Ajibu, Niyonzima Wawavuruga Yanga
WAKATI kivumbi cha Ligi Kuu Bara kikizidi kupamba moto, baadhi ya mashabiki wa timu ya Simba juzi Jumamosi walijikuta wakiingia katika mvutano mkubwa na kutaka kushushiana makonde kuhusiana na mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu.…
