VIDEO: Kocha Vita Aipa Siri Yanga
KOCHA mkuu wa klabu As Vita Club ya DR Congo, Florent Ibenge anaamini Yanga itatwaa ubingwa msimu huu katika Ligi Kuu Bara sababu tu ina kocha bora na mwenye uwezo.
Yanga kwa sasa inafundishwa na kocha Mkongo, Mwinyi Zahera…
