Chama: Tupo Tayari Kwa Vita na AS Vita
KIUNGO wa Simba, Claytous Chama, ameizungumzia AS Vita Club kuwa ni timu ngumu, lakini watapambana kuhakikisha wanafanya vizuri katika mchezo wao wa leo Jumamosi. Chama ambaye tangu hatua ya awali kwenye
Ligi ya Mabingwa Afrika amekuwa…
