Marais 11 Kuaga Mwili wa Rais Magufuli Dodoma – Video
MARAIS 11 kutoka nchi mbalimbali, wanatarajiwa kushiriki katika shughuli ya Kitaifa ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli, itakayofanyika leo katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
Taarifa…
