×

Tag: CHADEMA

MBOWE Afikishwa Mahakamani, Arudishwa GEREZANI! – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA), Freeman Mbowe, amefikishwa Mahakamani tena Desemba 06, 2018, kusikiliza shauri lake la...

READ MORE

Kesi ya Chadema Yaahirishwa tena, Mbowe arudishwa Rumande

    MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia mbunge wa Kawe (Chadema) Halima Mdee kuendelea na majukumu yake ya ubunge...

READ MORE

CHADEMA Walia na JPM, Kesi ya MBOWE – Video

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Kibamba, John Mnyika, amewaomba wanachama wa Chadema na Watanzania wote kwa ujumla...

READ MORE

BULAYA Acharuka Kikokotoo Kipya cha Mafao, Awavaa CCM – Video

Mbunge wa Jimbo la Bunda, Ester Bulaya, ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi,...

READ MORE

Mahakama Kuu Yatoa Maamuzi RUFAA YA MBOWE – Video

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imesitisha kusikiliza rufaa ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge...

READ MORE

WAFUASI WA CHADEMA, CUF WATIMULUIWA MAHAKAMA KUU – VIDEO

JESHI la Polisi limewatimua wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Mahakama...

READ MORE

Breaking: Rufaa Ya Mbowe, Matiko Kuendelea Kesho (Picha +Video)

  RUFAA ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mweka Hazina wa Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha), Esther...

READ MORE

Zitto Kabwe Aungana na Chadema Rufaa Ya Mbowe (Picha+Video)

  MBUNGE wa Tarime Mjini (Chadema), Esther Matiko na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe wameshawasili katika Mahakama Kuu Kanda ya...

READ MORE

IRINGA: POLISI WAZUIA MKUTANO WA MCH. MSIGWA

Polisi Mkoani Iringa imezuia mkutano wa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) uliokuwa ufanyike leo mkoani humo- Katibu...

READ MORE

BREAKING: Mbowe, Matiko Kurudishwa Gerezani, CHADEMA Watoa Tamko ZITO!

KUFUATIA Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwafutia dhamana Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther...

READ MORE

ESTER BULAYA Aibua Kashfa Ya Deni La Serikali Trilioni 8 – Video

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepinga sheria mpya ya mafao ya hifadhi ya jamii kikidai sheria hiyo inamuumiza mtumishi...

READ MORE

BREAKING: SUZAN KIWANGA ATIMULIWA BUNGENI HADI 2019

Spika wa Bunge, Job Ndugai amemtoa nje ya bunge, Mbunge wa Mlimba, Suzan Kiwanga (Chadema) na kumtaka kutohudhuria vikao vya...

READ MORE

BREAKING: CHADEMA Watoa Tamko Juu ya NASARI Kuhamia CCM – Video

Kufuatia taarifa zilizokuwa zimeenenea kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii juu ya kujiuzulu kwa Mbunge wa Arumeru Mashariki (CHADEMA), Joshua...

READ MORE

Sakata la Clip; Kubenea, Komu Waomba Radhi Chadema – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamewaomba radhi viongozi...

READ MORE

Breaking: Kimenuka! Kubenea, Komu Wavuliwa Uongozi – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamevuliwa nyadhifa zao...

READ MORE

DC Hai Afunga Maduka ya Mwenyekiti Chadema, Aagiza Achunguzwe – Video

Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo kuyafunga maduka ya Mwenyekiti wa...

READ MORE

CHADEMA Wanunua Magari Mapya ya Kazi Maalum – Pichaz

Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, leo Jumatano, Oktober 17, 2018 kimeyaonyesha hadarani magari yake aina ya Ford Ranger ambayo...

READ MORE

BREAKING: Ishu ya MO Dewji, Serikali Yamjibu LEMA – Video

Serikali imesema inao uwezo wa kuchunguza uhalifu wa aina yoyote nchini kwa kutumia vyombo vyake vya ndani ikiwemo Jeshi la...

READ MORE

BREAKING: Lema Afunguka MO Dewji Kutekwa, A-Z Kilichotokea! – Video

MBUNGE wa Arusha Mjini wa  (CHADEMA) na Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema, amesema serikali inao wajibu mkubwa...

READ MORE

Lema Kuzungumzia Kutekwa Kwa Mo Dewji Leo

  Mbunge wa Chadema Arusha Mjini, Godbless Lema, mbaye pia ni Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, amesema, leo atazungumza na...

READ MORE

DKT BASHIRU AMJIBU LOWASSA PAPO KWA HAPO – VIDEO

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amemjibu Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Waziri Mkuu...

READ MORE

Breaking: Mbunge wa CHADEMA, Simanjiro Atimukia CCM

  MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), James Ole Millya, amejiuzulu ubunge na...

READ MORE

Kimenuka! CHADEMA, CCM Wachapana Ngumi Dar

JANA Jumatano, Oktoba 3, 2018 kulitokea tukio la aina yake kwenye Ukumbi wa Anatoglo uliopo Manispaa ya Ilala jijini Dar...

READ MORE

WAZEE CHADEMA: WANAOHAMA UPINZANI WANASHINIKIZWA – VIDEO

BARAZA la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) limesema hatua ya baadhi ya viongozi na wanachama wa vyama...

READ MORE

BREAKING: Baada ya Kuhamia CCM, Msaidizi wa Mbowe Aanika Mazito – Video

ALIYEKUWA Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe ambaye ni Diwani wa Kata ya Temeke,...

READ MORE

Diwani Mwingine CHADEMA Atimkia CCM

Diwani wa Kata ya Nkoanekoli katika Halmashauri ya Meru wilayani Arumeru kwa tiketi ya Chadema, Wilson Nanyaro ameandika barua ya...

READ MORE

Chadema Wanazindua Sera Toleo la Mwaka 2018, Dar

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chini ya Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, leo Jumanne, Septemba 24, 2018, wamezindua upya Sera...

READ MORE

LIVE CHADEMA: “Tuliridhika Waliobakia Wote ni Marehemu?” – Video

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amezungumzia kuhusu uokoaji wa wa Wananchi waliozama kwenye ajali ya MV Nyerere iliyotokea jana...

READ MORE

BREAKING: CHADEMA WAJIONDOA CHAGUZI NDOGO ZOTE

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kujiondoa katika chaguzi ndogo zote zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...

READ MORE

Kauli ya Kalanga Baada ya Kuibuka Mshindi Monduli – Video

IKIWA ni muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi katika kinyang’anyiro cha ubunge jimbo la Monduli, mbunge mteule Julius Kalanga (CCM),...

READ MORE

WAITARA: Wakala wa CHADEMA Amekutwa na BASTOLA – Video

Mgombea wa Ubunge wa jimbo la Ukonga kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Mwita Waitara, amesema kuna Wakala mmoja...

READ MORE

BREAKING: CHADEMA Walipuka Kuibiwa KURA “Hatukubali Matokeo”

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amesema kuna kasoro nyingi zimejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwenye uchaguzi Mdogo...

READ MORE

Alichosema Kalanga Baada ya Kupiga Kura Monduli (Picha + Video)

MGOMBEA ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Julius Kalanga,  baada ya kupiga kura katika kata ya Lepuluka, Monduli jijini Arusha, ...

READ MORE

POLEPOLE AWAONYA CHADEMA KUPANGA VURUGU UKONGA – VIDEO

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekituhumua Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa madai ya kupanga kufanya fujo katika Jimbo la...

READ MORE

Halima Mdee Avuruga Tena, Amtetea Diamond, Roma – Video

MBUNGE wa Kawe (Chadema) Halima Mdee amesimama Bungeni na kuwatetea wasanii kutokana na sheria zilizowekwa na Baraza la Sanaa la...

READ MORE

Video: MASHINJI “Nani Aliwafundisha Kuweka Mimba, Mnataka Wafe?”

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezungumzia kauli ya Rais John Magufuli aliyoitoa akiwa ziarani mkoani Simiyu akiwataka wananchi wazae...

READ MORE

CHADEMA: Rais Magufuli Arudishe Katiba ya WARIOBA – Video

Baraza la Wazee la Chadema limemtaka Rais Dkt. Jon Magufuli kuirudisha Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo mchakato...

READ MORE

BREAKING NEWS: Maalim Seif Kutua Chadema Kuwania Urais- Video

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema endapo migogoro ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) itaendelea basi watamshawishi Katibu Mkuu...

READ MORE

CHADEMA: “CCM Wanamtumia LOWASSA, Hatutakubali” – VIDEO

WANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamekilalamikia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakidai kuwa chama hicho kinalitumia jina la...

READ MORE