Hati ya Kumkamata Wema Yaibua Utata Kortini
Hati ya kumkamata staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu iliyotolewa jana na shahidi wa serikali katika kesi ya kukutwa na madawa ya kulevya, iliibua utata baada ya wakili wa mshtakiwa huyo kuikataa huku mwanasheria wa serikali akiikubali.…
