The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

AS Vita

Rasmi: Ibenge Asepa As Vita

Taarifa za kuthibitika zinaeleza kuwa kocha Frolentine Ibenge ameachana na klabu ya AS Vita huku Rais wa klabu Bestine Kazadi akithibitisha. “ ndugu mashabiki, ninatangaza kuondoka kwa kocha wetu Jean-Florent. Kwa niaba ya klabu ya…

Injinia Hersi Afuata Beki Mali

YANGAimeamua na safari hii haina utani kabisa katika usajili wa wachezaji hasa wa kimataifa kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao ambapo timu hiyo inatarajiwa kushiriki michuano ya kimataifa.Tayari Yanga kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wa…

Tshishimbi Aomba Kurejea Yanga

TAARIFA za ndani ya Klabu ya Yanga, zimeweka wazi kuwa, nahodha wa zamani wa timu hiyo, Papy Kabamba Tshishimbi, ameomba kurejea kuitumikia Yanga, kutokana na kuona bado anauwezo wa kuitumikia kwa mafanikio tofauti na ilivyokuwa mwanzo.…

Rasmi Djuma Mali ya Yanga

SASA ni rasmi Yanga imemsainisha beki wa kulia wa AS Vita na timu ya taifa ya DR Congo, Shaaban Djuma kwa mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo. Djuma Shaaban unakuwa ni usajili wa kwanza wa Yanga wa…

Tulieni, AS Vita Wanakufa Nyingi

KATIKA kuhakikisha hataki utani huku akitaka kuona timu yake inaibuka na ushindi wa mabao mengi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita, Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes amewatenga washambuliaji wake,…

AS Vita Waja na Mkwara Mzito

MSHAMBULIAJI wa AS Vita, Ducapel Moloko, amewapiga mkwara mzito Simba kwa kusema kuwa watachukua alama tatu watakapokutana uwanjani Jumamosi hii. Kauli hiyo ameitoa zikiwa zimebaki siku chache kabla timu hizo hazijavaana…

Chama Akabidhiwa AS Vita

CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji wa kikosi cha Simba, amekabidhiwa mchezo dhidi ya AS Vita kuipa ushindi timu hiyo na kutinga robo fainali. Chama mwenye pasi mbili za mabao kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi…

Vita: Simba Walistahili

BAADA ya AS Vita kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Simba, wachezaji wa timu hiyo wamesema kuwa Simba walistahili kushinda kutokana na walivyojitoa katika mchezo huo uliokuwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba…

Kagere Awapania AS Vita Kwao

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere amefunguka kuwa wanakwenda kucheza na AS Vita ambao wanawajua vizuri hivyo hawatokuwa wanyonge kwa kuwa wanataka matokeo mazuri. Februari 12, mwaka huu Simba itacheza mchezo…

Mabingwa Burundi Kuwanoa Yanga

KATIKA kuhakikisha wanakuwa fiti kuelekea mchezo wao wa kirafiki dhidi ya AS Vita ya DR Congo, Yanga itavaana na mabingwa wa Burundi, Aigle Noir Makamba FC, Julai 27, mwaka huu kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Yanga…

Kocha Zahera Amtaja Litombo Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema usajili wa beki kisiki wa AS Vita ya DR Congo, Yannick Bangala Litombo ni mgumu lakini ataangalia cha kufanya, bado hajakata tamaa. Zahera ambaye ameanza kuisuka Yanga mpya huku akitarajiwa…