Ajibu Ajibu Mapigo ya Chama
KIUNGO mzawa ndani ya Simba, Ibrahim Ajibu, amejibu mapigo ya kiungo mwenzake, Clatous Chama kwa kutoa pasi ya mwisho ya kisigino iliyoleta bao ndani ya Simba.
Septemba 20, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, Chama…
