The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

AS Vita

Kilichoiua Simba Congo ni Hiki

WAWAKILISHI pekee wa Afrika Mashariki kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika jana usiku mbele ya AS Vita walikiona cha moto jijini hapa. Walikumbana na kipigo cha mabao 5-0 na kujikuta wakiporomoka hadi nafasi…

Manula Ampoteza Kipa wa Vita

MABINGWA watetezi Simba wa Ligi Kuu Bara, Jumamosi watakuwa nchini DR Congo kwenye Uwanja wa Martyrs kumenyana na AS Vita ya DR Congo huku rekodi zikionyesha kwamba mikono ya mlinda mlango wa Simba, Aishi Manula imempoteza mlinda mlango…