Betika Mwendo Uleule Kuwafikia Wasomaji Wake
MAPEMA leo Jumatano, Aprili 29 mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Buguruni, Malapa na maeneo ya Rozana ambapo wasomaji wa gazeti la betika wamejichukulia nakala ya gazeti hilo.…
