MARA nyingi matatizo huwaunganisha watu na kuwafanya kuwa kitu kimoja, hata kama katikati yao kulikuwa na tofauti kubwa kiasi gani...
READ MOREUBUYU mpya mjini ni kwamba mwanamama kiwango kwenye kiwanda cha filamu Bongo, Irene Uwoya anamzimia usipime mkali wa miondoko...
READ MOREMwanamuziki wa Hip Hop Bongo kutoka Kampuni ya Weusi, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ hivi karibuni amezua gumzo baada ya...
READ MOREHITMAKER wa Ngoma ya Nadekezwa ambaye pia ni Memba wa Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yussufu ‘Mbosso’, amefunguka kuwa...
READ MOREMWANADADA Faidha Omari ‘Sister Fay’, ambaye kwa sasa anatengeneza vichwa vya habari kutokana na uhusiano na ‘benten’ wake aitwaye Hollystar,...
READ MOREUSHUHUDA alioutoa hivi karibuni mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuhusu maisha yake, umekuwa mwiba mkali kwa mama...
READ MOREUKIZUNGUMZIA wanadada wanaofanya vizuri kwenye Bongo Fleva ni Vanessa Mdee ‘Vee Money’. Amefanya mambo mengi kwenye gemu la Bongo Fleva. Vee...
READ MOREMWANAMUZIKI mkongwe kwenye Tasnia ya Muziki wa Bongo Fleva, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ hivi karibuni mbele ya umati wa mashabiki...
READ MOREStaa wa Bongo Fleva, Emm-anuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameifungukia ishu ya kufilisiwa na benki inayosemekana inamdai baada ya kukopa...
READ MOREZAMA zinabadilika kwa kasi sana utadhani zinakimbizwa na mwanariadha mwenye heshima Bongo, Alphonce Simbu na walioushuhudia Muziki wa Bongo Fleva...
READ MOREKWA mpenzi wa burudani na shabiki wa Muziki wa Hip Hop Bongo hasa wa mwanamuziki Fareed Kubanda ‘Fid Q’, wimbo...
READ MOREJuma Kassim ‘Nature’LICHA ya kuapa kwamba hatazaa mtoto mwingine zaidi ya yule aliyezaa na mwanamuziki, Juma Kassim ‘Nature’, muuza nyago...
READ MOREMWANAMUZIKI mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Ambwene Yessaya ‘AY’, ambaye wimbo wake wa Microphone aliomshirikisha Fareed Kubanda ‘FID Q’...
READ MOREMWANAMUZIKI Lameck Philipo ‘Bonge la Nyau’ amefunguka kwamba siri ya yeye kuamua kufanya kazi na mwanamuziki mkongwe wa Taarab, Khadija...
READ MOREWAKATI akijiandaa kumfanyia sikukuu maalumu ya kuadhimisha kuzaliwa kwake mwanaye Tiffah, sherehe ya bethedai ya Dylan mtoto aliyezaa na Hamisa...
READ MOREANAITWA Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amezaliwa katika familia ya kimasikini huko Igunga, Tabora. Ni mtoto wa mwisho kati ya watoto...
READ MORESIZUNGUMZII kuhusu mitusi ambayo mwanadada Lulu Eugene ‘Amber Lulu’ alikuwa akivurumishiana na mpenzi wake wa zamani, David Genzi almaarufu kama...
READ MOREMWANAMUZIKI Rosary Robert, ambaye anafanya vizuri kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva na Afrika kwa sasa na Wimbo wa...
READ MORETAJA wanamuziki wa kike wakali Bongo. Si jambo geni kwa mpenzi wa muziki mtaani kumuuliza mwenzake na si ajabu kusikia...
READ MOREMWANAMUZIKI wa kimataifa, Vanessa Mdee ‘Vee Money’, amesema siri ya kuandaa shoo zake mbali na kufikisha kazi zake kwa...
READ MORESTAA wa Filamu za Kibongo, Esterlina Sanga, ameibuka na kusema ataongeza mtoto wa pili miaka miwili ijayo kwani mpango wake...
READ MOREFEZA Kessy aka Manzi ya Arusha ni miongoni mwa mastaa ambao wamepata nafasi ya kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania nje...
READ MOREMPENZI msomaji tunazidi kuinjoi simulizi za watu mbalimbali juu ya namna walivyokutana na kuanzisha uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita tuliwaona mastaa...
READ MOREMWANADADA Lulu Abass ‘Lulu Diva’ ambaye kwa sasa anakimbiza kwenye gemu la Bongo Fleva na Wimbo wa Ona ambao amemshirikisha...
READ MOREMWANAMUZIKI mkongwe katika gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Msafiri Kondo ‘Solo Thang’, ambaye kwa sasa anaishi Uingereza hivi karibuni...
READ MOREMWISHONI mwa miaka ya 1990, Clouds Media ikishirikiana na Kinywaji cha Pilsner, waliandaa mashindano ya kusaka vipaji vya wanamuziki yaliyofanyikia...
READ MOREDAR ES SALAAM: WAKATI mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akitangaza maandalizi ya kufuru ya bethidei ya mwanaye...
READ MOREDAR ES SALAAM: Kwa wafuatiliaji wa mitandao ya kijamii, video ya mrembo aitwaye Samirata anayetajwa kuwahi kushiriki mashindano ya Miss...
READ MOREDAR ES SALAAM: Maandalizi ya pati ya kuzaliwa (birthday) ya bintiye ambaye ndiye uzao wake wa kwanza, Latifah Nasibu ‘Tiffah...
READ MOREMWANAMAMA mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Khadija Shaban Taya ‘Keisha’ amefunguka kuwa kuna ugumu wa kufanya muziki na siasa...
READ MOREHITMAKER wa Ngoma ya Labda, William Lyimo ‘Bill Nas’ amefunguka kwamba anatamani sana kuwa kwenye uhusiano lakini kinachomfanya mpaka sasa...
READ MOREMWANADADA Lulu Abass ‘Lulu Diva’ amebonga kwamba miongoni mwa vitu vilivyombadilisha maisha yake hasa kwenye gemu la Muziki ni wimbo...
READ MOREMIAKA ya nyuma kidogo, mtoto wa kiume akionekana anafanya mambo ambayo yamezoeleka kufanywa na watoto wa kike, wazazi walikuwa wakiumia...
READ MOREMSANII wa filamu Bongo ambaye amepotea kwenye ‘media’ kwa kipindi kirefu, Rose Ndauka amefunguka juu ya tetesi zinazoenea mitandaoni kuhusu...
READ MOREKILA kukicha, wapo mastaa ambao wamekuwa wakijiachia kihasara mitandaoni bila kujali kwamba wanaenda kinyume na maadili ya Kitanzania na wao...
READ MOREKWENU mastaa wawili, Salma Jabu ‘Nisha’ na Faiza Omary ‘Sister Fay’, habari zenu? Mkitaka kujua hali yangu, mimi sijambo. Hofu...
READ MORENGULI kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Juma Kassim ‘Juma Nature’, kesho anatarajia kuangusha shoo ya kibabe kwenye Uwanja...
READ MOREBAADA ya kuzagaa kwa madai kwamba msanii wa Bongo Fleva, Rich Mavoko ambaye yuko kwenye Kundi la WCB ambalo mkurugenzi...
READ MOREMwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Roma Mkatoliki juzi Jumatano alihamsha shangwe za kutosha kwa mashabiki wake baada ya kufanya sapraiz...
READ MOREALIINGIZA somo la ‘Mathematic’ kwenye ulimwengu wa Muziki wa Hip Hop, mashabiki wakaingia ‘class’ kupiga msuli, akawaita ‘Wanakondoo’ kisha akajitangaza...
READ MORE