ufundi la Simba limempa jukumu zito...

READ MORE

Straika Al Ahly Awatangazia Vita Simba

MSHAMBULIAJI wa Al Ahly, raia wa DR Congo, Walter Bwalya amefunguka kitendo cha timu yake kupangwa kundi moja na Simba...

READ MORE

Kagere Awapania AS Vita Kwao

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere amefunguka kuwa wanakwenda kucheza na AS Vita ambao wanawajua vizuri hivyo hawatokuwa wanyonge kwa...

READ MORE

Gkanji: Simba Tutafika Nusu Fainali CAF

KIUNGO mpya wa Simba, Doxa Gkanji, amesema malengo yake ndani ya timu hiyo ni kuisaidia kufi ka mbali katika Ligi...

READ MORE

Zahera: Simba Itaifunga AS Vita Nje Ndani

LIYEKUWA Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo, amefi chua kuwa Simba wana nafasi kubwa ya kushinda mechi...

READ MORE

AS Vita Waitumia Vitisho Simba

BENCHI la ufundi la AS Vita, limeweka wazi kuwa wamefurahia kupangwa tena na Simba katika makundi ya Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Yanga Yatamba Kuwanyoosha AS Vita

KUELEKEA kwenye kilele cha siku ya Wananchi, uongozi wa Yanga umesema kuwa utawapiga mabao mengi AS Vita kwenye mchezo wa...

READ MORE

Mabingwa Burundi Kuwanoa Yanga

KATIKA kuhakikisha wanakuwa fiti kuelekea mchezo wao wa kirafiki dhidi ya AS Vita ya DR Congo, Yanga itavaana na mabingwa...

READ MORE

AS VITA KUKIPIGA NA YANGA KILELE CHA SIKU YA WANANCHI

  Klabu ya AS Vita ya DR Congo imealikwa kucheza na Yanga siku ya utambulisho wa kikosi cha timu hiyo...

READ MORE

Kocha Zahera Amtaja Litombo Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema usajili wa beki kisiki wa AS Vita ya DR Congo, Yannick Bangala Litombo...

READ MORE

AS Vita wavunja rekodi ya Simba Taifa

LICHA ya kuondolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, AS Vita kutoka DR Congo imevunja rekodi ya Simba katika...

READ MORE

Niyonzima Nilipambana na AS Vita nikiwa majeruhi

LICHA ya kucheza kwa kiwango kikubwa katika mechi ya AS Vita, kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima amebainisha kwamba kwenye mechi...

READ MORE

Niyonzima: Mbona mimi ni yuleyule tu

KIUNGO mchezeshaji fundi Mnyar­wanda, Haruna Niyonzima ametaja siri ya kiwango chake kikubwa alichokionye­sha kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika...

READ MORE

CHAMA NI MTU ‘HATARI SANA’

CLATOUS Chama wa Simba ameitikisa Afrika kwa kutupia mabao ya usiku na muhimu kwa timu yake katika michuano ya Ligi...

READ MORE