×

Tag: Heritier Makambo

Makambo Apelekwa Kenya

HUKU timu yake ya zamani ya Yanga ikipewa Waarabu kutoka Misri timu ya Pyramids FC, Heriter Makambo na timu yake...

READ MORE

Azam FC waitana, wamjadili Makambo

VIGOGO wa Azam FC wametishwa na fomu ya Yanga ya kushinda mechi zao licha ya kwamba wako ‘unga’ kiuchumi, hivyo...

READ MORE

Makambo Awafunika Kagere, Bocco

HERITIER Makambo wa Yanga, anaonekana kuwa vizuri katika kufunga mabao msimu huu na kuwazidi ujanja washambuliaji wa Simba, Meddie Kagere...

READ MORE

Mabao Yamfanya Makambo Aitwe Timu Ya Taifa

NYOTA ya mshambuliaji wa Yanga Mkongoman, Heritier Makambo imezidi kung’ara baada ya kuchaguliwa kwenye orodha ya awali ya wachezaji 40...

READ MORE

Guu la Makambo Lampoteza, Kagere… Walingana Mabao

SAHAU kabisa kuhusiana na Emmanuel Okwi, John Bocco na huyu Mzambia anayeitwa Claytous Chama.   Wala usihangaike na Amissi Tambwe,...

READ MORE

Makambo Akikataa Kiatu cha dhahabu

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Heritier Makambo raia wa DRC Congo amesema malengo yake ni kuona Yanga inakuwa bingwa wa Ligi Kuu...

READ MORE

ZAHERA KUWAKALISHA KINA MAKAMBO

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo amesema kila siku atawapatia mbinu mpya washambuliaji wake, Heritier Makambo...

READ MORE

Ajibu, Ngassa Wapewa Kazi Maalum ya ‘Kumpikia’ Makambo

VIUNGO washambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu na Mrisho Ngassa, jana walipewa kazi maalum ya kuhakikisha wanapiga krosi safi kwa washambuliaji...

READ MORE

MAKAMBO, AJIBU WAFICHWA KISA MECHI YA SIMBA FEB 16

WACHEZAJI wote wa Yanga wakiwemo Ibrahim Ajibu na Heritier Makambo hawataonekana mitaani wala kwenye makazi yao mpaka mechi na Simba...

READ MORE

Makambo, Tshishimbi Kurudi na Ubingwa Yanga

  NYOTA wa Yanga raia wa DR Congo, Heritier Makambo na Papy Kabamba Tshishimbi, Januari 14 watatua jijini Dar es...

READ MORE

Makambo Aweka Rekodi ya Kibabe

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Heritier Makambo amekuwa mchezaji wa kwanza msimu huu kuweka rekodi ya aina yake baada ya kutwaa tuzo...

READ MORE

Makambo Atawafunga Sana

  KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema straika wake mwenye mabao 11, Heritier Makambo atatupia sana mzunguko wa pili kama...

READ MORE

Yanga yafunga Mwaka Kibabe, Yafikisha 50!

MABINGWA mara 27 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wanaufunga mwaka kibabe kutokana na kuweka rekodi ya kipekee msimu huu...

READ MORE

Rekodi ya Makambo Yaitesa Simba

MAMBO ni moto! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya mshambuliaji wa Yanga, raia wa DR Congo, Heritier Makambo, kuandika rekodi...

READ MORE

Makambo Mtu Mbayaaaa! Yanga Yafikisha Pointi 50

HAKUNA namna yoyote ambayo timu yoyote ya Tanzania inaweza kuiondosha Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara mwaka huu...

READ MORE

Kagere, Makambo na Okwi Wababe Wa Ligi Kuu Bara

  MZUNGUKO wa kwanza wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2018/19 unatara­jia kufikia tamati hivi karibuni baada ya timu zote...

READ MORE

Makambo Aletewa Kiatu Maalum Toka Uturuki

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Heritier Makambo hivi karibuni anatarajia kupokea kiatu kipya cha kuchezea kutoka nchini Uturuki baada ya kununuliwa na...

READ MORE

Makambo Amtaja Ajibu Mabao Yake Yanga

MSHAMBULIAJI tegemeo wa Yanga Mkongomani, Heritier Makambo ameshindwa kujizuia na kumwagia sifa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Ibrahim Ajibu ambaye...

READ MORE

Makambo Afunika Rekodi Ya Okwi Bara

STRAIKA Heritier Makambo wa Yanga hivi karibuni alivunja rekodi yake aliyoiweka ya kufunga mabao saba katika kipindi cha kwanza kwenye...

READ MORE

GUU LA MAKAMBO LAMPOTEZA OKWI

  MASTAA watano wanakimbizana na kuchuana vikali kwenye ishu ya ufungaji katika ligi ya msimu huu. Hao ni Eliud Ambokile...

READ MORE

Zahera: Makambo Habari Nyingine, Atafunga Sana Tu

  KOCHA Mkuu wa Yan­ga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo amewe­ka wazi kwamba ana­muamini straika wake, Heriti­er Makambo kuwa...

READ MORE

Yanga Yaipiga JKT Tanzania 3-0, Makambo na Ngassa Kama Kawa

TIMU ya Yanga imeshinda bao 3-0 dhidi ya JKT Tanzania leo katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam mchezo wa...

READ MORE

Makambo Amfunika Vibaya Kagere

MAMBO ni moto! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya mshambuliaji wa Yanga raia wa DR Congo, Heritier Makambo kuandika rekodi...

READ MORE

Makambo Akerwa na Ngumi Yakotei

HERITIER Makambo amesema kwamba Simba ni timu ya kawaida sana lakini akaongeza kwamba James Kotei alifanya kosa kubwa kumpiga ngumu...

READ MORE

Mzungu Simba Awaonya Mabeki Wake Kwa Makambo

MZUNGU wa Simba, Adel Zrane raia wa Tunisia, anafahamu uwezo wa mshambuliaji wa Yanga, Heritier Makambo, hivyo amewaonya mabeki wa...

READ MORE

Zahera Aanza Na Makambo Morogoro

YANGA jana Jumatano walianza kambi yao mkoani Morogoro chini ya kocha wao mkuu, Mwinyi Zahera kwa kujiandaa na mechi dhidi...

READ MORE

Makambo Anachinja Tu!

    BAO la Straika Mkongomani, Heritier Makambo jana usiku liliipeleka Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada...

READ MORE

Heritier Makambo: Nipanieni Niwalize

  MSHAMBULIAJI tegemeo wa Yanga Mkongomani, Heritier Makambo amewaambia mabeki wa timu pinzani waendelee kumchezea kwa kum pania, lakini atafunga...

READ MORE

Zahera: Mkabeni Makambo anawafunga Ajibu, Ngassa

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Mwinyi Zahera amewaambia mabeki wa timu pinzani kuwa yeye hana hofu wao waendelee kumkaba mshambuliaji...

READ MORE

Waarab Wamfuata Makambo Yanga

  SIKU za mshambuliaji wa Yanga Mkongomani, Heritier Makambo za kuendelea kubaki kukipiga Jangwani huenda zikawa zinahesabika baada ya baadhi...

READ MORE

Mbelgiji: Makambo Hawezi Kumfikia Kagere

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems amesema kuwa anaamini mshambuliaji wake, Mnyarwanda, Meddie Kagere ana ubora zaidi kuliko mshambuliaji...

READ MORE

Makambo Agundua Pakuwabana Simba

YANGA wamesikia kejeli za Simba wanaowatania kwamba jina la Wakimataifa limekufa rasmi kwavile mwakani hawana chao, lakini Kocha Mwinyi Zahera...

READ MORE

Makambo: Msikonde, Hasira Zote Ligi Kuu

BAADA ya kuondolewa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, mshambuliaji tegemeo wa Yanga, Mkongomani, Heritier Makambo amewatuliza mashabiki wa timu hiyo...

READ MORE

Tambwe: Makambo Ni Zaidi Ya Ngoma

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe amewataka wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kutokuwa na wasiwasi na uwezo...

READ MORE

Takwimu za Makambo Kwa Waarabu ni Hatarii

ALICHOKIFANYA straika, Heritier Makambo, Yanga iliposhinda mabao 2-1 dhidi ya USM Algiers kwenye Uwanja wa Tai­fa kinaonyesha kwamba jamaa ni...

READ MORE

Kocha Yanga Ampa Makambo Mabao 30

WAKATI Jumatano ijayo Ligi Kuu Bara ikitarajiwa kuanza, tayari Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera, amesema mshambuliaji wa timu hiyo, Heritier...

READ MORE

Makambo Mfalme Mpya Yanga SC

STAA wa Yanga kwa sasa ni Papy Tshishimbi, hiyo ni kutokana na kucheza kwa kiwango cha juu kwa muda tangu...

READ MORE

Makambo, Tambwe Watenganishwa Yanga

MASTRAIKA wawili wa kigeni wa Yanga, Amissi Tambwe na Heritier Makambo hawataanza kwa pamoja kwenye kikosi cha kwanza, Kocha Mwinyi...

READ MORE

Huyu Makambo wa Yanga Ni Noma

MASHABIKI wa Yanga hawajabahatika kuona mavitu ya straika wao mpya, Heritier Makambo lakini Juma Abdul na Amissi Tambwe wamewahakikishia jamaa...

READ MORE