×

Tag: kombe la dunia

Uhispania, Morocco na Ureno kuwa wenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2030

Morocco, Uhispania na Ureno zimetajwa kuwa wenyeji wa Kombe la Dunia la soka mwaka 2030, huku Uruguay, Argentina na Paraguay...

READ MORE

Brazil Yatinga Robo Fainali Kombe la Dunia, Yashinda 4-1 Katika Uwanja wa 974 Doha

Timu ya Brazil imeingia kwa kishindo katika robo fainali ya kombe la dunia baada ya kuifunga Korea Kusini mabao 4-1...

READ MORE

Kamata Odds Kubwa Kutoka Meridianbet Special kwa Kombe la Dunia, Cameroon vs Serbia

Siku ni Jumatatu na Jumanne wakati ambao wengi wanakuwa kwenye mihangaiko ya kutafuta chochote kitu, ili mkono uende kinywani, sikia...

READ MORE

Argentina Yarejesha Matumaini Kombe la Dunia, Ufaransa Yatinga raundi ya pili

Timu ya taifa ya Argentina hatimaye imefanikiwa kupata ushindi muhimu iliokuwa ikiutafuta baada ya kuwafunga mahasimu wao Mexico kwa bao...

READ MORE

Mikasa na Thamani ya Kombe la Dunia Kutoka Kutengenezwa Hadi Kuibiwa

MNAMO tarehe 20 mwezi Machi 1966 ulikuwa ni mwaka ambao michuano ya kombe la dunia ilifanyika huko nchini Uingereza, lakini...

READ MORE

Michuano ya Kombe la Dunia Kuaanza leo Jumapili nchini Qatar, Thamani ya Vikosi

MICHUANO ya Kombe la Dunia inaanza leo Jumapili nchini Qatar ikishirikisha mataifa 32, huku Afrika ikiwakilishwa na nchi tano; Tunisia,...

READ MORE

Kombe la Dunia na Machaguo Spesho Meridianbet Twen’zetu Kibingwa Qatar

Kila baada ya miaka minne wapenda soka kote duniani huwa wanaungana na kushuhudia utamu wa burudani ya macho na moyo...

READ MORE

Kombe la Dunia: Tanzania Yatinga Robo Fainali Yaichapa Japan 3-1 Uturuki

Timu ya taifa ya walemavu ya Tanzania imetinga robo fainali ya kombe la dunia kwa watu wenye ulemavu baada ya...

READ MORE

Michuano ya Kombe la Dunia Kurudishwa Nyuma, Fifa Yabariki Mabadiliko

TAREHE ya ufunguzi wa michuano ya Fainali za Kombe la Dunia nchini Qatar imerudiswa nyuma siku moja ili kuruhusu wenyeji...

READ MORE

Rais Samia Kupokea Kombe la Dunia la FIFA, Dkt Abbas Asema Taifa Limeheshimishwa

TANZANIA imechaguliwa kuwa miongoni mwa nchi chache za Afrika ambako Kombe halisi la Dunia la FIFA linalotolewaa kwa nchi zinazoshinda...

READ MORE

Kufuzu Fainali Kombe la Dunia 2022, Messi Kibaruani Leo

Mataifa ya Amerika yanaendelea na harakati za kuisaka tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia 2022. Michezo ya Kufuzu CONMEBOL inaendelea...

READ MORE

ALIYEANZISHA KOMBE LA DUNIA HUYU HAPA

UNAPOZUNGUMZIA michuano ya soka, basi ile ya Kombe la Dunia ndiyo inashika namba moja kwa ukubwa na inapendwa sana duniani...

READ MORE

FULL TAKWIMU ZA FAINALI KOMBE LA DUNIA 2018 RUSSIA

HAPA nimekuwekea rekodi zote muhimu za fainali ya Kombe la Dunia zilizomalikiza juzi Jumapili pale Rusia na Ufaransa kufanikiwa kuibuka...

READ MORE

Ufaransa Mabingwa wa Kombe la Dunia – Video

TIMU ya Taifa ya Ufaransa imefanikiwa kunyakua Ubingwa wa Dunia mwaka 2018 baada ya kuifunga Croatia kwa bao 4-2.  ...

READ MORE

Croatia Yaiangamiza Uingereza, Yatinga Fainali – Video

Timu ya Taifa ya England imeaga michuano ya Kombe la Dunia kwa kupoteza mchezo wa nusu fainali dhidi ya Croatia...

READ MORE

Ufaransa Yaichapa Ubelgiji, Yatinga Fainali Kombe la Dunia – Video

Timu ya taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya kombe la Dunia baada ya kuifunga Ubelgiji...

READ MORE

ENGLAND KUIVAA CROATIA NUSU FAINALI

CROATIA itaivaa England kwenye nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuwatoa wenyeji Urusi kwa penalti 4-3 kwenye mechi...

READ MORE

Brazil Out Kombe la Dunia, Yapigwa na Ubelgiji Bao 2-1

USIKU wa  leo Ubelgiji imewashangza wadau wengi wa soka baada ya kutinga nusu fanali ya michuano ya Kombe la Dunia...

READ MORE

Shabiki Ajiua Kisa Messi Kuondolewa World Cup

  SHABIKI kija­na amepoteza maisha baada ya timu ya taifa ya Argentina kufun­gwa na Ufaransa na kuondolewa katika Kombe la...

READ MORE

Ubelgiji Yaiangamiza Japan Dakika za Nyongeza – Video + Pichaz

TIMU ya Taifa ya Ubelgiji imeipa kichapo Japan na kuiondosha katika michuano ya Kombe la Dunia nchini Urusi baada ya...

READ MORE

Brazil Habari ni Nyingine, Yaitungua Mexico 2-0 (Video + Picha)

TIMU ya taifa ya Brazil imeendelea kuchakaza kwenye michuano ya Kombe la Dunia baada ya kuiangamiza Mexico na kuiondoa katika...

READ MORE

POLAND YAFUNGASHA VILAGO KOMBE LA DUNIA

TIMU ya Taifa ya Poland imeyaaga mashindano ya Kombe la Dunia Urusi kwa kukubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa...

READ MORE

UFARANSA YAIPIGA PERU, YAFUZU

TIMU ya taifa ya Ufaransa imefanikiwa kusonga Hatua ya 16 ya Kombe la Dunia ikiwa na mchezo mmoja mkononi baada...

READ MORE

Sio Vibaya Tukatumia Kombe La Dunia Kujifunza Mambo Mazuri

TUPO kwenye kipindi cha mapumziko baada ya kumalizika kwa msimu wa 2017/18 ambao ulihitimishwa rasmi Juni 2, mwaka huu pale...

READ MORE

Ronaldo Aanza Na Hat Trick Urusi

  CRISTIANO Ronaldo alianza kwa kishindo Fainali za Kombe la Dunia baada ya kupiga mabao matatu yaliyosaidia timu yake ya...

READ MORE

MO SALAHA YUKO FITI KUWAVAA URUGUAY LEO

HATIMAYE Kocha Mkuu wa Misri,Hector Cuper amesema mshambuliaji wa timu hiyo Mohamed Salah yupo kamili kwa takribani asilimia 100 kucheza...

READ MORE

KOMBE LA DUNIA: NI VITA YA URUSI VS SAUDIA ARABIA LEO JIONI

  KIPUTE cha Kombe la Dunia kinatarajiwa kuanza leo kwa wenyeji Urusi kuvaana na Saudia Arabia kwenye mchezo unaosubiriwa kwa...

READ MORE

Ufaransa Wababe Wanaopewa Nafasi Urusi 2018

KUNA mataifa mengi yanapewa nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwenye Kombe la Dunia mwaka huu.   Zikiwa zimebaki siku nane...

READ MORE

TANZANIA YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA

Timu ya Wasichana Wanaoishi katika mazingira magumu kutoka Tanzania imetinga fainali za Kombe la Dunia kwa kuifunga England 2-1. Mabao...

READ MORE

Orodha Ya Nchi Zitakazotembelewa Na Kombe La Dunia

  Wakenya wamejitokeza kwa wingi kulitazama na kupigwa picha na Kombe la Dunia la Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) ambalo limekuwa nchini...

READ MORE

TANZANIA YAONGEZEWA TIKETI ZA KOMBE LA DUNIA

  SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa), limeamua kuongeza tiketi za kwenda kushuhudia michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika nchini...

READ MORE

WANAUME NANE WAMEFUZU KOMBE LA DUNIA 2018 MOSCOW

MICHUANO ya Kombe la Dunia itafanyika mwakani nchini Urusi na tayari mambo yameanza kuwa mazuri kwa baadhi ya nchi, lakini...

READ MORE

MATOKEO YOTE YA KUWANIA KUFUZU WORLD CUP 2018, HAYA HAPA… (Video)

Kipute cha kuwania kufuzu Kombe la Dunia kwa mwaka 2018 kimeendlea wikiendi hii, viwanja mbalimbali vimekuwa bize vikipambana kupata matokeo...

READ MORE

RONALDO ANUKIA UCHEZAJI BORA FIFA

  RONALDO ANUKIA UCHEZAJI BORA… Ronaldo ni miongoni mwa wachezaji wanaowania Tuzo ya Mwanasoka Bora wa Dunia wa Shirikisho la...

READ MORE

Brazil Imekuwa ya Kwanza Kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018

Brazil imekuwa taifa la kwanza kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia ambazo zitachezewa nchini Urusi mwaka ujao baada ya kuIlaza...

READ MORE